Mheshimiwa Rais mkono wa CHADEMA umenyooshwa kwa maridhiano, mpira uko kwako

wakina lema, mnyika, sugu, wameshaona mwakani hawarudi bungeni, wanachofanya ni kumpigia magoti Magufuli awaonee huruma na kuwaachia ubunge wao, chadema wanataka maridhiano kwa maslahi yao binafsi
Kwa hiyo watakuwa wa bunge wakuteuliwa au Rais ndiye atakaye wapigia kura?.
 
Mkiwa wastaarabu kama Hivi Rais atawasikiliza

Sasa kipindi kile mnamuita Rais mshamba,dikteta unadhani angewasikiliza?

tena Wabunge ndio walikuwa wanatamka haya maneno bora hata ingekuwa Wananchi wa kawaida
Walitukana wakiamini uchaguzi uko mbali sana! Sasa wamesogelea kaburi ndo wanaanza kutubu. Labda kweli huo ndo ubora wa wanasiasa wetu lakini, sitawasamehe kwa kujivisha ushujaa na kuwanyima viongozi wa mitaa nafasi ya kugombea.
 
Kwa hiyo watakuwa wa bunge wakuteuliwa au Rais ndiye atakaye wapigia kura?.
Jaribu kusoma uzi huu taratibu, japo una kichwa cha nazi kifuu, utaelewa maudhui yanayokudiwa. Hata hivyo uzi nimemwandikia Mhe. Rais, najua huwa anaingia humu, atasoma na kuelewa tofauti na akina ninyi vibwengo.
 
"Yehodaya" ni wapi Chadema wamewahi kumkosea Rais Magufuli zaidi ya kumkosoa!!? Chadema mapema kabisa walilalamikia elements za maamuzi ya kidikteta ya Rais. Kama Chama cha siasa cha upinzani ni haki yao kukosoa hata kukemea hali isiyowaridhisha. Tabia hiyo ya maamuzi ya kibabe ya Rais ndiyo imeifikisha nchi katika sintofahamu ya kuwateulia Wananchi viongozi wao.
Sasa kwa kuwa wapinzani wanaonyesha tabia ya kistaarabu ya kutaka MARIDHIANO dhidi ya umwamba, wewe unataka wapige magoti kwanza. Kweli!!!?
Walikataa kumtambua Kama Raisi Tena kwa tamko la chama na wakawataka wanachama wao wasimtambue na wasiende siku ya kuapishwa wao na askofu mkuu wao wa KKKT mchaga mwenzao Shoo kutoka kule Kilimanjaro.Msidhani tumesahau

Askofu Malasusa wa dayisisi ya mashariki na Pwani ndie aliokoa jahazi akaenda kuokoa jahazi isijeonekana KKKT yote haimtambui Magufuli na imemsusa

Leo mnajitia hamjui makosa yenu sio? Anayetupa maganda ya ndizo hakumbuli aliyemtupia lakini tuliotupiwa na Magufuli wetu hatusahau ng'ooo Hilo mkae mkijua
 
Walikataa kumtambua Kama Raisi Tena kwa tamko la chama na wakawataka wanachama wao wasimtambue na wasiende siku ya kuapishwa wao na askofu mkuu wao wa KKKT mchaga mwenzao Shoo kutoka kule Kilimanjaro.Msidhani tumesahau

Askofu Malasusa wa dayisisi ya mashariki na Pwani ndie aliokoa jahazi akaenda kuokoa jahazi isijeonekana KKKT yote haimtambui Magufuli na imemsusa

Leo mnajitia hamjui makosa yenu sio? Anayetupa maganda ya ndizo hakumbuli aliyemtupia lakini tuliotupiwa na Magufuli wetu hatusahau ng'ooo Hilo mkae mkijua
Unazungumza Kama mmoja wa mabaradhuli. Tukiwasema mliowauwa patakalika hapa.
Mnatazama kibanzi wakati mna boriti!!!?
 
"E="Chakaza, post: 33734872, member: 1840"]
Kenyatta ana kebehiwa (sio kutukanwa) kila siku na hachukulii mambo hayo personal bali anajua ni siasa. Penye matusi sheria ipo inachukua mkono.
Huwezi kuchukia kundi Fulani, au chama Fulani au eneo fulani kwa sababu mmoja wao au wawili wamekuita mshamba au dikteta! Sio sifa ya uongozi siku hizi.
[/QUOTE]"
bambie kuwa kama ni kutukana basi hata ccm wanamtukana. wameomba msamaha na amewasamehe. pamoja na kwamba hakuna matusi;
 
wakina lema, mnyika, sugu, wameshaona mwakani hawarudi bungeni, wanachofanya ni kumpigia magoti Magufuli awaonee huruma na kuwaachia ubunge wao, chadema wanataka maridhiano kwa maslahi yao binafsi
Hivi unategemea kuwa kwa upande wa ccm hali itaemdelea hivi hivi ilivyo kwa Wabunge wake? Wao ndiyo watakaokuwa na hali mbaya kuliko hao uliowataja. Muda ni mwalimu mzuri.
 
Mkiwa wastaarabu kama Hivi Rais atawasikiliza

Sasa kipindi kile mnamuita Rais mshamba,dikteta unadhani angewasikiliza?

tena Wabunge ndio walikuwa wanatamka haya maneno bora hata ingekuwa Wananchi wa kawaida
Ushamba wa Magufuli umezungumzwa na vigogo wa CCM akina Kinana na Nape na wengineo, siyo CHADEMA.
Hili la maridhiano, Hiyo ndio SIASA. CHADEMA wanacheza mchezo wa siasa vizuri sana. CCM hawajui siasa maana wao ni chama DOLA. wanatumia mapolisi na majeshi. hawawezi na hawajui siasa. Kikwete aliwaonya kuhusu hili hamkusikia.

kwa kauli ya Mbowe, ambaye alitumia podium ambayo wamenyimwa wapinzani miaka mingi, kuongea na watanzania wote kupitia channel zote kubwa za TV na Radio hapa nchini, kutoa chalenji kwa Magufuli. Magufuli sasa atakuwa on the defensive.
 
Back
Top Bottom