Sasa kwa nini mnataka kuwaongoza maiti/mambumbumbu? Muwaibie sio. JPM endelea kubana hadi pesa zote walizo tuibia wazitoe kwenye matundu yao.Hebu toa elimu kidogo.
Rais akiukataa mwito huu wa maridhiano atafanywa nn? Au serikali yake itaathirika vipi? Mbona amewadhulumu wapinzani ktk uchaguzi wa serikali za mitaa mchana kweupe na hakuna chochote kilichotokea?
Nchi nyingine vyama vya upinzani huwa vinajivunia mwamko wa wananchi. Kwamba upinzani ukilalamika tu wananchi wanaliamsha dude. Hapa kwetu wananchi ni maiti, upinzani unajivunia nn?
Hebu tuambie Rais akigomea maridhiano kuna madhara gani kwenye taifa hili la wananchi maiti na mbumbumbu?