GANG MO
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 2,087
- 2,194
Mpaka sasa wachangiaji wapo 38Tayari uzi huu umedoda, wakichangia 15 nistue!
Mpaka sasa wachangiaji wapo 38Tayari uzi huu umedoda, wakichangia 15 nistue!
Ngoja tuwashuhudie leoShida sio Maguful,shda iko kwa wafanyaz wenyewe,kwa wafanyakaz hasa walimu tena wa primary watishwa na kwenda uwanjan na mabango ya kumsif jiwe so ye2 atapata pa kusemea hata kama hakutaka kusema,time will tell tomorrow,hakika wafanyakaz asilimia kubwa n wapumbav hasa wanawake wao kila jambo liwe zur au baya wao n kupga makof moyon wakinung'unika,walimu watakuwa vnara kesho kubeba hayo mabango ya kumsifia jiwe.
Tatizo hana mpangilio wa kuongeaKama aliyasema hayo kwenye sherehe ya waislam sembuse na kwa wafanyakazi, huyu bwana ni kama amekariri hotuba na mambo ya kuzungumza.
Umeeleweka, ila jaribu kuandika vizuri huku kuna watu tofauti.Hakuna Wazir Lofa kama JENISTA,huyu mwanamke kaz ya n kutetea ugal wake 2 na amesahau kama alikuwa mwl na sasa kawageuka fut mia mbil kisha ye2 kashba,hakuna kitu alinitisha na suala la kikokotoo nashangaa mpaka leo h yu wazr ndo ninapoamin kuwa awam h n mabngwa wa kutengeneza tatizo il kupgia kampen
Asiposhangiliwa au akizomewa ana dharau sana, anaweza kuondoka na kudai haongezi mshahara ktk utawala wake wote.Hivi kwa uwanja kujaa, akileta story zake za ajabu zikapokewa na kuzomea itakuwaje?
Au kwa jinsi nimjuavyo ikiwa hakuna kumshangilia mwanzo mwisho nayo itakuaje?
Asiposhangiliwa au akizomewa ana dharau sana, anaweza kuondoka na kudai haongezi mshahara ktk utawala wake wote.Hivi kwa uwanja kujaa, akileta story zake za ajabu zikapokewa na kuzomea itakuwaje?
Au kwa jinsi nimjuavyo ikiwa hakuna kumshangilia mwanzo mwisho nayo itakuaje?
ItapendezaYuko mbeya, amepumzika kutokana na safari ya kyela, Nadhani mida hii atakuwa anaperuzi peruzi jamiiforum na social media zingine. Bila shaka ataukuta ujumbe huu, na rais wetu ni msikivu sana naamini kesho hatoyasema hayo.
Hata Mobutu alifukuzwagwa seminary na mliiuona utawala wake kule CongoJiwe mwenyewe alikuwa mwalimu sengerema ,alifukuzwa seminari enzi zake hajali kabisa walimu wenzie .
Ushafika page ya tatu sasa. Nikuletee sumu?Tayari uzi huu umedoda, wakichangia 15 nistue!
Huyu hakuipenda mada hiiUshafika page ya tatu sasa. Nikuletee sumu?
Tayari uzi huu umedoda, wakichangia 15 nistue!
"Tunandege tisa na nyingine zinakuja, tunajenga standard gauge kwa pesa zetu, bwawa la stigra linakamilishwa kwa pesa zetu, tunajenga mabarabara nchi nzima kwa kiwango cha rami. Yale majizi yatafute kwa kukimbilia na wanaosema vyuma vimekaza ni mafisadi". [Walimu hapo utasikia pwa pwa pwa pwa pwa pwa pwa wakishangilia, huku midomo imewakauka kwa kiu na njaa]
Itakuwa vizuri kama atasema hayo! Ili tumhukumu octoba 2020Asiposhangiliwa au akizomewa ana dharau sana, anaweza kuondoka na kudai haongezi mshahara ktk utawala wake wote.
Anajua wafanyakazi ni wachacheItakuwa vizuri kama atasema hayo! Ili tumhukumu octoba 2020
Vyama vya wafanyakazi wa nchi hii ni tatizo hasa viongozi,viongozi wa ivi vyama wana maisha mazuri kuliko wana chama wao kuwa wako kwenye payroll kila mwezi.Shida sio Maguful,shda iko kwa wafanyaz wenyewe,kwa wafanyakaz hasa walimu tena wa primary watishwa na kwenda uwanjan na mabango ya kumsif jiwe so ye2 atapata pa kusemea hata kama hakutaka kusema,time will tell tomorrow,hakika wafanyakaz asilimia kubwa n wapumbav hasa wanawake wao kila jambo liwe zur au baya wao n kupga makof moyon wakinung'unika,walimu watakuwa vnara kesho kubeba hayo mabango ya kumsifia jiwe.
Upumbavu nao ni sifaWafanyakazi turidhike na atakachokisema Mh raisi Magufuli mambo aliyoyafanya kwa Watanzania kwa mda wa miaka 3 ni mengi sana na nikwaajili ya watanzania, turidhike kwahicho tunachokipata ,