takatakaWewe inakuuma nini raisi akiwa Ikulu ndogo? Kakae ww ikulu kama imekua nongwa
takatakaWewe inakuuma nini raisi akiwa Ikulu ndogo? Kakae ww ikulu kama imekua nongwa
Hali mbaya utalii umeshuka sana mapato ya utalii ni zero ,kama watalii hawaji na hotel zimefungwa zote,ndege haziingia na kutoka,wafanyakazi wa hotel wote wapo likizo,shule binafsi hali mbaya walimu hawalipwi ukiona hiyo chain ilivyo ni balaa,mapato ya PAYE yameshuka,Utalii mapato sifuri inabidi tu waje kutudanganya tu kwamba tutaishi navyo kama ilivyo ukimwi,wanachoshindwa kutuambia ukweli kwamba ukimwi sio issue tena ila FUTA likikukamata(kama ukiwa na nyemelezi) within 24hrs unaenda kumlaki bwana yesu mawinguni aka unapendwa zaidi aka unakata moto.Nchi haina pesa, inabidi tu watu wadanganye kuwa Coronavirus wamekufa kutokana na hotuba za mkuu, zenye nguvu za kuua kimelea yoyote.
Uzalishaji umeshuka Sana, serikali imefilisika....... Hamna mapato yatokanayo na utalii na sekta nyingine kumedorora.
Nchi haina pesa, inabidi tu watu wadanganye kuwa Coronavirus wamekufa kutokana na hotuba za mkuu, zenye nguvu za kuua kimelea yoyote.
Uzalishaji umeshuka Sana, serikali imefilisika....... Hamna mapato yatokanayo na utalii na sekta nyingine kumedorora.
Rais Magufuli ni nahodha bora ametuvusha salama kwenye corona
Vibaraka wa mabeberu wanaenda kuaibika vibaya
'Chadema kwa kuvunja sheria hawajambo' umesahau hiyo comment yako, nakukumbusha tu
Sent using Jamii Forums mobile app
'Chadema kwa kuvunja sheria hawajambo' umesahau hiyo comment yako, nakukumbusha tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Weka hapa hiyo sheriaKwa mujibu wa sheria za nchi ofisi rasmi ya raisi ni Ikulu, Ikulu zozote zilizo ndani ya nchi na wala siyo nyumbani kwake.
Toka lini nyumba binafsi ya mtu ikawa ikulu ndogo?Wewe inakuuma nini raisi akiwa Ikulu ndogo? Kakae ww ikulu kama imekua nongwa
Nahodha bora hajifungii chumbani wakati jahazi linataka kuzama.Rais Magufuli ni nahodha bora ametuvusha salama kwenye corona
Vibaraka wa mabeberu wanaenda kuaibika vibaya
Vipi akiwa London mwaka mzima, itakuzuia kwenda chooni?!Rais akiwa Chato, inamaana wewe unaumia sana kiasi hata kwenda chooni kutoa haja zako inakuwa shida.
Kwahiyo wewe kipimo chako cha ukweli wa taarifa ni MayallaKuna wadau humu waliobobea kwenye masuala ya kisiasa na kiintelijensia kama Pascal Mayalla, walitoa ufafanuzi wa kina ya kwamba Rais anaweza akafanya shughuli zake za kiofisi huku akiwa mahali popote pale ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!
Hivyo mkuu mtoa mada, usiwe na hofu yoyote ile juu ya hilo. Mwezi ujao (wa sita) tunamtegemea aende Dodoma kulihutubia na pia kulivunja Bunge letu. Baada ya hapo, nina imani atarejea Ikulu ya Dar au atabaki kwenye ile Ikulu ya Chamwino.
Hii singo ya ikulu wenzio wameshaimba mpaka imechuja wewe ndio kwanza unaamka?
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeelewa points za mleta hoja au unakurupuka tu kama kawa yako?Wewe inakuuma nini raisi akiwa Ikulu ndogo? Kakae ww ikulu kama imekua nongwa
Atoke mafichoni!Rais Magufuli ni nahodha bora ametuvusha salama kwenye corona
Vibaraka wa mabeberu wanaenda kuaibika vibaya