Mheshimiwa Rais eneo lililobaki Magomeni kota zijengwe nyumba za madaktari wa Muhimbili, Magomeni mall na hospitali kubwa

Lord OSAGYEFO

JF-Expert Member
Feb 19, 2021
3,086
4,881
Wadau nawasalimu.

Naomba nimpe hongera nyingi sana Mh.Rais wetu mama yetu samia kwa kazi kubwa ya kututumikia watanzania.Pia nampongeza kwa kuwakabidhi wakazi wa magomeni kota nyumba walizowaahidi.

Kama nakumbuka vizuri mh.Rais alisema pamoja na ujenzi wa zile nyumba bado kuna eneo kubwa limebaki
Ushauri kwa mh.Rais

1.Eneo lililobaki litumike kujenga nyumba za kuishi madaktari wa hospitali ya muhimbili na hospitali za jirani kwani madaktari wetu wanatoka mbali sana kuja kufanya kazi hospital ya muhimbili

2.Eneo lile lijengwe "Magomeni mall" kitega uchumi cha manispaa ya kinondoni kama ile ya mwanza ili kuongeza mapato kwa manispaa ya kinondoni

3.Eneo lile lijengwe hospital kubwa itakayosaidia wakazi wa maeneo jirani ili kupunguza msongamano wa wagonjwa katika hospital za mwananyamala na muhimbili

Huo ni mchango wangu wa mawazo kwa maendeleo ya nchi yetu
 
1.ENEO lililobaki litumike Kujenga NYUMBA za KUISHI MADAKTARI wa HOSPITALI ya MUHIMBILI na Hospitali Za jirani kwani MADAKTARI wetu WANATOKA mbali sana kuja kufanya KAZI HOSPITAL ya MUHIMBILI
Hao madaktari waishi bure kama enzi za ujaama, au wapangishwe? Kumbuka vitu vya bure bure vilitushinda kuviendesha!

Kwa hayo mawazo mengine ya kujenga vitega uchumi nakubaliana na wewe.

We have to be more business minded.
 
Wadau Nawasalimu.Naomba nimpe HONGERA nyingi sana Mh.RAIS wetu MAMA Yetu SAMIA kwa KAZI kubwa ya kututumikia Watanzania.Pia nampongeza kwa kuwakabidhi Wakazi wa MAGOMENI KOTA Nyumba walizowaahidi.Kama nakumbuka vizuri Mh.RAIS alisema pamoja na UJENZI wa Zile NYUMBA bado kuna ENEO KUBWA Limebaki
USHAURI kwa MH.RAIS
1.ENEO lililobaki litumike Kujenga NYUMBA za KUISHI MADAKTARI wa HOSPITALI ya MUHIMBILI na Hospitali Za jirani kwani MADAKTARI wetu WANATOKA mbali sana kuja kufanya KAZI HOSPITAL ya MUHIMBILI
2.ENEO lile Lijengwe "MAGOMENI MALL" KITEGA UCHUMI cha MANISPAA ya KINONDONI kama ile ya MWANZA ili Kuongeza MAPATO kwa MANISPAA ya KINONDONI
3.ENEO lile Lijengwe HOSPITAL KUBWA itakayosaidia WAKAZI
wa MAENEO jirani ili KUPUNGUZA Msongamano wa WAGONJWA katika HOSPITAL za Mwananyamala na MUHIMBILI
Huo Ni MCHANGO wangu wa Mawazo kwa MAENDELEO ya Nchi Yetu
Naunga mkono hoja.
 
1: Ungetoa mfano madokta wanatoka wapi hadi kufika Muhimbili.

2: Unasema kijengwe kitega uchumi kama Mwanza, kumbuka hapo Magomeni kuna soko jipya la ghorofa la kisasa halitoshea watoa huduma.

3: Unasema wajenge hospital, nikumbushe teyari hapo jirani kuna kituo cha afya Magomeni ambapo referral yake iko Mwananyamala.

Hoja zako ni nzuri ila hazina support evidence
 
Hao madaktari waishi bure kama enzi za ujaama, au wapangishwe? Kumbuka vitu vya bure bure vilitushinda kuviendesha!
Kwa hayo mawazo mengine ya kujenga vitega uchumi nakubaliana na wewe. We have to be more business minded.
Supermarket Magomeni Kota wanunuzi watoke mule Kota?
 
1: ungetoa mfano madokta wanatoka wapi hadi kufika muhimbili.

2: unasema kijengwe kitega uchumi kama mwanza, kumbuka hapo magomeni kuna soko jipya la ghorofa la kisasa halitoshea watoa huduma.

3: unasema wajenge hospital, nikumbushe teyari hapo jirani kuna kituo cha afya magomeni ambapo referral yake iko mwananyamala.

Hoja zako ni nzuri ila hazina support evidence
Weka Nyama mkuu Tanzania yetu wote
 
Wadau Nawasalimu.Naomba nimpe HONGERA nyingi sana Mh.RAIS wetu MAMA Yetu SAMIA kwa KAZI kubwa ya kututumikia Watanzania.Pia nampongeza kwa kuwakabidhi Wakazi wa MAGOMENI KOTA Nyumba walizowaahidi.Kama nakumbuka vizuri Mh.RAIS alisema pamoja na UJENZI wa Zile NYUMBA bado kuna ENEO KUBWA Limebaki
USHAURI kwa MH.RAIS
1.ENEO lililobaki litumike Kujenga NYUMBA za KUISHI MADAKTARI wa HOSPITALI ya MUHIMBILI na Hospitali Za jirani kwani MADAKTARI wetu WANATOKA mbali sana kuja kufanya KAZI HOSPITAL ya MUHIMBILI
2.ENEO lile Lijengwe "MAGOMENI MALL" KITEGA UCHUMI cha MANISPAA ya KINONDONI kama ile ya MWANZA ili Kuongeza MAPATO kwa MANISPAA ya KINONDONI
3.ENEO lile Lijengwe HOSPITAL KUBWA itakayosaidia WAKAZI
wa MAENEO jirani ili KUPUNGUZA Msongamano wa WAGONJWA katika HOSPITAL za Mwananyamala na MUHIMBILI
Huo Ni MCHANGO wangu wa Mawazo kwa MAENDELEO ya Nchi Yetu
Tafuta pesa ujenge mwenyewe
 
Wadau Nawasalimu.Naomba nimpe HONGERA nyingi sana Mh.RAIS wetu MAMA Yetu SAMIA kwa KAZI kubwa ya kututumikia Watanzania.Pia nampongeza kwa kuwakabidhi Wakazi wa MAGOMENI KOTA Nyumba walizowaahidi.Kama nakumbuka vizuri Mh.RAIS alisema pamoja na UJENZI wa Zile NYUMBA bado kuna ENEO KUBWA Limebaki
USHAURI kwa MH.RAIS
1.ENEO lililobaki litumike Kujenga NYUMBA za KUISHI MADAKTARI wa HOSPITALI ya MUHIMBILI na Hospitali Za jirani kwani MADAKTARI wetu WANATOKA mbali sana kuja kufanya KAZI HOSPITAL ya MUHIMBILI
2.ENEO lile Lijengwe "MAGOMENI MALL" KITEGA UCHUMI cha MANISPAA ya KINONDONI kama ile ya MWANZA ili Kuongeza MAPATO kwa MANISPAA ya KINONDONI
3.ENEO lile Lijengwe HOSPITAL KUBWA itakayosaidia WAKAZI
wa MAENEO jirani ili KUPUNGUZA Msongamano wa WAGONJWA katika HOSPITAL za Mwananyamala na MUHIMBILI
Huo Ni MCHANGO wangu wa Mawazo kwa MAENDELEO ya Nchi Yetu
Mkuu unafahamu ukubwa wa eneo lililobaki wazi hapo Magomeni? Unafahamu hospitali kubwa inahitaji walau merer ngapi za mraba? Na je unafahamu Mloganzila inaenda kuchukua nafasi ya Muhimbili?

Unasema madaktari wanatoka mbali kwenda kazini na je watakapotakiwa kwenda Mloganzila kutoka Magoneni nako si kutakuwa mbali pia.

Kutoka Magomeni ambapo kuna kituo cha afya mpaka Mwananyamala kwenye hospitali ya rufaa takribani km 6 au 9 pia kutoka magomeni mpaka Amana ambapo pia kuna hospitali ya rufaa ni chini ya km 10 pia kwa umbali, na kutoka Magomeni mpaka Muhimbili ambako kuna hospita ya taifa ni kama km 5 tu yaani hata kwa miguu ukiwa mgonjwa unaweza kutembea, sizungumzii ukiwa mzima maana ukiwa mzima kutembea hizo km ni kawaida.

Mkuu hayo mawazo achananayo kabisa kuna watanzania wanatembea km 200 kutafuta hospitali ndani ya hii nchi. Wazo lako la kuendelea kujenga vitegauchumi ikiwa pamoja na nyumba za kupangisha naliunga mkono kwani hizo nyumba hata madaktari wanaweza kuishi, nilitegemea ungewashauri madaktari waombe nyumba zilizobaki wapangishwe na uishauri mamlaka husika kuwapa kipaumbele madaktari hao kwa sababu ulizoziona ni za msingi.
 
Serikali itafute maeneo mengine kama hayo iwahamishe watu kwa muda halafu ijenge nyumba za kutosha halafu waingie mkataba wa kuwamilikisha hizo nyumba. Mfano apartments kadhaa zipewe watu amabao ni wenyeji huku zinazobaki waziuze au wakaodishe wapate faida.
Nchi inaweza kufanya biashara za nyumba kwa namna na kupunguza unplanned settlement ambazo zimekithiri kwenye miji yetu. Serikali ikiamua mbona ni kazi ndogo tu.
 
Wadau Nawasalimu.Naomba nimpe HONGERA nyingi sana Mh.RAIS wetu MAMA Yetu SAMIA kwa KAZI kubwa ya kututumikia Watanzania.Pia nampongeza kwa kuwakabidhi Wakazi wa MAGOMENI KOTA Nyumba walizowaahidi.Kama nakumbuka vizuri Mh.RAIS alisema pamoja na UJENZI wa Zile NYUMBA bado kuna ENEO KUBWA Limebaki
USHAURI kwa MH.RAIS
1.ENEO lililobaki litumike Kujenga NYUMBA za KUISHI MADAKTARI wa HOSPITALI ya MUHIMBILI na Hospitali Za jirani kwani MADAKTARI wetu WANATOKA mbali sana kuja kufanya KAZI HOSPITAL ya MUHIMBILI

2.ENEO lile Lijengwe "MAGOMENI MALL" KITEGA UCHUMI cha MANISPAA ya KINONDONI kama ile ya MWANZA ili Kuongeza MAPATO kwa MANISPAA ya KINONDONI

3.ENEO lile Lijengwe HOSPITAL KUBWA itakayosaidia WAKAZI wa MAENEO jirani ili KUPUNGUZA Msongamano wa WAGONJWA katika HOSPITAL za Mwananyamala na MUHIMBILI

Huo Ni MCHANGO wangu wa Mawazo kwa MAENDELEO ya Nchi Yetu
Mungu akubariki, kwa wazo jema

Sent from my itel W6004P using JamiiForums mobile app
 
1: Ungetoa mfano madokta wanatoka wapi hadi kufika Muhimbili.

2: Unasema kijengwe kitega uchumi kama Mwanza, kumbuka hapo Magomeni kuna soko jipya la ghorofa la kisasa halitoshea watoa huduma.

3: Unasema wajenge hospital, nikumbushe teyari hapo jirani kuna kituo cha afya Magomeni ambapo referral yake iko Mwananyamala.

Hoja zako ni nzuri ila hazina support evidence
Madaktari wengi vijana na wa umri wa kati wanatoka Goba. Uwepo wa soko na mall ni complimentary to each other. Kituo Cha afya kinatakiwa kikue na kuwa hospitali

Sent from my itel W6004P using JamiiForums mobile app
 
Aliyekuwa na uwezo wa kufanya vitu hivyo ni Magufuli basi tu, hilo eneo lililobaki linakwenda kuuzwa kwa njia ya mwekezaji, subiri uone.
Magufuli alikuta n hi haijengwi au??

Hizo barabara alizotumia kuombea kura zilijengwa na malaika??

Hizo nyumba zilizokuwepo kabla ya hizo kuta ziliokotwa kuzimu??wafuasi wa mwendazake sijui mnawazaga kwa kutumia nini??

Yaan jamaa amewafanya kama makerubi wa zumaridi
 
Madaktari wengi vijana na wa umri wa kati wanatoka Goba. Uwepo wa soko na mall ni complimentary to each other. Kituo Cha afya kinatakiwa kikue na kuwa hospitali

Sent from my itel W6004P using JamiiForums mobile app

Goba si mbali na muhimbili. Hakuna complimentary maana soko hilo la kisasa linafanya kazi chini ya malengo.

Magomeni hospital inaendelea kutoa huduma za msingi na haijawai itaji upanuzi wa ziada.

Referral iko mwananyamala ambapo ni karibu na magomeni hospital
 
Back
Top Bottom