Mheshimiwa Rais Dr. Magufuli Sasa Tujenge Super Highways

tutafikatu

JF-Expert Member
Dec 17, 2011
3,238
4,464
Mheshimiwa Rais,

Hongera kwa kazi!

Unaonaje nguvu zetu pia tukizielekeza kujenga super highways, kuunganisha kanda zote nchini?

Kwa Tanzania ya sasa kunahitajika Super highways ambazo zitatia chachu uchumi wa nchi yetu. Sioni mantiki ya gari inayotoka Mwanza kwenda Dar es Salaam kulazimishishwa kuishia spidi ya kilometa 80 kwa saa, ati tunaepuka ajali!!! Sote tunajua kwamba ajali nyingi zinasababishwa na ubovu wa barabara, wembamba wa barabara n.k na si mwendokasi.

Kuna nchi nyingi zimejenga highways kwa PPP, na kupitia road toll bado pesa zitarudi tu.
 
Mheshimiwa Rais,

Hongera kwa kazi!

Unaonaje nguvu zetu pia tukizielekeza kujenga super highways, kuunganisha kanda zote nchini?

Kwa Tanzania ya sasa kunahitajika Super highways ambazo zitatia chachu uchumi wa nchi yetu. Sioni mantiki ya gari inayotoka Mwanza kwenda Dar es Salaam kulazimishishwa kuishia spidi ya kilometa 80 kwa saa, ati tunaepuka ajali!!! Sote tunajua kwamba ajali nyingi zinasababishwa na ubovu wa barabara, wembamba wa barabara n.k na si mwendokasi.

Kuna nchi nyingi zimejenga highways kwa PPP, na kupitia road toll bado pesa zitarudi tu.

Mtoa mada ni ushauri mzuri, ila kwa taarifa tu
Serikali hii tayari wapo kwenye hatua za mwanzo za kujenga super highway

Itakayotoka Dar Es Salaam to Chalinze, itakuwa na lane 6 na fly over 17 njianni

Pia kwa taarifa yako, kuwa na highway sio kigezo cha kuhalalisha mwendo kasi, mfano mzuri kwenye motorways za UK kama M1, M4, M25 nk, national speed linit ni 70m/h

Kwa siku za usoni naamini nasi siku moja tutakuja kuwa na Superhighway kama wenzetu
 
Mtoa mada ni ushauri mzuri, ila kwa taarifa tu
Serikali hii tayari wapo kwenye hatua za mwanzo za kujenga super highway

Itakayotoka Dar Es Salaam to Chalinze, itakuwa na lane 6 na fly over 17 njianni

Pia kwa taarifa yako, kuwa na highway sio kigezo cha kuhalalisha mwendo kasi, mfano mzuri kwenye motorways za UK kama M1, M4, M25 nk, national speed linit ni 70m/h

Kwa siku za usoni naamini nasi siku moja tutakuja kuwa na Superhighway kama wenzetu
70m/h ni takriban 120km/hr
 
ushauri safi kabisa, ila tatizo la serikali yetu ni kukosa vipaumbele katika kupanga matumizi ya pesa za wananchi

kwa mfano, mpaka sasa ujenzi wa SGR bado unasuasua.

I stand corrected
 
70 m/h ni chini sana ya 80 km/h.
Yaani unatumia zaidi ya saa nzima kutembea urefu wa football ground
wewe jinga kabisa m ni mile sio mita na mile moja ni zaidi ya kilomita kwahiyo UK wanaruhusu spidi kubwa kuliko kwetu.
 
acha ubishi wa kishamba mkuu, hebu fanya ku-google kwanza halafu urudi.

hiyo sio meters per hour ni miles per hour
Kwa hiyo we umeona google ndo pa kukimbilia, kwa hiyo ukikuta kibao barabarani 200m utasema ni miles.. hebu ukiwa hujui kitu kaa kimya
 
Kwamba unafahamu sana ndio wanipa shule au? Maana naona hata hesabu zinakusumbua. UK unayotolea mfano ni taifa lenye speed limit ya chini zaidi ya mataifa yote ya Ulaya.

Mtoa mada ni ushauri mzuri, ila kwa taarifa tu
Serikali hii tayari wapo kwenye hatua za mwanzo za kujenga super highway

Itakayotoka Dar Es Salaam to Chalinze, itakuwa na lane 6 na fly over 17 njianni

Pia kwa taarifa yako, kuwa na highway sio kigezo cha kuhalalisha mwendo kasi, mfano mzuri kwenye motorways za UK kama M1, M4, M25 nk, national speed linit ni 70m/h

Kwa siku za usoni naamini nasi siku moja tutakuja kuwa na Superhighway kama wenzetu
 
Kwa hiyo we umeona google ndo pa kukimbilia, kwa hiyo ukikuta kibao barabarani 200m utasema ni miles.. hebu ukiwa hujui kitu kaa kimya
ulishawahi kuona wapi speed ya highway inapimwa kwa meters per hour?

muda mwingine uwe unakubali kujifunza kitu kipya ili ufukuze ujinga
 
Kwamba unafahamu sana ndio wanipa shule au? Maana naona hata hesabu zinakusumbua.
Tunakwenda vizuri, Rushwa na mianya mingine ya kupoteza fedha za serikali vikibanwa kila kitu kinawezekana. Tumekuwa masikini kiasi hiki kwa sababu ya uzembe na ubinafsi wa watu wachache. Kinachofanyika Chuo cha Ufundi Arusha ni mfano mojawapo ya ubinafsi unaofanywa kurudisha maendeleo ya Taifa nyuma. Tanzania ina uwezo wa kufikia maendeleo kama ya Afrika Kusini, Libya au Nigeria kama kila shilingi yake itatumika vizuri kama anavyofikiri Raisi wa awamu ya 5.
 
Back
Top Bottom