Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 24,899
- 33,464
Lakini vipi kama umeweka mawe kwenye mashine ya kusaga kisha ukatoka unga wa mahindi? Hiyo ndio hoja iliyopoWewe ndiye hujui na unajidai unajua, huwezi kusaga mawe kwenye machine ya kusaga mahindi, halafu ukapata outcome inayofanana.
Ujinga haufanani inawezekana wangu ukawa unaunafuu kuliko wako.
Sent using Jamii Forums mobile app