FDR.Jr
JF-Expert Member
- Jun 17, 2008
- 1,359
- 353
wakuu wenye influence kisutu tupatieni latest za kesi ya mseminari amatus liyumba, naambiwa mh. Hakimu ,kasimongo anaendelea na kusoma hukumu baada ya argument za pande mbili ktk kesi ya liyumba leo mahakama inaonyesha ilichoona dhidi ya liyumba kama analo la kutuambia wabongo au kapakaziwa?!!