Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Dr Slaa anza kupiga jaramba...
Kuna magojwa hata hospitalini wana kukataa wanasema mrudisheni nyumbani maana yake ukafie nyumbani...hivyo usiwe mkali mkuu kama gonjwa lake ni kati ya hayo basi acha watu wajidai akina Yahaya Jr...Pole mkuuAngekuwa babako ungetoa mada kishabiki hivi? Acha uchawi wewe. Nakuambia unaweza kupigwa na mshangao pale utakapojikuta unatangulia akhera kabla ya huyo Sumari. Mambo ya kishabiki kamwe hayachanganywi na utu, Mungu hapendi huu ujinga MITHALI 5:32. Bush pamoja na chuki yake kwa Osama lakini alimtumia salamu za rambirambi aliposikia kifo chake.
Sawa Mh. Speaker...Tuwekee vipaumbele vyako kwenye...lolHakuna cha slaa wala nini,nilisema akifa mbunge hicho kiti changu,hakuna kuchakachua
ugonjwa wao uleuleduh! Inashitua, kwani anaumwa nn ambacho hawezi kupona?
Mungu amrejeshee afya yake ili aungane nasi kwenye majukumu ya ujenzi wa Taifa letu
Wakuu si jambo jema kumtabiria kifo binadamu mwenzako ila wakati mwingine lazima tuwe realistic kidogo.Mbunge wa Arumeru Mashariki Jeremiah Solomon Sumari wakati wowote anaweza kuungana na ndugu,jamaa na marafiki waliotangulia mbele ya haki.Mheshimiwa Sumari pamoja na kuwa na elimundogo sana ya form four aliukwaa unaibu waziri wa fedha kwakuwa mtoto wake kamwoa mtoto wa Laigwanani mkuu Afrika Mashariki Elowasa.
Taarifa za uhakika toka kwa ndugu wa karibu Mheshimiwa Sumari hali ya afya yake imezidi kudorora sana.Chama cha Magamba tayari kimeshaanza mchakato wa kumpata mtu wa kurithi mikoba yake.Jimbo la Arumeru Mashariki uenda likawa jimbo la kwanza kufanya uchaguzi muda mfupi ujao.
Huyu anaitwa Jeremiah Sumari, sasa hizo habari za Sililii Chami sijui umezitoa wapi? Au na yeye unamchuria?Pole kwa mheshimiwa Silili chami japo ni gamba ila huwa simwombei kifo binadamu yeyote. katika human rights article namba 1 & 2 zinazungumzia haki ya mtu kuishi hata kama ni mbaya namna gani hivyo ndivyo katiba nyingi hasa za nchi za kidemokrasia zinavyoamini na kuainisha ktka katiba zao pia. Binafsi ninakuombea upone na ndugu na jamaa ni lazima wadumu katika sala kuomba urudishiwe afya na siha njema. Mungu akubariki sana
MKUU SIJAKUELEWA,BUSH ALIMTUMIA OSAMA SALAM ZA RAMBI RAMBI? anyway NAMTAKIA NH. APONE KWA JINA LA YESU KRISTO.AMEN!Angekuwa babako ungetoa mada kishabiki hivi? Acha uchawi wewe. Nakuambia unaweza kupigwa na mshangao pale utakapojikuta unatangulia akhera kabla ya huyo Sumari. Mambo ya kishabiki kamwe hayachanganywi na utu, Mungu hapendi huu ujinga MITHALI 5:32. Bush pamoja na chuki yake kwa Osama lakini alimtumia salamu za rambirambi aliposikia kifo chake.
Duh! inashitua, kwani anaumwa nn ambacho hawezi kupona?
Wakuu ili kudhibiti the wandering minds zisifike kusikostahili, huyu mkuu niliwahi kusikia alikutwa na brain cancer soon after the 2010 elections.
Mwenyezi mungu ampunguzie maumivu na ampe nafuu Solomon Sumari.
Hii ya kupiga jalamba nilishasikia kuwa dr. ameshaandaliwa ukitokea uchaguzi mdogo wowote..anajimwaga! Ipo na ukweli hii wadau?kufa kufaaana... Dr Slaa anza kupiga jaramba...