Mheshimiwa Makonda afanye nini ili media imsamehe

mdundo ngoma sana

JF-Expert Member
Jan 2, 2016
1,002
954
Kusameheana tulipokwazana ni jambo la kheri.duniani tunapita wapo wengi waliotangulia mbele za haki kabla yetu.Nawaombeni enyi waandishi wahabari.mjadilini jinsi ya kumsamehe na kuonyesha ukomavu kwa taaluma yenu.Kama kujifunza tayari amejifunza.
 
Badoo halaf kby yy haki kukiri kosa na ndo mashart aliyopewa na wanataalum kuwa akiri kosA na aombe msamaha tatz ameota mapembe anajitia vice mkuluu Mungu ndo hutoa adhabu hvyo usizan kuna huku nyingine zaid anayoipitia xx
 
Mpaka anyooke. .....wapambe wake kama mnaumia anzisheni TV stations na Redio.
 
MEDIA KITU GANI KWAN MWANASIASA YULE???!!!
Nadhani upo shimoni ila siku ukitoka unajua umuhimu wa waandishi wa habari lakini mafisi wenzio wote wanajua nini Media lakini wewe mjinga na mpuuzi na mpumbavu ndio haujui dah ficcm mbaya imemtia upofu na uziwi huyu jamaa haoni wala asikii pole sana
 
Amekutuma???
Aweke VYETI mezani na aombe radhi kwa matendo yake maovu KUINGILIA Maisha binafsi ya watanzania na kuomba na kupokea RUSHWA.
Kisha aachie ngazi tofauti na hapo kumsamehe ni sawa na kukubaliana na ukanjanja wake!
 
Kusameheana tulipokwazana ni jambo la kheri.duniani tunapita wapo wengi waliotangulia mbele za haki kabla yetu.Nawaombeni enyi waandishi wahabari.mjadilini jinsi ya kumsamehe na kuonyesha ukomavu kwa taaluma yenu.Kama kujifunza tayari amejifunza.

Kila anapoangalia tv awe anabadilisha station na kila akibadili station apige magoti mbele ya tv aombe msamaha kwa mtangazaji yeyote anayetangaza kwa wakati huo kwenye tv na hata anaposikiliza radio afanye hivyohivyo wale nao binadamu wakimsikia watamsamehe
 
Badoo halaf kby yy haki kukiri kosa na ndo mashart aliyopewa na wanataalum kuwa akiri kosA na aombe msamaha tatz ameota mapembe anajitia vice mkuluu Mungu ndo hutoa adhabu hvyo usizan kuna huku nyingine zaid anayoipitia xx
Acheni historia ijirudie. mwaka 2006 mwanasiasa Omary Ramadhan Mapuri aliingia kwwnye bifu na wanahabari. aliishia kupotea kwwnye ulingo wa siasa
 
Kusameheana tulipokwazana ni jambo la kheri.duniani tunapita wapo wengi waliotangulia mbele za haki kabla yetu.Nawaombeni enyi waandishi wahabari.mjadilini jinsi ya kumsamehe na kuonyesha ukomavu kwa taaluma yenu.Kama kujifunza tayari amejifunza.
Awaonjeshe vijana wote wa Dar
 
UNAWEZAJE KUMSAMEHE MTU HUKU YEYE MWENYEWE HATAKI KUKIRI KOSA LAKE NA AOMBE MSAMAHA? MPAKA KWANZA AKIRI MAKOSA YAKE NA AOMBE MSAMAHA, VINGINEVYO AKAISHIE MITINI TU...
 
Back
Top Bottom