Mheshimiwa Lazaro Nyalando

ASCUDA T

Senior Member
Sep 10, 2013
120
33
Na Imani Kuna Baadhi Ya Watanzania Watakuwa Wanakumbuka Kwamba Kuna Silaha Za Taasisi Ya Utafiti Ya Wanyamapori [TAWIRI] zilikamatwa na kwa kuhusishwa na ujangili.

suala hili lilitolewa na mh Kange Lugola Na Kamati Ya Kina Zito Mwaka Jana. Lingine Ni Pale Mkurugenzi Wa Tawiri Serengeti Alipoingia Katika Mgogoro Na Mkurugenzi Mkuu Simon Mduma.

Chanzo Kilikuwa Simon Mduma Ambaye Ni Mkurugenzi Mkuu Wa Tawiri Kushirikiana Na Mzungu Ambae Alikuwa Ameweka Kontena Lake Tawiri Makao Makuu Lililokuwa Linatumiwa Kuficha Nyara Za Serikali.

Baada Ya Yule Mkurugenzi Wa Serengeti Kulikomalia Mduma Na Yule Mzungu Waliondoa Lile Kontena. Ki Ukweli Huyu Mkurugenzi Anatutia Mashaka .

Ombi Nyalandu Piga Chini Mpaka Wakurugenzi Maana Hawa Nao Majangili Tu.
 
Huyu Lazaro Nyalandu anachofanya sasa hivi ni usanii tu, siku zote alikuwa wapi? Nani alikuwa anamzuia kufanya kazi yake, tumuone eti kacharuka ghafla sasa hivi. Wanasema "life is not a dress rehearsal," ila Lazaro anafanya role rehearsal ili watu wasiokuwa na fikra sahihi wamuone ni mchapa kazi na apewe cheo cha Waziri wa Maliasili na Utalii kuchukua nafasi ya Khamis Kagasheki. Huyu Lazaro naye ni mzigo tu, siku zote alikuwa wapi asichukue hizo hatua. Kazi kuzunguka na media tu kila kona ili aonekani ni waziri jembe.

Kwenye Operesheni Tokomeza naye amehusika, kwani alikuwa ni naibu waziri wa wizara na accountability ni lazima viongozi wote wakuu wa wizara wachukue, siyo waziri tu. Kwa heshima ya roho za wananchi zilizopotea kwenye Operesheni Tokomeza, ni lazima viongozi wafuatao wa wizara ya maliasili na utalii nao watolewe waletwe viongozi wapya:

1. Naibu waziri wa maliasili na utalii, Lazaro Nyalandu.
2. Katibu Mkuu
3. Mkurugenzi wa Idara ya Wanyama Pori
4. Mkurugenzi Mkuu wa TANAPA
 
Huyu kweli ni msanii na msaliti kwa kaka yake mh. Kagasheki ,hafai Kuwa waziri maana km angemsaidia kagasheki kwa Kasi hii ya kuzugia mambo yoote yasingeharibika
 
ni kweli kabisa, mh nyalandu piga chini majangili wote hapo wizara.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom