Kama kawaida yao wapinzani wanakosoa tu kila kitu ccm inachofanya. Badala ya kujenga vyama vyao vya kikabila kama chadema, tlp, na nccr mageuzi na kile cha kidini cha cuf, wao wanajazana kwenye mitandao ya internet kuleta udaku tu kuchafua ccm.
Mheshimiwa Raisi usiwasikilize hawa wapinzani na kelele zao, wewe jipange vizuri kujenga nchi yetu baada ya kuachana na mafisadi toka kwenye serikali yako.
Mheshimiwa Raisi usiwasikilize hawa wapinzani na kelele zao, wewe jipange vizuri kujenga nchi yetu baada ya kuachana na mafisadi toka kwenye serikali yako.