Ukimjua utakuwa wa kwanza Kumpinga kwa Nguvu zote, Binafsi hata angegombea na nani siwezi mpa kura yangu
Kwa muono wangu huyu bwana ndio anafaa kumrithi Kikwete, kwa Nchi yetu ilipofikia tunahitaji Rais mwenye msimamo na mbabe kama huyu jamaa, hatuhitaji tena mtu soft!!!!!
magufuli ni mwizi wa nyumba za serikali,arudishe kwanza
Kwa muono wangu huyu bwana ndio anafaa kumrithi Kikwete, kwa Nchi yetu ilipofikia tunahitaji Rais mwenye msimamo na mbabe kama huyu jamaa, hatuhitaji tena mtu soft!!!!!
Kuna kakipande ka barabara fulani kako mwanza palipoishia barabara ya Green Acre. Kila mwezi Nyanza toad wako aple wanajenga toka mwaka 2005. Unajua ni project ya nani? Mi mwenye nisingempa kura yangu bora nipigie jiwe.
tuambie wewe unayejifanya unamjua
tunataka hoja kwa hoja sio majungu tu ya kumchafua mtu
mbona unakuja juu hivyo ni mmeo kwa taarifa yako hata ubunge ni 50/50 itakuwa uraisi, kipi amekisimamia akiwa hana kofia ya uwaziri au kiburi na madharau yake ndiyo yanakupa matumaini jimboni kwake anakimbizwa mpaka presha inapanda..
Magufuli hawezi, kwanza asafifhe mizani, pili arudishe nyumba alizogawa bure. Nadhani raisi ajaye ni Dr. Slaa
Kwa muono wangu huyu bwana ndio anafaa kumrithi Kikwete, kwa Nchi yetu ilipofikia tunahitaji Rais mwenye msimamo na mbabe kama huyu jamaa, hatuhitaji tena mtu soft!!!!!
katika CCM ukianza kusema suala la usafi na kutokuwa na kashfa hutapata mgombea zaidi ya mwanangu Dr. Emmanuel Nchimbi na mzazi wangu Dr. Salim A. Salim. Wema wengine CCM wapo ila wapo mbali sana na meza ya maamuzi. Najua wengi mtakuwa mnashangaa ninapomsema Nchimbi but wait and you will see. Ni mtaalam wa siasa ndani ya CCM kuliko mnavyomdhania.
Wapiga kazi CCM wanajulikana ila nao sio malaika ni sawa na wengine.
Masaburi yupi mkuu, unamaanisha huyu mzee mtaalam wa matusi aliyesema wabunge wa Dar wanafikiria kwa kutumia ------ au Masaburi mwingine? Kama unamaanisha huyo pls niombe radhi. Mimi sio wa namna hiyo na sio mtu wa do or dies politicsMasaburi at work !!!