norbit
JF-Expert Member
- Jul 30, 2007
- 835
- 699
Naona kama mwaarabu yule kapotezea aliposikia habari ya ugaidi.Jamaa..kumbe mawaziri wake wameurithi utaratibu wa kushukuru na kupongeza kama moja ya agenda za mkutano kutoka kwake!..ananyanyua glass mpaka anaifikisha kinywani bado anaongea, anasema kukomesha piracy east africa atengenezewe jela nzuri za kuwaadhibu hao maharamia!
kaniua jamaa mmoja pale dak.16:45...kampotezea Raisi wetu kwa vitendo
Kwa kweli JK katoa hotuba nzuri sana. Tanzania ina bahati kuwa na rais kama huyu. Huyu ni kiongozi aliekomaa na ana uwezo mkubwa wa uongozi ambao unatambulika kimataifa.