GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,548
- 108,858
Kaka si tayari umeshateuliwa kuwa Mheshimiwa huko Handeni na sasa umeshafikia kilele cha Mafanikio yako ya Kimaisha sasa mbona Kaka bado unaendelea tu kuwatangazia AIRTEL " matangazo " yao ya Redio?
Unaonaje labda na sasa ungewaachia na wengine nao " waokoteze okoteze " vijisenti huko AIRTEL kwa kufanya nao matangazo yao huku Wewe sasa ukipambana tu na Wana Handeni katika kuwaletea Maendeleo huku ukipambana kwa hali na mali kuwapunguzia Wachawi waliokithiri huko?
Kuna tangazo jipya limeanza kuruka leo leo la AIRTEL na Kaka naona bado umekomaa tu utadhani Beki anayekaba " kivuli " na " penati ".
Kaka acha hizo bhana ujue hata Mungu anakuona hivoooo.......!
Unaonaje labda na sasa ungewaachia na wengine nao " waokoteze okoteze " vijisenti huko AIRTEL kwa kufanya nao matangazo yao huku Wewe sasa ukipambana tu na Wana Handeni katika kuwaletea Maendeleo huku ukipambana kwa hali na mali kuwapunguzia Wachawi waliokithiri huko?
Kuna tangazo jipya limeanza kuruka leo leo la AIRTEL na Kaka naona bado umekomaa tu utadhani Beki anayekaba " kivuli " na " penati ".
Kaka acha hizo bhana ujue hata Mungu anakuona hivoooo.......!