Mbowe na CHADEMA wabadili gia angani, Watangaza Kumuunga Mkono Uhuru Kenyatta

Huu upuumbavu wa hali ya juu kabisa.

Na ni ishara ya kufilisika kifikra!

Kisa cha kujiingiza katika siasa za Kenya ni nini?

Yakitokea kama yaliyotokea ile 2007 mtakubali kubeba lawama?

CHADEMA na huyo mwenyekiti wao wa maisha ni bure kabisa.
 
Vyama vya kisanii utavijua tu.kwa hiyo chadema watakwenda kupiga kura au watalinda kura
 
Mbona mbowe hasemi kuhusu kagame? Sote tunajua kagame alivoiunga mkono chadema 2015 lkn sasa kagame naye kawageuka mbona hili hawalisemi wakati sote tunajua kuwa mwaka huu Rwanda pia kuna uchaguzi?. Chadema acheni unafiki.
 


Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amesema chama chake kinamuunga mkono Uhuru Kenyatta ktk Uchaguzi Mkuu mwaka huu.

Amesema kuwa kwa muda mrefu wamekuwa wakimuunga mkono Raila Odinga katika kuchukua nafasi ya kuiongoza Kenya.

Lakini kinyume na matarajio yao, ilipofika zamu yao mwaka 2015 rafiki yao Raila aliwageuka na kumuunga mkono adui yao
Lowasa
Alisaidiwa sana na wakenya wamasai ambao wengi walio kwenye muungano wa wakalenjin ambako rutto makamu wa raisi anatoka. Wamasai wa Kenya wako pamoja Na Kenyatta. Asitoe visingizio mbowe aseme tu tunafuata kule mnunuzi wa chadema anakopenda
 
Magufuli ataleta sintofahamu katika mahusiano ya kidiplomasia na Serikali ya Kenya kama ataonesha nia ya kumuunga mkono Raila.
Uhuru hatoshindwa katika uchaguzi wa Agosti na ataona aibu watakapokuta kwenye vikao vya EAC. Muda ni mwalimu mzuri wakati wote
Lowasa alishatamka siku nyingi bila kikao chochote akatamka kuwa wao chadema wanamuunga mkono Kenyatta na wanampenda hilo baraza kuu limeenda tu kugonga mhuri wa approved. Baraza kuu lenye malofa kibao laweza tengua uamuzi wa tajiri lowasasa. Biblia inasema The Rich rules the poor. Maskini wa chadema kazi yao ni kuwa rubber stamp tu
 
Tafsiri rahisi kabisa, kila asie upande wako ni adui yako, kama hujui uliza kivipi, hicho ni kiswahili yetu watanzania.
 
Magufuli anamuunga nani mkono?
1495895110833.jpg
Siri,sirini,,
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom