Mheshimiwa Edward Lowassa ni maarufu sana mitandaoni

Askari Muoga

JF-Expert Member
Oct 22, 2015
6,113
4,645
Mhe Edward Lowassa, jina lake ni maarufu sana kuliko majina mengine Facebook. Watu wengi wanalitumia jina lake Facebook yaani account za facebook.

Pia kuna Facebook pages nyingi sana zinatumia jina lake.
 
Kukaa kimya na kutabasamu ni siri ya Umaarufu wake.
Smile and Silence is the key to social intelligence.
 
Lowassa ni mtu makini sana, Mungu amempa busara, hekima na maarifa ya juu sana ktk kuamua na kutenda mambo mbalimbali.
 
2016-08-28-09-16-12--362153434.jpeg


swissme
 
Back
Top Bottom