chipaka.com
JF-Expert Member
- Dec 5, 2015
- 2,883
- 1,188
Kwani wewe hujui siku hizi ni kidigitali zaidi?Mkuu, kwani maarufu wa mtu unapimwa kwa wingi wa accounts za Facebook?
Kwani wewe hujui siku hizi ni kidigitali zaidi?Mkuu, kwani maarufu wa mtu unapimwa kwa wingi wa accounts za Facebook?
Nenda mahakamani kamshitaki.Ufisadi pia umempaisha sana
ndio mkuu lowassa ni rais wa facebook tanzaniaMhe Edward Lowassa, jina lake ni maarufu sana kuliko majina mengine Facebook. Watu wengi wanalitumia jina lake Facebook yaani account za facebook.
Pia kuna Facebook pages nyingi sana zinatumia jina lake.
SawaMhe Edward Lowassa, jina lake ni maarufu sana kuliko majina mengine Facebook. Watu wengi wanalitumia jina lake Facebook yaani account za facebook.
Pia kuna Facebook pages nyingi sana zinatumia jina lake.