Mheshimiwa Edward Lowassa ni maarufu sana mitandaoni

Mhe Edward Lowassa, jina lake ni maarufu sana kuliko majina mengine Facebook. Watu wengi wanalitumia jina lake Facebook yaani account za facebook.

Pia kuna Facebook pages nyingi sana zinatumia jina lake.
ndio mkuu lowassa ni rais wa facebook tanzania
 
Mhe Edward Lowassa, jina lake ni maarufu sana kuliko majina mengine Facebook. Watu wengi wanalitumia jina lake Facebook yaani account za facebook.

Pia kuna Facebook pages nyingi sana zinatumia jina lake.
Sawa

What next?
 
Back
Top Bottom