AUGUSTINO CHIWINGA
JF-Expert Member
- Apr 23, 2017
- 220
- 689
%75 katika picha ni viongoz wa CHADEMA inamaana hawa wote wametoka CCM? Unatengeneza story kwa kudanganya.
Sehemu ya kwanza uliyodanganya yaani kioja namba moja ni kusema kwamba wanachama wa CCM 60 wamejiunga na CHADEMA. Nawaza kwa sauti kubwa, mbona sizioni cards za CCM walizokukabizi?
Yaani mnajitekenya wenyewe, mnacheka wenyewe kioja namba 2 mbona katika picha wanaonekana akina mama watano na kina baba wawili jumra 7 waliyoshikilia card za CHADEMA hali yakuwa umesema wewe kuwa umewakabizi watu 60?
Hao wengine umewapeleka wapi? Najuwa utasema nafasi ya picha ilikuwa ni ndogo, nimefatilia picha zote ulizounganisha zote zinafanana watu ni wale wale.
Mnajitekenya wenyewe, mnacheka wenyewe.
Upinzani wa TANZANIA umeishiwa hoja, kilichobakia sasa ni ku edit picha na kutunga story.* Kibaya zaidi katika hii story umewakana viongozi wote liokuwa nao Nyantorontoro, umejitaja wewe na Amos.
Hawa wengine umewaunganisha kwenye group la watu 60.
Sent using Jamii Forums mobile app