britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Zitto we si mwongo pia mpotoshajiMimi sijali kuitwa muongo. Ninachojua sijasema uongo wowote. Nimeusaidia umma kufafanua hiyo FRAMEWORK agreement ambayo Serikali yetu imesaini ( kwa lugha ya mkataba INITIAL ). Sasa kama hiyo agreement haipo nitakuwa mwongo. Kama ipo Paskali ajifunze tu.