Mhe. Zitto, hongera kwa uzalendo, sema ukweli usipotoshe, hakuna mkataba uliosainiwa, kilichopo ni draft tuu na kuwa initialed sio kusainiwa!

huku kujikita kwenye technicalities na sio uzuri au ubaya wa kitu ni kupoteza muda na resources za bure..., cha maana ni Je hiki kilichofanyika kina manufaa kwa taifa ? na jambo kubwa kama hili lina tija kufanywa na wachache wakiwa wamejifungia bila transparency ? Ni hayo tu.., mengine ni immaterial.....

..kweli kabisa.

..kwa maoni yangu hoja ya msingi kuliko yote ni 300 million vs 190 billion.

..wanachotulipa Barrick kwa makubaliano yaliyosainiwa Ikulu mbele ya Raisi na vyombo vya habari ni usd 300 million.

..kiasi hicho cha fedha ni sawa na 0.157 % ya fedha ambazo tume za uchunguzi zilibainisha tunawadai.

..Na kama Barrick wakiamua kutulipa 300 million kila mwaka itawachukua miaka zaidi ya 600 kumaliza deni hilo.

..Sina uhakika kama biashara ya UTUMWA ili last zaidi ya miaka 600.


Cc Zitto, Pascal Mayalla
 
Mkuu Zitto, kwanza with due respect, asante kwa kuja kwenye bandiko hili.
Ku initial ni kutia initial za signatory kwenye kila page ya draft kuthibitisha usahihi wa contents lakini sio ku saini mkataba. Hiyo ni draft tuu, hakuna mkataba uliosainiwa so far.
P
Kuna maeneo maalumu ya kusign sio kila page, then una initial page zote ili wasije zibadirisha.

Inawezekana alichokiona Zitto ni intialed pages

Maana ake we already have one of the most unlawful and stupid agreement between the government and those you are calling imperialists
 
Kweli humu ni jukwaa la GT naomba p mayalla utufafanulie Hiyo INITIALED kwa ufasaha zaidi anaoelewe yy kwan @ x-bar kaidadavua kwelikweli
Pascal Mayalla ni mwanahabari na mwana JF ambaye anajichanganya sana katika mabandiko yake na anaonyesha udhaifu mkubwa katika matumizi ya lugha na maudhui. Tofauti kubwa ya wana JF hasa wale wa JUKWAA LA SIASA na mitandao mingine ya kijamii ni kwamba wana JF ni watu wanaopenda kufuatilia na kujadili kwa hoja masuala muhimu ambayo yanaibuka na yana athari katika mustakabali wa siasa za taifa hili. Kwa hiyo tunategemea mwana JF kuwa ni mtu makini katika maudhui na uandishi kwasababu chochote kinachobandikwa humu kinasoma na watu walioenda shule na wenye ujuzi wa mambo mbalimbali.

Tutambue kuwa tunapobandika mabandiko yetu humu watu wa JF wana "zero tolerance" kwa makosa ya kiuandishi zaidi kuliko yale ya kimaudhui (hoja). Hii ni kwasababu ya ukweli kwamba hoja hiyo hiyo moja iwe sahihi au sio sahihi bado kuna watu wataikubali na wengine wataipinga. Lakini kama umefanya kosa katika uandishi mathalani umeandika "mentor case" wakati ilitakuwa iandikwe "mental case" utaonekana hauko makini au hujaenda shule na hivyo hufai qualities za kuitwa GT na kwa maana hiyo hata hoja yako itaonekana upuuzi.Vile vile, unapoandika kuunga mkono serikali ya awamu ya tano kuwa inafanya vizuri na wakati huo huo unaandika kulalamika kuwa kampuni zako zinakosa tenda kutokana na sera mbovu za uchumi za serikali hii hii ya awamu ya tano, hapo ndipo wana JF makini wanakupiga muhuri kuwa wewe ni mnafiki kwasabaabu ya kukosa "consistence" katika harakati zako. Mifano hii ndio sifa za ndugu Mayalla ambazo kwa mwanahabari na mwana JF kama yeye hakupaswa awe nazo.

Lakini cha ajabu kabisa ni kwamba wakati Mayalla anayejiita mwandishi wa habari na anakili hajui vizuri lugha ya kingereza, bado anajipa mamlaka ya kumkosoa zitto kwamba eti ameshindwa kuelea maana ya neno "INITIALED". Zitto yuko makini sana, bali hajakusudia kupotosha makubaliano yaliyomo kwenye hiyo "daft document" ya makubaliano kati ya serikali na Barrick. Lakini Mayalla akumbuke kuwa Zitto ametufikishia habari ya jambo hili kwa kutumia lugha yetu ya kiswahili; bila shaka ili kila mtu aelewe mwafaka uliofikiwa katika mazungumzo ya akina Kabudi na wawakilishi wa Barrick. Kwa maana hiyo Zitto alipotumia neno "kusainiwa" kama tafsiri ya neno "initialed" bado Mayalla anaona Zitto hayuko sahihi na kwamba eti amepotosha. Lakini hata hivyo Mayalla pamoja urefu wa utetezi wake dhidi ya bandiko la Zitto, bado ameshindwa kutupa neno sahihi la kiswahili cha neno "initialed".

Sasa kwa faida ya wana JF na watanzania kwa ujumla, kwa mujibu wa kamusi ya kingereza ya Oxford Advanced Learner's Dictionary, neno "initial" linapotumika kama kitenzi (verb) kama ilivyotumika kwenye nyara husika maana yake ni "to mark or sign something with your initials". Kwa tafsiri ya kiswahili maana yake ni kuweka alama au sahihi/saini kwa kutumia herufi za mwanzo za jina la mtu. Sasa jiulize mwenyewe je kitendo hicho hakimaanishi kusaini kama alivyoandika Zitto? Lakini Mayala ajifunze kuwa American English (AmE) na British English (BrE). Neno initial ni neno la kingereza cha wamarekani ambalo ni sawa na neno "sign" kwa kingereza cha waingereza na tafsiri ya maneno yote mawili kwa kiswahili ni kusaini.

Kwa kumalizia, Mayalla aelewe hicho kilichoambiwa na Zitto ndicho kilichomo kwenye na kala ya makubaliano. Na sisi kama wanaJF na watanzania tunaagalia maudhui yaliyomo. Labda nimalizie kwa kumuomba Mayalla atuambie ni kifungu gani ndani ya makubaliano haya yanatoa ushindi na manufaa nchi yetu. Je, yeye Mayalla anaunga mkono makubaliano haya yawe mkataba rasmi?
 
Kikaragosi cha nduli na dikteta wa chato katika ubora wake. Wewe hilo la draft umelijuaje kama hauko ndani ya Serikali!? Nani anakutumia kumshambulia Zitto humu!?



Wanabodi,
Tangu baada ya Barrick kutangaza kuninunua Acacia, kumeibuka mijadala mingi kuhusu suala hili, haku wanasiasa waki capitalize kwa kutafuta political score na political capitalization kuhusu jambo hili, kwa kutumia hoja za uongo au upotoshaji wa makusudi for political gain au upotoshaji wa bahati mbaya kutokana na kutokujua vizuri lugha ya Malikia.

Sijitapi kuwa mimi ndie mtu wa kwanza kuleta hii braking news ya Acacia kununuliwa, na ni miongoni mwa wana jf tulioandika sana kuhusu hili, to be on a safe side, kunapotokea mambo yahusuyo lugha za watu, huwa ninaweka source ili ukajisomee mwenyewe, hivyo hili ni bandika la kukosoa Mhe. Zitto kwa uongo na upotoshaji huku nikimuomba asikasirike kama lugha ya malikia haipandi kivile, kwa vile tuko wengi tuu lugha hii inatupiga chenga, kuanzia ile 1st Class ya LL.B ya Sheria ya UDSM yenye GPA ya 4.9 na Ph.D ya Sheria, hadi Ph.D ya Kemia, hii lugha ya malikia kwenye hili imesumbua, watu waliambiwa 50/50 ya Economic Benefits, wakatueleza ni 50/50 ya net profits!. Mhe. Zitto naye kaona Draft Agreement ikaelezwa imekuwa initialed, kaibuka kuwa ni mkataba umesainiwa!, kakwe draft agreement ni mkataba, na kuwa initialed kwake ni kusainiwa!, hizi lugha za watu jamani, zisitufanye kuwa waongo na wapotoshaji, tuwe wakweli daima, tell the truth and the truth will set you free!.
Naomba tuanzie kwenye bandiko langu kuhusu jambo hili

Kwenye bandiko hili, niliweka links za Barrick na Acacia.

Ndipo Mhe. Zitto naya akaibuka na bandiko lake, japo hoja zake kwa asilimia kubwa ni za kweli, lakini pia kuna asilimia ndogo ya uongo na upotoshaji mkubwa kama kupotosha kuwa makubaliano yamesainiwa!, hakuna makubaliano yaliyosainiwa!.

Mkuu Mhe. Zitto, kwanza asante kwa bandiko hili na uzalendo wako kwa nchi yako. Kwa vile mimi ni miongoni wa wana jf ambao tumeandika sana kuhusu hili, nitachangia baadhi ya vipengele with reference ya nilisema nini, nilishauri nini na kulinganisha na kilichotokea ni nini, but with due respect, na wasiojua ligha ya Malikia, ni kwa heshima na taadhima, tuwe wakweli toka ndani ya nafsi zetu, tuache urongo na upotoshaji, just tell the truth and the truth will set you free, sii kweli kuwa mkataba huu umeisha sainiwa!, hilo neno (INITIALED) sio kuonyesha kuwa umesainiwa, bali katika mikataba, kunatakiwa signatories watie initials zao kwenye kila page ya draft kuonyesha wameelewa, lakini draft ni draft na mkataba ni mkataba!, ku INITIALED sio kusaini.

Hicho kiambanisho 4 ni draft, na mimi nimekiweka kwenye bandiko langu la tangazo la kifo cha Acacia
na nikasisitiza,

Hatuwezi kusema kila kitu mpaka baada ya kusainiwa kwa makubaliano hayo, na nikasisitiza kwenye makinikia kuna lakini sikuiweka hiyo lakini kwa sababu bado hatujaona makubaliano yaliyofikiwa, as of now hayo ni mapendekezo tuu, yaani draft, siku zote drafts zote huwa ni tentative, inaweza kubadilika, hivyo naomba kusisitiza katika hili tuwe wakweli, tutumie ukweli, tuache urongo na upotoshaji!.

Sijamuita Zitto muongo, au mpotoshaji, nimesema kwenye hoja zake kuna uongo na upotoshaji. Kwa vile Zitto namfahamu fika toka enzi zetu za UDSM, hivyo naifahamu intelect ya Zitto, haiwezekani katika kiambatanisho hicho, awe hayajaona maneno haya
"Appendix 4 Summary of the material terms of the current draft documentation under discussion (but not yet finalised) with the GoT The discussions between Barrick and the GoT have advanced to the point where draft documentation was initialled by the GoT on 19 May 2019". Hapa maana yake hii ni draft tuu imekuwa initialled na GOT lakini haijawa finalized, kwa Zitto ninayemjua mimi, haiwezekani Zitto awe hakuyaona maneno haya.

Kwenye document hiyo, kuna maneno ya capital letters na bold
"THERE IS NO CERTAINTY THAT THE TRANSACTION DOCUMENTS WILL BE AGREED WITH THE GOT IF THE SCHEME BECOMES EFFECTIVE AND THE TERMS OF THE FINAL FORM OF TRANSACTION DOCUMENTS, IF AGREED, MAY DIFFER FROM THOSE SUMMARIZED BELOW."
Siamini kuwa Zitto hakuyaona maneno haya, kwa wasio jua lugha ya Malikia ni "hakuna uhakika kama makubaliano haya yatakubaliwa na GOT, na hata yakikubaliwa, yanaweza kuwa ni tofauti na kilichokubaliwa hapa!. Hivyo Zitto kusema ni mkataba umesainiwa, huu ni uongo wa mchana kweupe, na amepotosha kwa makusudi tuu sio kuwa hakuona mistari hiyo!.

Kwenye kipengele cha 11 cha makubaliano hayo kinasema wazi kuwa
"11. The conditions set out in (a) to (g) of paragraph A10 above may be waived by the Acacia parties and the conditions set out in (h) to (i) of paragraph A10 above may be waived by the GoT. "
Hapa wanasema masharti ya mkataba huu yaliyowekwa kwa ibara ya 10, yanaweza kukubaliwa au kukataliwa na Acacia, au na GOT kuthibitisha kuwa makubaliano haya sio final and conclusive, haiwezekani Zitto ninayemjua mimi, hakuliona hili!.

Kipengele cha 12 kinasema
"12. Those provisions which are stated to become effective on signing of the Framework Agreement"
Hapa kwa lugha ya Malkia ni masharti hayo, yatatakiwa kutekelezwa baada ya kusaibiwa kwa makubaliano hayo, bado hakuna makubaliano yoyote yaliyosainiwa!. Siamini kuwa Zitto hakuliona hilo.

Kwenye kiambatisho hicho kuna hii para
"The discussions between Barrick and the GoT have advanced to the point where draft documentation was initialled by the GoT on 19 May 2019, albeit with a number of substantive issues still outstanding which are subject to further discussion. Whilst a basis for settlement has been developed, the terms have not yet been finalised"
Naamini kabisa Zitto anajua maana ya maneno hayo, hawa jamaa wanasema bado kuna issues ni still outstanding na zinahitaji majadiliano zaidi.

Sasa ili kumtendea haki Mhe. Zitto, naomba kuziweka hoja zake zote 5 na kusema hoja zipi ni za kweli na hoja zipi ni za uongo na upotoshaji tuu.

1. Dola Milioni 300 za kumaliza mgogoro KIINI MACHO

Serikali imekubaliana na Barrick kuwa italipwa Dola milioni 300 (wastani wa TZS 700 Bilioni) kama malipo ya kumaliza mgogoro wote (full, final and complete settlement) na SIO kishika uchumba kama Serikali ilivyoeleza umma. Barrick watalipa fedha hizi kwa muda wa MIAKA 7 na zitakuwa ni baada ya kuondoa madai yote ya kodi ambayo Acacia inaidai Tanzania.

Itakumbukwa kuwa Acacia Group ina madai ya marejesho ya Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT refunds) inayofikia takribani Dola za Marekani milioni 240 (wastani wa 552 Bilioni). Hivyo katika malipo ya Dola za Marekani Milioni 300, zitakazobakia baada ya kutoa madai ya VAT refunds ni Dola Milioni 60 (wastani wa 138 Bilioni) tu. Kama tutakavyoona katika hoja ya pili hapa chini hata hizi Dola za Marekani Milioni 60 kimsingi hazitatolewa.

Kwenye hoja hii Zitto kuna sehemu amesema kweli, hapa tumepigwa. lakini kuna sehemu Zitto sio tuu hakusema kweli bali amesema uongo. Kwa vile Mhe. Zitto ni Mbunge akisema kitu ndipo watu wanakizingatia, hivyo Zitto hili la dola milioni 300 ndio ameliona baada ya kusoma draft ya makubaliano na kulisemea kwa kulipotosha wakati sisi akina kajamba nani, hili tuliliona kitambo na tukalisemea sana humu.

Baada ya Barrick kuinunua Acacia, ni kweli kweli tutalipwa kifuta machozi cha dola milioni 300, sii kweli kuwa malipo haya yatatolewa baada ya kuondoa VAT refund, bali kweli kuwa malipo haya yatalipwa katika kipindi cha miaka 7.
Tukiisha saini mkataba, tutalipa upfront ta dola milioni 100. Hivyo hoja ya Zitto kuwa kwenye dola milioni 300, tutaambulia dola milioni 60 tuu, huu ni uongo wa mchana kweupe. Ile siku Barrick wanakuja kusaini mkataba, ile kuangusha tuu wino kusaini, kitita cha dola milioni 100 kinawekwa mezani as upfront payment kama ilivyoelezwa hapa
"There will be an initial upfront “payment” by way of assignment to the GoT of minerals contained in containers at Dar es Salaam port with a value of US$100 million". Shilingi milioni 200 zilizobakia, ndizo zitalipwa katika mikupuo 6 ya dola milioni 33.33 kwa mwaka katika miaka 6.

Pamoja ya Zitto kutokuwa mkweli, lakini ukweli wa Zitto kuwa tunapigwa uko pale pale. Tunapigwa kwa sababu hizi dola milioni 300, tuliahidiwa as goodwill money, hasikupaswa kuwa conditional wala hazikupaswa kulipwa kido kidogo, zilipaswa kulipwa there and then.

Kitu cha pili kwa vile hiki kilikuwa ni kishika uchumba tuu na kuonyeshea goodwill ya kulipia mahari kamili ya binti yetu ambayo ni dola bilioni 190, lakini serikali yetu imesamehe mahari yote, na kile kishika uchumba sasa ndio kigeuzwa kifuta machozi, hapa sasa ndipo tulipopigwa!. Hapa nilishauri serikali yetu lazima itufafanulie Watanzania the basis ya msamaha huu.

Kwenye hili kiukweli mimi nimelisema sana humu.
Nchi ya kusadikika na kisa cha binti Mfalme aliyebakwa; Baba wa ...
Dola milioni 300, siku 90, sentano kipande haijalipwa! acacia ...
Hatari ya kulizwa? Acacia waanza kufungasha kiana, wauza mgodi ...
Je, wajua kuna uwezekano Barrick wanatuingiza mkenge?!. Hili la ...
Priorities Zetu Nini?. Dola Milioni 300 Zinatosha Kununua Smelter ...
Dola Milioni 300 zetu za kishika uchumba cha Acacia, danadana ...

2. Barrick Gold Wamesamehewa Kodi ya Ongezeko la Mtaji USD 85.6M

Serikali ya Tanzania imetoa misamaha mbalimbali ya Kodi kwa Kampuni ya Barrick Gold katika makubaliano yaliyoingiwa ikiwemo kodi ya ‘Capital Gains’ ambayo inatokana na mauzo ya hisa za Acacia kwa Barrick. Itakumbukwa kuwa mwaka 2012 Bunge lilitunga sheria ya kutoa Kodi ya Ongezeko la Mtaji kwa mauzo ya mali zilizopo Tanzania ili kudhibiti ukwepaji wa Kodi.

Barrick inainunua Acacia kwa Hisa ambazo Barrick haikuwa inamiliki ambazo zimepewa thamani ya Dola Milioni 428. Capital Gains Tax ya 20% ilipaswa kulipwa lakini Rais Magufuli na Profesa Kabudi wametoa ‘waiver’ (Msamaha) na kupoteza Mapato halali na ya kisheria kwa nchi yetu ya Dola Milioni 85.6 (wastani wa TZS 200 Bilioni). Tukirejea hoja ya kwanza hapo juu utaona kuwa sio tu Tanzania kiuhalisia haitapata Dola Milioni 300, bali pia tunaipa zawadi Barrick ya Dola Milioni 25.6 (wastani wa TZS 59 Bilioni) za ziada.
Hili ni kweli, hawa na ni kawaida kwa serikali yetu kutoa misamaha ya aina hii kwa kutotoza capital gain tax kwenye acquisitions kibao, au kwenye hostile take overs,
Celtel ilibadilika kuwa Zain, ikabadilika kuwa Airtel, hakuna tulicholipwa!.
Sheraton ilibadilika kuwa Moven Pick, Royal Palm sasa Serena sijui kama tulilipwa kitu!.
Mibitel, iligeuka kuwa Tigo sijui kama tulilipwa kitu!.
Kibo Breweries ilikuwa taken over kwenye hostile take over, sijui kama tulilipwa kitu, hivyo hapa Zitto is right, but its not the first time, kama kule kuingine tumetoa misamaha hiyo, why not now?.

3. Tanzania kupewa Hisa 16% za daraja B lakini Watanzania kunyimwa umiliki wa 30% kupitia Soko la Hisa la DSE

Ni kweli kuwa Serikali itapewa hisa za bure 16% kwenye Kampuni tanzu zote za Acacia hapa nchini kama tulivyoambiwa na Serikali. Lakini hisa hizo ni za Daraja la B ambazo ni hisa dhaifu kulinganisha na zile za Daraja la kwanza. Hisa hizo haziruhusiwi kuuzwa, hazina kura kwa masuala fulani fulani ya Kampuni na huwezi hata kuziweka kama dhamana ya mikopo. Hata mgawo wa gawio hisa hizi hupata baada ya wale wa daraja A kulipwa kwa ukamilifu.

Licha ya makubaliano haya ya hovyo na yasiyo na tija, Serikali yetu imetoa ‘waiver’ (msamaha) kwa Barrick kutoorodhesha hisa kwenye Soko la Hisa la Tanzania. Sheria ya Madini ya mwaka 2010 (Wakati wa Waziri William Ngeleja) na Kanuni zake iliweka sharti kwamba ni lazima makampuni ya madini yauze 30% ya hisa kwa Watanzania kwenye soko la Hisa la Tanzania.

Makubaliano ya Mei 2019 kati ya Barrick na Serikali ya Tanzania yametoa msamaha kwa Barrick kutekeleza sharti hilo la kisheria. Uamuzi huu unavunja sheria za nchi, ni hujuma kwa Watanzania kumiliki maliasili zao na ni ukosefu wa maarifa ya kiuchumi kwa kiwango kisichomithilika wala kuvumilika.

Hili la hisa za daraja B ni kweli lakini sii kweli kuwa Watanzania tumenyimwa umiliki wa 30% kupitia DSE!.
Hizi hisa aslimia 16 za Tanzania, ni free carried shares, tumepewa bure, na kote free carried shares huwa haziuzwi ila sii kweli kuwa hazina voting rights, huu ni uongo!. Pia sii kweli kuwa Watanzania tumenyimwa umiliki wa 30% kupitia DSE!.
Naomba hapa ikumbukwe, shares zinazouzwa ni shares za Acacia zinazo trade kwenye London Stock Exchange tuu, hata yale mambo ya PUSU ni mambo yao, sijasikia lolote kuhusu shares za Acacia zinazo trade kwenye DSE, hivyo business ya hisa za Acacia ndani ya DSE zinaendelea as usual.Hata baada ya sale kukamilika, hivyo kampuni mpya italazimika kuuza 30% ya hisa zake kwenye DSE na Watanzania wenye fedha, watakuwa free kununua hisa hizo kwenye soko.

Tukija kwenye voting rights, sii kweli kuwa Tanzania hatuna voting rights, bali ni kawaida kwa free shares zote hazina voting rights ya pro rata ya share to shares bali tuna voting rights za block shares. Sisi Tanzania wenye free carried shares za 16%, serikali yetu iteteua mjumbe mmoja wa bodi ambaye ni Mtanzania, ataingia na kuwa mjumbe wa bodi ya hiyo kampuni mpya, kwa zile asilimia 16% za shares zetu na ndani ya kikao cha bodi, atakuwa na voting righs za kupiga kura 1 as a block vote kuwakilisha zile shares 14, wakati wajumbe wengine wengine wa bodi, watakaowakilisha zile subscribed shares za asilimia 84%, wanatakuwa na voting rights ya votes 84 kwa uwiano wa share to shares votes pro rata according to shares subscription. Hivyo ndani ya bodi ya hiyo kampuni Mtanzania atakayeingia humo, atakuwa anapiga kura moja kuwakilisha the block ya zile shaes zetu 16 za bure, na katika mgao wa faida, sii kweli kuwa tutapata mgao baada ya wale wengine, huu ni uongo!, Tanzania tunagaiwa mgao sawa kabisa wa faida kwa mujibu wa shares hizo.

Kwa wasio jua kuhusu shares za group A na group B shares za group A ni shares za watu walio invest kwa kutoa fedha zao kununua shares, yaani subscribed shares, na shares group B ni shares za heshima, shares za hisani zinazotolewa bure, shares hizi za hisani haziruhusiwi kuuzwa, wala kuwa disposed or transferred na zina block votes rights. Hili hufanyika kwa makampuni kuwapa hisa za heshima land owners, mfano UAE, hakuna foreigner anayeruhusiwa kumiliki ardhi, ardhi yote ni ya wazawa, hivyo investor akija lazima aingie ubia na wazawa mzawa anatoa land, investo ana jenga, kama alivyofanya Rugemalila kwenye IPTL alitoa ardhi yake na kupewa 30 m% ya shares, IPTL ikaikwa kwa PAP, Ruhemalila akalipwa shares zake, akagawa fedha zake, sasa anateswa bure bila kosa lolote!.

4. Bunge lafungwa mikono kubadili sheria yeyote
Serikali ya Tanzania na Kampuni ya Barrick wamekubaliana kuwa baada ya mkataba wao kukamilika Bunge la Tanzania haliwezi kutunga sheria yeyote ambayo itabadili makubaliano hayo na kodi zote zilizokuwa zinafanya kazi wakati wa kuingia makubaliano hazitaweza kubadilishwa kipindi chote ambacho Barrick watakuwa wanafanya kazi Tanzania (fiscal stabilisation).

Makubaliano ya namna hii ndiyo kitu kilicholeta Buzwagi mwaka 2007 ambapo Serikali za Rais Mkapa na Rais Kikwete ziliingia mikataba ya kulifunga Bunge kutimiza majukumu yake ya kikatiba kama Dola (sovereign). Sheria ya Madini yam waka 2010 iliondoa sharti hili kufuatia mapendekezo ya Kamati ya Bomani. Rais Magufuli na Waziri Kabudi wameturudisha kwenye unyonyaji wa kihayawani kabisa.

Kwenye hili pia Zitto hajasema kweli, kwenye document hii yenye kurasa 91, hakuna popote Bunge la JMT limetajwa!. Makubaliano haya yatatawaliwa na sheria za Tanzania. Hakuna popote Bunge limetajwa, bali kilisemwa ni maadam sheria iliyotungwa ninaelekeza free carried shares ni asilimia 16%, baada ya kusainiwa kwa makubaliano haya, serikali haiwezi kuongeza kile kiwango cha shares zaidi ya asilimia 16% za kisheria unilateral, kama ilivyofanya kwa sheria mpya ya madini "the GoT will not unilaterally seek to increase its share ownership or economic participation rights in the TMC", hii maana yake, serikali haiwezi kujiamua yenyewe pekee bila kuishirikisha Barrick.

Hili mimi nililizungumzia kitambo ile tuu tunabadili sheria, kuwa kisheria, sheria yoyote ambayo ni sheria nzuri, inaanza kufanya kazi tangu pale inapotungwa. Sheria yoyote inayotungwa halafu ina act retrorespect is a bad law. Hivyo tulipopitisha sheria mpya, nikasema tuwashukuru sana Barrick wamekubali kuanza upya kwa sheria mpya, Hakuna mwingine yoyote mwenye mkataba wa zamani amakubali kubadili na kutumia sheria mpya.

5. Barrick wameruhusiwa kufungua kesi ughaibuni kinyume na Sheria

Kwa mujibu wa sheria mpya za madini za mwaka 2017 makampuni yamezuiliwa kufungua mashauri yake nje ya Tanzania. Migogoro yote inapaswa kushughulikiwa na mahakama za ndani ya nchi. Serikali ya Tanzania imekubaliana na Barrick kuwa migogoro itafanyika kwa mujibu wa kanuni za UNICITRAL na Rais wa Kituo cha usuluhishi wa migogoro cha Singapore ndio atateua wasuluhishi ambao hapatakuwa na Mtanzania.

Kwenye hili, Zitto yuko right 100% kipengele kwenye sheria yetu mpya kinachokataza usuluhisi nje ya Tanzania ni hiki
View attachment 1158849

Ile siku sheria hii inapitishwa Bungeni, mnadhimu wa Kambi ya Upinzani Bungeni na Waziri Kivuli wa sheria, Tundu Lissu, alionya kuhusu hili kuwa hatuwezi kupitisha sheria ambayo hatuwezi kuitekeleza and soon tutakuja kuifanyia marekebisho. Hivyo hapa Zitto yuko right, makubaliona haya ni kinyume cha sheria, hivyo ni illegal.

Neno kwa wapenzi wa Zitto.
Kwa wapenzi wa Zitto, naomba kuwahakikishia, lengo la bandiko hili sio kumtweza au kumbagaza Mhe. Zitto, bali ni kumuelimisha tuu na kumtaka awe mkweli kwa kuacha upotoshaji, ila kiukweli kabisa Zitto ni kati ya wanasiasa makini na mahiri kabisa ninaowakubali, na hata nikashauri, kama Tanzania tunataka ushindani katika uchaguzi wa rais 2020, Zitto ndio the one and only anayeweza kuleta ushindani kwa mgombea wa CCM 2020.

Zitto is and has been my hero na hapa nilimchambua vizuri
Nawatakia Jumapili Njema.
Asante.
P
Kumhusu Zitto, nimeisha wahi kusema haya

Zitto ni Mzalendo wa kweli, Baada ya kumsikiliza leo, nimebaini ...
Kiukweli, Kama Sio Nguvu ya Soda, Then ACT ni Tishio. Hawa ni The ...
Face to Face with Zitto Kabwe: Kuhusu Kupika Data, "Namheshimu ...
Zitto Zuberi Kabwe Ni Mchochezi, Akamatwe, Ashitakiwe Kwa ...
Wafuasi wa Zitto na Manazi wa CHADEMA: Tunajenga Nyumba Moja ...
Kichaa Mmoja, Anaweweseka Sana Juu ya Zitto, Kamtungia Uongo ...
Kama Tuhuma Hii ni Kweli!, Then This is "The End Of Zitto ...
Wapinzani msione aibu kushirikiana na CCM kwenye hoja zenye ...
Kilichomkuta Zitto: Kuna mkono wa Mtu! Yajue makundi 10 ya ...
La Zitto Kuvuliwa Nyadhifa CHADEMA: Mhe. Zitto, Please! Play It ...
Opinion: Kung'atuka Kwa Zitto, CHADEMA, Msishangilie, Mkajisahau ...
 
Frame work agreement wengi hatujaielewa
Mtoa mada hajaielewa.
Kiufupi
50/50 ni
taxes zote
Share zetu
Royalties etc

Pia wanataka wafungue account nje ya tz
Watasafirisha makinikia
 
Aiseeee!!
Lakini mkuu Pascal kama hiyo ni draft maana yake imeandaliwa kwa pamoja kati ya Barrick na GOT labda kwa Muktadha huo ndio Barrick akainunua Acacia.
Maana tunaambiwa hiyo agreement imeshawekwa wazi kwenye viunga vya NYSE na LSE ili wadau waiona kwa I think for business purpose, Unafikiri kunakitakacho badirika hapo.?
 
Same page with u Mkuu. Kikaragosi pascal mayalla is so desperate for his appointment so he’ll write any CRAP to please bwana wake anamtumia in order to get his appointment and marching orders.

Naamini, I might not be right, Zitto is much more ahead of you in such matters leave alone your capacity as a reporter and not an investigative reporter! aspects!
 
Wanabodi,
Tangu baada ya Barrick kutangaza kuninunua Acacia, kumeibuka mijadala mingi kuhusu suala hili, haku wanasiasa waki capitalize kwa kutafuta political score na political capitalization kuhusu jambo hili, kwa kutumia hoja za uongo au upotoshaji wa makusudi for political gain au upotoshaji wa bahati mbaya kutokana na kutokujua vizuri lugha ya Malikia.

Sijitapi kuwa mimi ndie mtu wa kwanza kuleta hii braking news ya Acacia kununuliwa, na ni miongoni mwa wana jf tulioandika sana kuhusu hili, to be on a safe side, kunapotokea mambo yahusuyo lugha za watu, huwa ninaweka source ili ukajisomee mwenyewe, hivyo hili ni bandika la kukosoa Mhe. Zitto kwa uongo na upotoshaji huku nikimuomba asikasirike kama lugha ya malikia haipandi kivile, kwa vile tuko wengi tuu lugha hii inatupiga chenga, kuanzia ile 1st Class ya LL.B ya Sheria ya UDSM yenye GPA ya 4.9 na Ph.D ya Sheria, hadi Ph.D ya Kemia, hii lugha ya malikia kwenye hili imesumbua, watu waliambiwa 50/50 ya Economic Benefits, wakatueleza ni 50/50 ya net profits!. Mhe. Zitto naye kaona Draft Agreement ikaelezwa imekuwa initialed, kaibuka kuwa ni mkataba umesainiwa!, kakwe draft agreement ni mkataba, na kuwa initialed kwake ni kusainiwa!, hizi lugha za watu jamani, zisitufanye kuwa waongo na wapotoshaji, tuwe wakweli daima, tell the truth and the truth will set you free!.
Naomba tuanzie kwenye bandiko langu kuhusu jambo hili

Kwenye bandiko hili, niliweka links za Barrick na Acacia.

Ndipo Mhe. Zitto naya akaibuka na bandiko lake, japo hoja zake kwa asilimia kubwa ni za kweli, lakini pia kuna asilimia ndogo ya uongo na upotoshaji mkubwa kama kupotosha kuwa makubaliano yamesainiwa!, hakuna makubaliano yaliyosainiwa!.

Mkuu Mhe. Zitto, kwanza asante kwa bandiko hili na uzalendo wako kwa nchi yako. Kwa vile mimi ni miongoni wa wana jf ambao tumeandika sana kuhusu hili, nitachangia baadhi ya vipengele with reference ya nilisema nini, nilishauri nini na kulinganisha na kilichotokea ni nini, but with due respect, na wasiojua ligha ya Malikia, ni kwa heshima na taadhima, tuwe wakweli toka ndani ya nafsi zetu, tuache urongo na upotoshaji, just tell the truth and the truth will set you free, sii kweli kuwa mkataba huu umeisha sainiwa!, hilo neno (INITIALED) sio kuonyesha kuwa umesainiwa, bali katika mikataba, kunatakiwa signatories watie initials zao kwenye kila page ya draft kuonyesha wameelewa, lakini draft ni draft na mkataba ni mkataba!, ku INITIALED sio kusaini.

Hicho kiambanisho 4 ni draft, na mimi nimekiweka kwenye bandiko langu la tangazo la kifo cha Acacia
na nikasisitiza,

Hatuwezi kusema kila kitu mpaka baada ya kusainiwa kwa makubaliano hayo, na nikasisitiza kwenye makinikia kuna lakini sikuiweka hiyo lakini kwa sababu bado hatujaona makubaliano yaliyofikiwa, as of now hayo ni mapendekezo tuu, yaani draft, siku zote drafts zote huwa ni tentative, inaweza kubadilika, hivyo naomba kusisitiza katika hili tuwe wakweli, tutumie ukweli, tuache urongo na upotoshaji!.

Sijamuita Zitto muongo, au mpotoshaji, nimesema kwenye hoja zake kuna uongo na upotoshaji. Kwa vile Zitto namfahamu fika toka enzi zetu za UDSM, hivyo naifahamu intelect ya Zitto, haiwezekani katika kiambatanisho hicho, awe hayajaona maneno haya
"Appendix 4 Summary of the material terms of the current draft documentation under discussion (but not yet finalised) with the GoT The discussions between Barrick and the GoT have advanced to the point where draft documentation was initialled by the GoT on 19 May 2019". Hapa maana yake hii ni draft tuu imekuwa initialled na GOT lakini haijawa finalized, kwa Zitto ninayemjua mimi, haiwezekani Zitto awe hakuyaona maneno haya.

Kwenye document hiyo, kuna maneno ya capital letters na bold
"THERE IS NO CERTAINTY THAT THE TRANSACTION DOCUMENTS WILL BE AGREED WITH THE GOT IF THE SCHEME BECOMES EFFECTIVE AND THE TERMS OF THE FINAL FORM OF TRANSACTION DOCUMENTS, IF AGREED, MAY DIFFER FROM THOSE SUMMARIZED BELOW."
Siamini kuwa Zitto hakuyaona maneno haya, kwa wasio jua lugha ya Malikia ni "hakuna uhakika kama makubaliano haya yatakubaliwa na GOT, na hata yakikubaliwa, yanaweza kuwa ni tofauti na kilichokubaliwa hapa!. Hivyo Zitto kusema ni mkataba umesainiwa, huu ni uongo wa mchana kweupe, na amepotosha kwa makusudi tuu sio kuwa hakuona mistari hiyo!.

Kwenye kipengele cha 11 cha makubaliano hayo kinasema wazi kuwa
"11. The conditions set out in (a) to (g) of paragraph A10 above may be waived by the Acacia parties and the conditions set out in (h) to (i) of paragraph A10 above may be waived by the GoT. "
Hapa wanasema masharti ya mkataba huu yaliyowekwa kwa ibara ya 10, yanaweza kukubaliwa au kukataliwa na Acacia, au na GOT kuthibitisha kuwa makubaliano haya sio final and conclusive, haiwezekani Zitto ninayemjua mimi, hakuliona hili!.

Kipengele cha 12 kinasema
"12. Those provisions which are stated to become effective on signing of the Framework Agreement"
Hapa kwa lugha ya Malkia ni masharti hayo, yatatakiwa kutekelezwa baada ya kusaibiwa kwa makubaliano hayo, bado hakuna makubaliano yoyote yaliyosainiwa!. Siamini kuwa Zitto hakuliona hilo.

Kwenye kiambatisho hicho kuna hii para
"The discussions between Barrick and the GoT have advanced to the point where draft documentation was initialled by the GoT on 19 May 2019, albeit with a number of substantive issues still outstanding which are subject to further discussion. Whilst a basis for settlement has been developed, the terms have not yet been finalised"
Naamini kabisa Zitto anajua maana ya maneno hayo, hawa jamaa wanasema bado kuna issues ni still outstanding na zinahitaji majadiliano zaidi.

Sasa ili kumtendea haki Mhe. Zitto, naomba kuziweka hoja zake zote 5 na kusema hoja zipi ni za kweli na hoja zipi ni za uongo na upotoshaji tuu.

1. Dola Milioni 300 za kumaliza mgogoro KIINI MACHO

Serikali imekubaliana na Barrick kuwa italipwa Dola milioni 300 (wastani wa TZS 700 Bilioni) kama malipo ya kumaliza mgogoro wote (full, final and complete settlement) na SIO kishika uchumba kama Serikali ilivyoeleza umma. Barrick watalipa fedha hizi kwa muda wa MIAKA 7 na zitakuwa ni baada ya kuondoa madai yote ya kodi ambayo Acacia inaidai Tanzania.

Itakumbukwa kuwa Acacia Group ina madai ya marejesho ya Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT refunds) inayofikia takribani Dola za Marekani milioni 240 (wastani wa 552 Bilioni). Hivyo katika malipo ya Dola za Marekani Milioni 300, zitakazobakia baada ya kutoa madai ya VAT refunds ni Dola Milioni 60 (wastani wa 138 Bilioni) tu. Kama tutakavyoona katika hoja ya pili hapa chini hata hizi Dola za Marekani Milioni 60 kimsingi hazitatolewa.

Kwenye hoja hii Zitto kuna sehemu amesema kweli, hapa tumepigwa. lakini kuna sehemu Zitto sio tuu hakusema kweli bali amesema uongo. Kwa vile Mhe. Zitto ni Mbunge akisema kitu ndipo watu wanakizingatia, hivyo Zitto hili la dola milioni 300 ndio ameliona baada ya kusoma draft ya makubaliano na kulisemea kwa kulipotosha wakati sisi akina kajamba nani, hili tuliliona kitambo na tukalisemea sana humu.

Baada ya Barrick kuinunua Acacia, ni kweli kweli tutalipwa kifuta machozi cha dola milioni 300, sii kweli kuwa malipo haya yatatolewa baada ya kuondoa VAT refund, bali kweli kuwa malipo haya yatalipwa katika kipindi cha miaka 7.
Tukiisha saini mkataba, tutalipa upfront ta dola milioni 100. Hivyo hoja ya Zitto kuwa kwenye dola milioni 300, tutaambulia dola milioni 60 tuu, huu ni uongo wa mchana kweupe. Ile siku Barrick wanakuja kusaini mkataba, ile kuangusha tuu wino kusaini, kitita cha dola milioni 100 kinawekwa mezani as upfront payment kama ilivyoelezwa hapa
"There will be an initial upfront “payment” by way of assignment to the GoT of minerals contained in containers at Dar es Salaam port with a value of US$100 million". Shilingi milioni 200 zilizobakia, ndizo zitalipwa katika mikupuo 6 ya dola milioni 33.33 kwa mwaka katika miaka 6.

Pamoja ya Zitto kutokuwa mkweli, lakini ukweli wa Zitto kuwa tunapigwa uko pale pale. Tunapigwa kwa sababu hizi dola milioni 300, tuliahidiwa as goodwill money, hasikupaswa kuwa conditional wala hazikupaswa kulipwa kido kidogo, zilipaswa kulipwa there and then.

Kitu cha pili kwa vile hiki kilikuwa ni kishika uchumba tuu na kuonyeshea goodwill ya kulipia mahari kamili ya binti yetu ambayo ni dola bilioni 190, lakini serikali yetu imesamehe mahari yote, na kile kishika uchumba sasa ndio kigeuzwa kifuta machozi, hapa sasa ndipo tulipopigwa!. Hapa nilishauri serikali yetu lazima itufafanulie Watanzania the basis ya msamaha huu.

Kwenye hili kiukweli mimi nimelisema sana humu.
Nchi ya kusadikika na kisa cha binti Mfalme aliyebakwa; Baba wa ...
Dola milioni 300, siku 90, sentano kipande haijalipwa! acacia ...
Hatari ya kulizwa? Acacia waanza kufungasha kiana, wauza mgodi ...
Je, wajua kuna uwezekano Barrick wanatuingiza mkenge?!. Hili la ...
Priorities Zetu Nini?. Dola Milioni 300 Zinatosha Kununua Smelter ...
Dola Milioni 300 zetu za kishika uchumba cha Acacia, danadana ...

2. Barrick Gold Wamesamehewa Kodi ya Ongezeko la Mtaji USD 85.6M

Serikali ya Tanzania imetoa misamaha mbalimbali ya Kodi kwa Kampuni ya Barrick Gold katika makubaliano yaliyoingiwa ikiwemo kodi ya ‘Capital Gains’ ambayo inatokana na mauzo ya hisa za Acacia kwa Barrick. Itakumbukwa kuwa mwaka 2012 Bunge lilitunga sheria ya kutoa Kodi ya Ongezeko la Mtaji kwa mauzo ya mali zilizopo Tanzania ili kudhibiti ukwepaji wa Kodi.

Barrick inainunua Acacia kwa Hisa ambazo Barrick haikuwa inamiliki ambazo zimepewa thamani ya Dola Milioni 428. Capital Gains Tax ya 20% ilipaswa kulipwa lakini Rais Magufuli na Profesa Kabudi wametoa ‘waiver’ (Msamaha) na kupoteza Mapato halali na ya kisheria kwa nchi yetu ya Dola Milioni 85.6 (wastani wa TZS 200 Bilioni). Tukirejea hoja ya kwanza hapo juu utaona kuwa sio tu Tanzania kiuhalisia haitapata Dola Milioni 300, bali pia tunaipa zawadi Barrick ya Dola Milioni 25.6 (wastani wa TZS 59 Bilioni) za ziada.
Hili ni kweli, hawa na ni kawaida kwa serikali yetu kutoa misamaha ya aina hii kwa kutotoza capital gain tax kwenye acquisitions kibao, au kwenye hostile take overs,
Celtel ilibadilika kuwa Zain, ikabadilika kuwa Airtel, hakuna tulicholipwa!.
Sheraton ilibadilika kuwa Moven Pick, Royal Palm sasa Serena sijui kama tulilipwa kitu!.
Mibitel, iligeuka kuwa Tigo sijui kama tulilipwa kitu!.
Kibo Breweries ilikuwa taken over kwenye hostile take over, sijui kama tulilipwa kitu, hivyo hapa Zitto is right, but its not the first time, kama kule kuingine tumetoa misamaha hiyo, why not now?.

3. Tanzania kupewa Hisa 16% za daraja B lakini Watanzania kunyimwa umiliki wa 30% kupitia Soko la Hisa la DSE

Ni kweli kuwa Serikali itapewa hisa za bure 16% kwenye Kampuni tanzu zote za Acacia hapa nchini kama tulivyoambiwa na Serikali. Lakini hisa hizo ni za Daraja la B ambazo ni hisa dhaifu kulinganisha na zile za Daraja la kwanza. Hisa hizo haziruhusiwi kuuzwa, hazina kura kwa masuala fulani fulani ya Kampuni na huwezi hata kuziweka kama dhamana ya mikopo. Hata mgawo wa gawio hisa hizi hupata baada ya wale wa daraja A kulipwa kwa ukamilifu.

Licha ya makubaliano haya ya hovyo na yasiyo na tija, Serikali yetu imetoa ‘waiver’ (msamaha) kwa Barrick kutoorodhesha hisa kwenye Soko la Hisa la Tanzania. Sheria ya Madini ya mwaka 2010 (Wakati wa Waziri William Ngeleja) na Kanuni zake iliweka sharti kwamba ni lazima makampuni ya madini yauze 30% ya hisa kwa Watanzania kwenye soko la Hisa la Tanzania.

Makubaliano ya Mei 2019 kati ya Barrick na Serikali ya Tanzania yametoa msamaha kwa Barrick kutekeleza sharti hilo la kisheria. Uamuzi huu unavunja sheria za nchi, ni hujuma kwa Watanzania kumiliki maliasili zao na ni ukosefu wa maarifa ya kiuchumi kwa kiwango kisichomithilika wala kuvumilika.

Hili la hisa za daraja B ni kweli lakini sii kweli kuwa Watanzania tumenyimwa umiliki wa 30% kupitia DSE!.
Hizi hisa aslimia 16 za Tanzania, ni free carried shares, tumepewa bure, na kote free carried shares huwa haziuzwi ila sii kweli kuwa hazina voting rights, huu ni uongo!. Pia sii kweli kuwa Watanzania tumenyimwa umiliki wa 30% kupitia DSE!.
Naomba hapa ikumbukwe, shares zinazouzwa ni shares za Acacia zinazo trade kwenye London Stock Exchange tuu, hata yale mambo ya PUSU ni mambo yao, sijasikia lolote kuhusu shares za Acacia zinazo trade kwenye DSE, hivyo business ya hisa za Acacia ndani ya DSE zinaendelea as usual.Hata baada ya sale kukamilika, hivyo kampuni mpya italazimika kuuza 30% ya hisa zake kwenye DSE na Watanzania wenye fedha, watakuwa free kununua hisa hizo kwenye soko.

Tukija kwenye voting rights, sii kweli kuwa Tanzania hatuna voting rights, bali ni kawaida kwa free shares zote hazina voting rights ya pro rata ya share to shares bali tuna voting rights za block shares. Sisi Tanzania wenye free carried shares za 16%, serikali yetu iteteua mjumbe mmoja wa bodi ambaye ni Mtanzania, ataingia na kuwa mjumbe wa bodi ya hiyo kampuni mpya, kwa zile asilimia 16% za shares zetu na ndani ya kikao cha bodi, atakuwa na voting righs za kupiga kura 1 as a block vote kuwakilisha zile shares 14, wakati wajumbe wengine wengine wa bodi, watakaowakilisha zile subscribed shares za asilimia 84%, wanatakuwa na voting rights ya votes 84 kwa uwiano wa share to shares votes pro rata according to shares subscription. Hivyo ndani ya bodi ya hiyo kampuni Mtanzania atakayeingia humo, atakuwa anapiga kura moja kuwakilisha the block ya zile shaes zetu 16 za bure, na katika mgao wa faida, sii kweli kuwa tutapata mgao baada ya wale wengine, huu ni uongo!, Tanzania tunagaiwa mgao sawa kabisa wa faida kwa mujibu wa shares hizo.

Kwa wasio jua kuhusu shares za group A na group B shares za group A ni shares za watu walio invest kwa kutoa fedha zao kununua shares, yaani subscribed shares, na shares group B ni shares za heshima, shares za hisani zinazotolewa bure, shares hizi za hisani haziruhusiwi kuuzwa, wala kuwa disposed or transferred na zina block votes rights. Hili hufanyika kwa makampuni kuwapa hisa za heshima land owners, mfano UAE, hakuna foreigner anayeruhusiwa kumiliki ardhi, ardhi yote ni ya wazawa, hivyo investor akija lazima aingie ubia na wazawa mzawa anatoa land, investo ana jenga, kama alivyofanya Rugemalila kwenye IPTL alitoa ardhi yake na kupewa 30 m% ya shares, IPTL ikaikwa kwa PAP, Ruhemalila akalipwa shares zake, akagawa fedha zake, sasa anateswa bure bila kosa lolote!.

4. Bunge lafungwa mikono kubadili sheria yeyote
Serikali ya Tanzania na Kampuni ya Barrick wamekubaliana kuwa baada ya mkataba wao kukamilika Bunge la Tanzania haliwezi kutunga sheria yeyote ambayo itabadili makubaliano hayo na kodi zote zilizokuwa zinafanya kazi wakati wa kuingia makubaliano hazitaweza kubadilishwa kipindi chote ambacho Barrick watakuwa wanafanya kazi Tanzania (fiscal stabilisation).

Makubaliano ya namna hii ndiyo kitu kilicholeta Buzwagi mwaka 2007 ambapo Serikali za Rais Mkapa na Rais Kikwete ziliingia mikataba ya kulifunga Bunge kutimiza majukumu yake ya kikatiba kama Dola (sovereign). Sheria ya Madini yam waka 2010 iliondoa sharti hili kufuatia mapendekezo ya Kamati ya Bomani. Rais Magufuli na Waziri Kabudi wameturudisha kwenye unyonyaji wa kihayawani kabisa.

Kwenye hili pia Zitto hajasema kweli, kwenye document hii yenye kurasa 91, hakuna popote Bunge la JMT limetajwa!. Makubaliano haya yatatawaliwa na sheria za Tanzania. Hakuna popote Bunge limetajwa, bali kilisemwa ni maadam sheria iliyotungwa ninaelekeza free carried shares ni asilimia 16%, baada ya kusainiwa kwa makubaliano haya, serikali haiwezi kuongeza kile kiwango cha shares zaidi ya asilimia 16% za kisheria unilateral, kama ilivyofanya kwa sheria mpya ya madini "the GoT will not unilaterally seek to increase its share ownership or economic participation rights in the TMC", hii maana yake, serikali haiwezi kujiamua yenyewe pekee bila kuishirikisha Barrick.

Hili mimi nililizungumzia kitambo ile tuu tunabadili sheria, kuwa kisheria, sheria yoyote ambayo ni sheria nzuri, inaanza kufanya kazi tangu pale inapotungwa. Sheria yoyote inayotungwa halafu ina act retrorespect is a bad law. Hivyo tulipopitisha sheria mpya, nikasema tuwashukuru sana Barrick wamekubali kuanza upya kwa sheria mpya, Hakuna mwingine yoyote mwenye mkataba wa zamani amakubali kubadili na kutumia sheria mpya.

5. Barrick wameruhusiwa kufungua kesi ughaibuni kinyume na Sheria

Kwa mujibu wa sheria mpya za madini za mwaka 2017 makampuni yamezuiliwa kufungua mashauri yake nje ya Tanzania. Migogoro yote inapaswa kushughulikiwa na mahakama za ndani ya nchi. Serikali ya Tanzania imekubaliana na Barrick kuwa migogoro itafanyika kwa mujibu wa kanuni za UNICITRAL na Rais wa Kituo cha usuluhishi wa migogoro cha Singapore ndio atateua wasuluhishi ambao hapatakuwa na Mtanzania.

Kwenye hili, Zitto yuko right 100% kipengele kwenye sheria yetu mpya kinachokataza usuluhisi nje ya Tanzania ni hiki
View attachment 1158849

Ile siku sheria hii inapitishwa Bungeni, mnadhimu wa Kambi ya Upinzani Bungeni na Waziri Kivuli wa sheria, Tundu Lissu, alionya kuhusu hili kuwa hatuwezi kupitisha sheria ambayo hatuwezi kuitekeleza and soon tutakuja kuifanyia marekebisho. Hivyo hapa Zitto yuko right, makubaliona haya ni kinyume cha sheria, hivyo ni illegal.

Neno kwa wapenzi wa Zitto.
Kwa wapenzi wa Zitto, naomba kuwahakikishia, lengo la bandiko hili sio kumtweza au kumbagaza Mhe. Zitto, bali ni kumuelimisha tuu na kumtaka awe mkweli kwa kuacha upotoshaji, ila kiukweli kabisa Zitto ni kati ya wanasiasa makini na mahiri kabisa ninaowakubali, na hata nikashauri, kama Tanzania tunataka ushindani katika uchaguzi wa rais 2020, Zitto ndio the one and only anayeweza kuleta ushindani kwa mgombea wa CCM 2020.

Zitto is and has been my hero na hapa nilimchambua vizuri
Nawatakia Jumapili Njema.
Asante.
P
Kumhusu Zitto, nimeisha wahi kusema haya

Zitto ni Mzalendo wa kweli, Baada ya kumsikiliza leo, nimebaini ...
Kiukweli, Kama Sio Nguvu ya Soda, Then ACT ni Tishio. Hawa ni The ...
Face to Face with Zitto Kabwe: Kuhusu Kupika Data, "Namheshimu ...
Zitto Zuberi Kabwe Ni Mchochezi, Akamatwe, Ashitakiwe Kwa ...
Wafuasi wa Zitto na Manazi wa CHADEMA: Tunajenga Nyumba Moja ...
Kichaa Mmoja, Anaweweseka Sana Juu ya Zitto, Kamtungia Uongo ...
Kama Tuhuma Hii ni Kweli!, Then This is "The End Of Zitto ...
Wapinzani msione aibu kushirikiana na CCM kwenye hoja zenye ...
Kilichomkuta Zitto: Kuna mkono wa Mtu! Yajue makundi 10 ya ...
La Zitto Kuvuliwa Nyadhifa CHADEMA: Mhe. Zitto, Please! Play It ...
Opinion: Kung'atuka Kwa Zitto, CHADEMA, Msishangilie, Mkajisahau ...
MAYALA NAJUA UCHUNGU ULIONAO LAKINI KWANGU MIMI NI HERI KUWA NA MZALENDO MUONGO KULIKO KUWA NA ASIYE MZALENDO HALAFU AKAWA MUONGO. NIMESOMA TOKA MWANZO ZIPO SEHEMU UNAZOKIRI KWAMBA JAMBO HALIJAENDA SAWA. NA MARA NYINGI KWA WATU ASIOKUSOMA VIZURI NI VIGUMU KUKUELEWA ILA KWA BANDIKO HILI LIPO JAMBO AMBALO ULITAKA KULIFIKISHA WAZIWAZI ILA UMELIWEKA KATIKA VIFICHO. NADHAN HII INATOKANA BAADA YA WEWE KUITWA BUNGENI NADHANI MKWARA ULIKUWA MZITO NA HASA NIKIFUATILIA HISTORIA YAKO(MZEE MAYALA) SIJJUA KAMA NI YULE WA IGOMA AU MWINGINE. UKWELI NI KWAMBA UMEKIRI TUTAPIGWA NA HATA KASENTI HATUTOPATA NA KWAMBA BUNGE LIMEPIGWA NGUMI YA MDOMO LITABAKI MAPENGO. SIJAKUPATA SEHEMU ULIYOTUMIA NENO "LUMPEN" NAENDA KUTAFUTA DICTIONARY NIRUDI. NAJUA TUNAKUWA TRACKED LAKINI KWENYE MAMBO YA KITAIFA ACHA TU TUSEME UKWELI HII ILIYOPO NI RICHMOND NYINGINE. WAKATI NA BROWSE NIMEPEWA ALART KWAMBA NIKO TRACED
 
Mayalla ni mpumbavu mwingine yuko busy kufukuzia teuzi hajali chochote kuhusu maslahi ya Tanzania na Watanzania.

MAYALA NAJUA UCHUNGU ULIONAO LAKINI KWANGU MIMI NI HERI KUWA NA MZALENDO MUONGO KULIKO KUWA NA ASIYE MZALENDO HALAFU AKAWA MUONGO. NIMESOMA TOKA MWANZO ZIPO SEHEMU UNAZOKIRI KWAMBA JAMBO HALIJAENDA SAWA. NA MARA NYINGI KWA WATU ASIOKUSOMA VIZURI NI VIGUMU KUKUELEWA ILA KWA BANDIKO HILI LIPO JAMBO AMBALO ULITAKA KULIFIKISHA WAZIWAZI ILA UMELIWEKA KATIKA VIFICHO. NADHAN HII INATOKANA BAADA YA WEWE KUITWA BUNGENI NADHANI MKWARA ULIKUWA MZITO NA HASA NIKIFUATILIA HISTORIA YAKO(MZEE MAYALA) SIJJUA KAMA NI YULE WA IGOMA AU MWINGINE. UKWELI NI KWAMBA UMEKIRI TUTAPIGWA NA HATA KASENTI HATUTOPATA NA KWAMBA BUNGE LIMEPIGWA NGUMI YA MDOMO LITABAKI MAPENGO. SIJAKUPATA SEHEMU ULIYOTUMIA NENO "LUMPEN" NAENDA KUTAFUTA DICTIONARY NIRUDI. NAJUA TUNAKUWA TRACKED LAKINI KWENYE MAMBO YA KITAIFA ACHA TU TUSEME UKWELI HII ILIYOPO NI RICHMOND NYINGINE. WAKATI NA BROWSE NIMEPEWA ALART KWAMBA NIKO TRACED
 
You have your views. I respect that. However, jst a word of advice, use common sense and avoid partisan politics in each and every matter.

A draft won't change to be a final and binding document because Zitto said so...

Do you mean the draft carries Zitto recommendations? what Zito did, is to inform us what is in the draft, he has nothing to do with the draft. whether the final binding document will change or not, that is another case, but as how it stands the draft is it is as Zito informed us. So your common sense lead you to believe negotiations of about two years now should come up with this kind of a draft!? Get out of the box so that you can be able to see reality.
 
Niweke wazi kuwa mi nimfuatiliaji mzuri wa nakala zako kutokana na ukweli kwamba hauachi jambo nusu nusu....
Naomba kuuliza hii draft ni ya kweli? Imeandaliwa na nani?
Naamini draft ni mwelekeo wakuelekea kwenye mkataba kamili, “wrong direction will led us to wrong destination”. Kwann tumekubali hii draft mbovu huoni itatupeleka sehemu isiyo sahihi
Dah!!
 
Wanabodi,
Tangu baada ya Barrick kutangaza kuninunua Acacia, kumeibuka mijadala mingi kuhusu suala hili, haku wanasiasa waki capitalize kwa kutafuta political score na political capitalization kuhusu jambo hili, kwa kutumia hoja za uongo au upotoshaji wa makusudi for political gain au upotoshaji wa bahati mbaya kutokana na kutokujua vizuri lugha ya Malikia.

Sijitapi kuwa mimi ndie mtu wa kwanza kuleta hii braking news ya Acacia kununuliwa, na ni miongoni mwa wana jf tulioandika sana kuhusu hili, to be on a safe side, kunapotokea mambo yahusuyo lugha za watu, huwa ninaweka source ili ukajisomee mwenyewe, hivyo hili ni bandika la kukosoa Mhe. Zitto kwa uongo na upotoshaji huku nikimuomba asikasirike kama lugha ya malikia haipandi kivile, kwa vile tuko wengi tuu lugha hii inatupiga chenga, kuanzia ile 1st Class ya LL.B ya Sheria ya UDSM yenye GPA ya 4.9 na Ph.D ya Sheria, hadi Ph.D ya Kemia, hii lugha ya malikia kwenye hili imesumbua, watu waliambiwa 50/50 ya Economic Benefits, wakatueleza ni 50/50 ya net profits!. Mhe. Zitto naye kaona Draft Agreement ikaelezwa imekuwa initialed, kaibuka kuwa ni mkataba umesainiwa!, kakwe draft agreement ni mkataba, na kuwa initialed kwake ni kusainiwa!, hizi lugha za watu jamani, zisitufanye kuwa waongo na wapotoshaji, tuwe wakweli daima, tell the truth and the truth will set you free!.
Naomba tuanzie kwenye bandiko langu kuhusu jambo hili

Kwenye bandiko hili, niliweka links za Barrick na Acacia.

Ndipo Mhe. Zitto naya akaibuka na bandiko lake, japo hoja zake kwa asilimia kubwa ni za kweli, lakini pia kuna asilimia ndogo ya uongo na upotoshaji mkubwa kama kupotosha kuwa makubaliano yamesainiwa!, hakuna makubaliano yaliyosainiwa!.

Mkuu Mhe. Zitto, kwanza asante kwa bandiko hili na uzalendo wako kwa nchi yako. Kwa vile mimi ni miongoni wa wana jf ambao tumeandika sana kuhusu hili, nitachangia baadhi ya vipengele with reference ya nilisema nini, nilishauri nini na kulinganisha na kilichotokea ni nini, but with due respect, na wasiojua ligha ya Malikia, ni kwa heshima na taadhima, tuwe wakweli toka ndani ya nafsi zetu, tuache urongo na upotoshaji, just tell the truth and the truth will set you free, sii kweli kuwa mkataba huu umeisha sainiwa!, hilo neno (INITIALED) sio kuonyesha kuwa umesainiwa, bali katika mikataba, kunatakiwa signatories watie initials zao kwenye kila page ya draft kuonyesha wameelewa, lakini draft ni draft na mkataba ni mkataba!, ku INITIALED sio kusaini.

Hicho kiambanisho 4 ni draft, na mimi nimekiweka kwenye bandiko langu la tangazo la kifo cha Acacia
na nikasisitiza,

Hatuwezi kusema kila kitu mpaka baada ya kusainiwa kwa makubaliano hayo, na nikasisitiza kwenye makinikia kuna lakini sikuiweka hiyo lakini kwa sababu bado hatujaona makubaliano yaliyofikiwa, as of now hayo ni mapendekezo tuu, yaani draft, siku zote drafts zote huwa ni tentative, inaweza kubadilika, hivyo naomba kusisitiza katika hili tuwe wakweli, tutumie ukweli, tuache urongo na upotoshaji!.

Sijamuita Zitto muongo, au mpotoshaji, nimesema kwenye hoja zake kuna uongo na upotoshaji. Kwa vile Zitto namfahamu fika toka enzi zetu za UDSM, hivyo naifahamu intelect ya Zitto, haiwezekani katika kiambatanisho hicho, awe hayajaona maneno haya
"Appendix 4 Summary of the material terms of the current draft documentation under discussion (but not yet finalised) with the GoT The discussions between Barrick and the GoT have advanced to the point where draft documentation was initialled by the GoT on 19 May 2019". Hapa maana yake hii ni draft tuu imekuwa initialled na GOT lakini haijawa finalized, kwa Zitto ninayemjua mimi, haiwezekani Zitto awe hakuyaona maneno haya.

Kwenye document hiyo, kuna maneno ya capital letters na bold
"THERE IS NO CERTAINTY THAT THE TRANSACTION DOCUMENTS WILL BE AGREED WITH THE GOT IF THE SCHEME BECOMES EFFECTIVE AND THE TERMS OF THE FINAL FORM OF TRANSACTION DOCUMENTS, IF AGREED, MAY DIFFER FROM THOSE SUMMARIZED BELOW."
Siamini kuwa Zitto hakuyaona maneno haya, kwa wasio jua lugha ya Malikia ni "hakuna uhakika kama makubaliano haya yatakubaliwa na GOT, na hata yakikubaliwa, yanaweza kuwa ni tofauti na kilichokubaliwa hapa!. Hivyo Zitto kusema ni mkataba umesainiwa, huu ni uongo wa mchana kweupe, na amepotosha kwa makusudi tuu sio kuwa hakuona mistari hiyo!.

Kwenye kipengele cha 11 cha makubaliano hayo kinasema wazi kuwa
"11. The conditions set out in (a) to (g) of paragraph A10 above may be waived by the Acacia parties and the conditions set out in (h) to (i) of paragraph A10 above may be waived by the GoT. "
Hapa wanasema masharti ya mkataba huu yaliyowekwa kwa ibara ya 10, yanaweza kukubaliwa au kukataliwa na Acacia, au na GOT kuthibitisha kuwa makubaliano haya sio final and conclusive, haiwezekani Zitto ninayemjua mimi, hakuliona hili!.

Kipengele cha 12 kinasema
"12. Those provisions which are stated to become effective on signing of the Framework Agreement"
Hapa kwa lugha ya Malkia ni masharti hayo, yatatakiwa kutekelezwa baada ya kusaibiwa kwa makubaliano hayo, bado hakuna makubaliano yoyote yaliyosainiwa!. Siamini kuwa Zitto hakuliona hilo.

Kwenye kiambatisho hicho kuna hii para
"The discussions between Barrick and the GoT have advanced to the point where draft documentation was initialled by the GoT on 19 May 2019, albeit with a number of substantive issues still outstanding which are subject to further discussion. Whilst a basis for settlement has been developed, the terms have not yet been finalised"
Naamini kabisa Zitto anajua maana ya maneno hayo, hawa jamaa wanasema bado kuna issues ni still outstanding na zinahitaji majadiliano zaidi.

Sasa ili kumtendea haki Mhe. Zitto, naomba kuziweka hoja zake zote 5 na kusema hoja zipi ni za kweli na hoja zipi ni za uongo na upotoshaji tuu.

1. Dola Milioni 300 za kumaliza mgogoro KIINI MACHO

Serikali imekubaliana na Barrick kuwa italipwa Dola milioni 300 (wastani wa TZS 700 Bilioni) kama malipo ya kumaliza mgogoro wote (full, final and complete settlement) na SIO kishika uchumba kama Serikali ilivyoeleza umma. Barrick watalipa fedha hizi kwa muda wa MIAKA 7 na zitakuwa ni baada ya kuondoa madai yote ya kodi ambayo Acacia inaidai Tanzania.

Itakumbukwa kuwa Acacia Group ina madai ya marejesho ya Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT refunds) inayofikia takribani Dola za Marekani milioni 240 (wastani wa 552 Bilioni). Hivyo katika malipo ya Dola za Marekani Milioni 300, zitakazobakia baada ya kutoa madai ya VAT refunds ni Dola Milioni 60 (wastani wa 138 Bilioni) tu. Kama tutakavyoona katika hoja ya pili hapa chini hata hizi Dola za Marekani Milioni 60 kimsingi hazitatolewa.

Kwenye hoja hii Zitto kuna sehemu amesema kweli, hapa tumepigwa. lakini kuna sehemu Zitto sio tuu hakusema kweli bali amesema uongo. Kwa vile Mhe. Zitto ni Mbunge akisema kitu ndipo watu wanakizingatia, hivyo Zitto hili la dola milioni 300 ndio ameliona baada ya kusoma draft ya makubaliano na kulisemea kwa kulipotosha wakati sisi akina kajamba nani, hili tuliliona kitambo na tukalisemea sana humu.

Baada ya Barrick kuinunua Acacia, ni kweli kweli tutalipwa kifuta machozi cha dola milioni 300, sii kweli kuwa malipo haya yatatolewa baada ya kuondoa VAT refund, bali kweli kuwa malipo haya yatalipwa katika kipindi cha miaka 7.
Tukiisha saini mkataba, tutalipa upfront ta dola milioni 100. Hivyo hoja ya Zitto kuwa kwenye dola milioni 300, tutaambulia dola milioni 60 tuu, huu ni uongo wa mchana kweupe. Ile siku Barrick wanakuja kusaini mkataba, ile kuangusha tuu wino kusaini, kitita cha dola milioni 100 kinawekwa mezani as upfront payment kama ilivyoelezwa hapa
"There will be an initial upfront “payment” by way of assignment to the GoT of minerals contained in containers at Dar es Salaam port with a value of US$100 million". Shilingi milioni 200 zilizobakia, ndizo zitalipwa katika mikupuo 6 ya dola milioni 33.33 kwa mwaka katika miaka 6.

Pamoja ya Zitto kutokuwa mkweli, lakini ukweli wa Zitto kuwa tunapigwa uko pale pale. Tunapigwa kwa sababu hizi dola milioni 300, tuliahidiwa as goodwill money, hasikupaswa kuwa conditional wala hazikupaswa kulipwa kido kidogo, zilipaswa kulipwa there and then.

Kitu cha pili kwa vile hiki kilikuwa ni kishika uchumba tuu na kuonyeshea goodwill ya kulipia mahari kamili ya binti yetu ambayo ni dola bilioni 190, lakini serikali yetu imesamehe mahari yote, na kile kishika uchumba sasa ndio kigeuzwa kifuta machozi, hapa sasa ndipo tulipopigwa!. Hapa nilishauri serikali yetu lazima itufafanulie Watanzania the basis ya msamaha huu.

Kwenye hili kiukweli mimi nimelisema sana humu.
Nchi ya kusadikika na kisa cha binti Mfalme aliyebakwa; Baba wa ...
Dola milioni 300, siku 90, sentano kipande haijalipwa! acacia ...
Hatari ya kulizwa? Acacia waanza kufungasha kiana, wauza mgodi ...
Je, wajua kuna uwezekano Barrick wanatuingiza mkenge?!. Hili la ...
Priorities Zetu Nini?. Dola Milioni 300 Zinatosha Kununua Smelter ...
Dola Milioni 300 zetu za kishika uchumba cha Acacia, danadana ...

2. Barrick Gold Wamesamehewa Kodi ya Ongezeko la Mtaji USD 85.6M

Serikali ya Tanzania imetoa misamaha mbalimbali ya Kodi kwa Kampuni ya Barrick Gold katika makubaliano yaliyoingiwa ikiwemo kodi ya ‘Capital Gains’ ambayo inatokana na mauzo ya hisa za Acacia kwa Barrick. Itakumbukwa kuwa mwaka 2012 Bunge lilitunga sheria ya kutoa Kodi ya Ongezeko la Mtaji kwa mauzo ya mali zilizopo Tanzania ili kudhibiti ukwepaji wa Kodi.

Barrick inainunua Acacia kwa Hisa ambazo Barrick haikuwa inamiliki ambazo zimepewa thamani ya Dola Milioni 428. Capital Gains Tax ya 20% ilipaswa kulipwa lakini Rais Magufuli na Profesa Kabudi wametoa ‘waiver’ (Msamaha) na kupoteza Mapato halali na ya kisheria kwa nchi yetu ya Dola Milioni 85.6 (wastani wa TZS 200 Bilioni). Tukirejea hoja ya kwanza hapo juu utaona kuwa sio tu Tanzania kiuhalisia haitapata Dola Milioni 300, bali pia tunaipa zawadi Barrick ya Dola Milioni 25.6 (wastani wa TZS 59 Bilioni) za ziada.
Hili ni kweli, hawa na ni kawaida kwa serikali yetu kutoa misamaha ya aina hii kwa kutotoza capital gain tax kwenye acquisitions kibao, au kwenye hostile take overs,
Celtel ilibadilika kuwa Zain, ikabadilika kuwa Airtel, hakuna tulicholipwa!.
Sheraton ilibadilika kuwa Moven Pick, Royal Palm sasa Serena sijui kama tulilipwa kitu!.
Mibitel, iligeuka kuwa Tigo sijui kama tulilipwa kitu!.
Kibo Breweries ilikuwa taken over kwenye hostile take over, sijui kama tulilipwa kitu, hivyo hapa Zitto is right, but its not the first time, kama kule kuingine tumetoa misamaha hiyo, why not now?.

3. Tanzania kupewa Hisa 16% za daraja B lakini Watanzania kunyimwa umiliki wa 30% kupitia Soko la Hisa la DSE

Ni kweli kuwa Serikali itapewa hisa za bure 16% kwenye Kampuni tanzu zote za Acacia hapa nchini kama tulivyoambiwa na Serikali. Lakini hisa hizo ni za Daraja la B ambazo ni hisa dhaifu kulinganisha na zile za Daraja la kwanza. Hisa hizo haziruhusiwi kuuzwa, hazina kura kwa masuala fulani fulani ya Kampuni na huwezi hata kuziweka kama dhamana ya mikopo. Hata mgawo wa gawio hisa hizi hupata baada ya wale wa daraja A kulipwa kwa ukamilifu.

Licha ya makubaliano haya ya hovyo na yasiyo na tija, Serikali yetu imetoa ‘waiver’ (msamaha) kwa Barrick kutoorodhesha hisa kwenye Soko la Hisa la Tanzania. Sheria ya Madini ya mwaka 2010 (Wakati wa Waziri William Ngeleja) na Kanuni zake iliweka sharti kwamba ni lazima makampuni ya madini yauze 30% ya hisa kwa Watanzania kwenye soko la Hisa la Tanzania.

Makubaliano ya Mei 2019 kati ya Barrick na Serikali ya Tanzania yametoa msamaha kwa Barrick kutekeleza sharti hilo la kisheria. Uamuzi huu unavunja sheria za nchi, ni hujuma kwa Watanzania kumiliki maliasili zao na ni ukosefu wa maarifa ya kiuchumi kwa kiwango kisichomithilika wala kuvumilika.

Hili la hisa za daraja B ni kweli lakini sii kweli kuwa Watanzania tumenyimwa umiliki wa 30% kupitia DSE!.
Hizi hisa aslimia 16 za Tanzania, ni free carried shares, tumepewa bure, na kote free carried shares huwa haziuzwi ila sii kweli kuwa hazina voting rights, huu ni uongo!. Pia sii kweli kuwa Watanzania tumenyimwa umiliki wa 30% kupitia DSE!.
Naomba hapa ikumbukwe, shares zinazouzwa ni shares za Acacia zinazo trade kwenye London Stock Exchange tuu, hata yale mambo ya PUSU ni mambo yao, sijasikia lolote kuhusu shares za Acacia zinazo trade kwenye DSE, hivyo business ya hisa za Acacia ndani ya DSE zinaendelea as usual.Hata baada ya sale kukamilika, hivyo kampuni mpya italazimika kuuza 30% ya hisa zake kwenye DSE na Watanzania wenye fedha, watakuwa free kununua hisa hizo kwenye soko.

Tukija kwenye voting rights, sii kweli kuwa Tanzania hatuna voting rights, bali ni kawaida kwa free shares zote hazina voting rights ya pro rata ya share to shares bali tuna voting rights za block shares. Sisi Tanzania wenye free carried shares za 16%, serikali yetu iteteua mjumbe mmoja wa bodi ambaye ni Mtanzania, ataingia na kuwa mjumbe wa bodi ya hiyo kampuni mpya, kwa zile asilimia 16% za shares zetu na ndani ya kikao cha bodi, atakuwa na voting righs za kupiga kura 1 as a block vote kuwakilisha zile shares 14, wakati wajumbe wengine wengine wa bodi, watakaowakilisha zile subscribed shares za asilimia 84%, wanatakuwa na voting rights ya votes 84 kwa uwiano wa share to shares votes pro rata according to shares subscription. Hivyo ndani ya bodi ya hiyo kampuni Mtanzania atakayeingia humo, atakuwa anapiga kura moja kuwakilisha the block ya zile shaes zetu 16 za bure, na katika mgao wa faida, sii kweli kuwa tutapata mgao baada ya wale wengine, huu ni uongo!, Tanzania tunagaiwa mgao sawa kabisa wa faida kwa mujibu wa shares hizo.

Kwa wasio jua kuhusu shares za group A na group B shares za group A ni shares za watu walio invest kwa kutoa fedha zao kununua shares, yaani subscribed shares, na shares group B ni shares za heshima, shares za hisani zinazotolewa bure, shares hizi za hisani haziruhusiwi kuuzwa, wala kuwa disposed or transferred na zina block votes rights. Hili hufanyika kwa makampuni kuwapa hisa za heshima land owners, mfano UAE, hakuna foreigner anayeruhusiwa kumiliki ardhi, ardhi yote ni ya wazawa, hivyo investor akija lazima aingie ubia na wazawa mzawa anatoa land, investo ana jenga, kama alivyofanya Rugemalila kwenye IPTL alitoa ardhi yake na kupewa 30 m% ya shares, IPTL ikaikwa kwa PAP, Ruhemalila akalipwa shares zake, akagawa fedha zake, sasa anateswa bure bila kosa lolote!.

4. Bunge lafungwa mikono kubadili sheria yeyote
Serikali ya Tanzania na Kampuni ya Barrick wamekubaliana kuwa baada ya mkataba wao kukamilika Bunge la Tanzania haliwezi kutunga sheria yeyote ambayo itabadili makubaliano hayo na kodi zote zilizokuwa zinafanya kazi wakati wa kuingia makubaliano hazitaweza kubadilishwa kipindi chote ambacho Barrick watakuwa wanafanya kazi Tanzania (fiscal stabilisation).

Makubaliano ya namna hii ndiyo kitu kilicholeta Buzwagi mwaka 2007 ambapo Serikali za Rais Mkapa na Rais Kikwete ziliingia mikataba ya kulifunga Bunge kutimiza majukumu yake ya kikatiba kama Dola (sovereign). Sheria ya Madini yam waka 2010 iliondoa sharti hili kufuatia mapendekezo ya Kamati ya Bomani. Rais Magufuli na Waziri Kabudi wameturudisha kwenye unyonyaji wa kihayawani kabisa.

Kwenye hili pia Zitto hajasema kweli, kwenye document hii yenye kurasa 91, hakuna popote Bunge la JMT limetajwa!. Makubaliano haya yatatawaliwa na sheria za Tanzania. Hakuna popote Bunge limetajwa, bali kilisemwa ni maadam sheria iliyotungwa ninaelekeza free carried shares ni asilimia 16%, baada ya kusainiwa kwa makubaliano haya, serikali haiwezi kuongeza kile kiwango cha shares zaidi ya asilimia 16% za kisheria unilateral, kama ilivyofanya kwa sheria mpya ya madini "the GoT will not unilaterally seek to increase its share ownership or economic participation rights in the TMC", hii maana yake, serikali haiwezi kujiamua yenyewe pekee bila kuishirikisha Barrick.

Hili mimi nililizungumzia kitambo ile tuu tunabadili sheria, kuwa kisheria, sheria yoyote ambayo ni sheria nzuri, inaanza kufanya kazi tangu pale inapotungwa. Sheria yoyote inayotungwa halafu ina act retrorespect is a bad law. Hivyo tulipopitisha sheria mpya, nikasema tuwashukuru sana Barrick wamekubali kuanza upya kwa sheria mpya, Hakuna mwingine yoyote mwenye mkataba wa zamani amakubali kubadili na kutumia sheria mpya.

5. Barrick wameruhusiwa kufungua kesi ughaibuni kinyume na Sheria

Kwa mujibu wa sheria mpya za madini za mwaka 2017 makampuni yamezuiliwa kufungua mashauri yake nje ya Tanzania. Migogoro yote inapaswa kushughulikiwa na mahakama za ndani ya nchi. Serikali ya Tanzania imekubaliana na Barrick kuwa migogoro itafanyika kwa mujibu wa kanuni za UNICITRAL na Rais wa Kituo cha usuluhishi wa migogoro cha Singapore ndio atateua wasuluhishi ambao hapatakuwa na Mtanzania.

Kwenye hili, Zitto yuko right 100% kipengele kwenye sheria yetu mpya kinachokataza usuluhisi nje ya Tanzania ni hiki
View attachment 1158849

Ile siku sheria hii inapitishwa Bungeni, mnadhimu wa Kambi ya Upinzani Bungeni na Waziri Kivuli wa sheria, Tundu Lissu, alionya kuhusu hili kuwa hatuwezi kupitisha sheria ambayo hatuwezi kuitekeleza and soon tutakuja kuifanyia marekebisho. Hivyo hapa Zitto yuko right, makubaliona haya ni kinyume cha sheria, hivyo ni illegal.

Neno kwa wapenzi wa Zitto.
Kwa wapenzi wa Zitto, naomba kuwahakikishia, lengo la bandiko hili sio kumtweza au kumbagaza Mhe. Zitto, bali ni kumuelimisha tuu na kumtaka awe mkweli kwa kuacha upotoshaji, ila kiukweli kabisa Zitto ni kati ya wanasiasa makini na mahiri kabisa ninaowakubali, na hata nikashauri, kama Tanzania tunataka ushindani katika uchaguzi wa rais 2020, Zitto ndio the one and only anayeweza kuleta ushindani kwa mgombea wa CCM 2020.

Zitto is and has been my hero na hapa nilimchambua vizuri
Nawatakia Jumapili Njema.
Asante.
P
Kumhusu Zitto, nimeisha wahi kusema haya

Zitto ni Mzalendo wa kweli, Baada ya kumsikiliza leo, nimebaini ...
Kiukweli, Kama Sio Nguvu ya Soda, Then ACT ni Tishio. Hawa ni The ...
Face to Face with Zitto Kabwe: Kuhusu Kupika Data, "Namheshimu ...
Zitto Zuberi Kabwe Ni Mchochezi, Akamatwe, Ashitakiwe Kwa ...
Wafuasi wa Zitto na Manazi wa CHADEMA: Tunajenga Nyumba Moja ...
Kichaa Mmoja, Anaweweseka Sana Juu ya Zitto, Kamtungia Uongo ...
Kama Tuhuma Hii ni Kweli!, Then This is "The End Of Zitto ...
Wapinzani msione aibu kushirikiana na CCM kwenye hoja zenye ...
Kilichomkuta Zitto: Kuna mkono wa Mtu! Yajue makundi 10 ya ...
La Zitto Kuvuliwa Nyadhifa CHADEMA: Mhe. Zitto, Please! Play It ...
Opinion: Kung'atuka Kwa Zitto, CHADEMA, Msishangilie, Mkajisahau ...

Mbwembwe all over again!

Wewe jamaa aisee!

Unakuja na hoja eti nj draft...wakati hiyo draft ndio ina madudu which eventually inakuja kua contract!

Hoja hapa ni madudu!

Whether madudu yapo kwenye draft au contract ishu ni madudu you morons!

Hii mijitu ni maarifaless!

Zitto is right all along!
 
Hapa ndio ninapo mpendea Paskal, kwake yeye ACACIA ilikwisha nunuliwa nao hawakuwa na la kufanya. Technically hakuwa sawa. Sasa hapa amesimamia tofauti ya draft na kwamba ile draft imekuwa initialed. Technically huenda akawa right (mimi ni layman hapa naweza kusahihishwa). Lakini ukweli kuwa hiyo "initialled" draft agreement imeambatanishwa kwenye hiyo "offer" iliyokubaliwa inadhihirisha kuwa wadau hao wawili wamekubaliana hayo yaliyomo na wana nia ya kuyatekeleza. Barick amefanya alichofanya kwa kua na imani hayo yatatekelezwa na serikali ya Tanzania imefanya hivyo hivyo.
Uwezekano wa kubadili hayo ni mdogo sana na hata kama kutakuwa na mabadiliko hayawezi kugusa sehemu nyingi. Hivyo sioni Zitto ameleta uongo gani, kiasi cha kuitwa murongo. Maudhui (Substance) yote hata Paskal mwenyewe amekubali ni sawa. Sasa technicallity ya "mkataba na initialled" kwenye muktadha wa hiyo agreement sidhani kama inapotosha kiasi ya kubadilisha yaliyomo kwenye hiyo draft agreement. Sioni uwezekano wa mdau mmojawapo kuifuta au kuikana hiyo agreement labda ije serikali nyingine na mawazo yake.
Dah!!
 
Back
Top Bottom