huku kujikita kwenye technicalities na sio uzuri au ubaya wa kitu ni kupoteza muda na resources za bure..., cha maana ni Je hiki kilichofanyika kina manufaa kwa taifa ? na jambo kubwa kama hili lina tija kufanywa na wachache wakiwa wamejifungia bila transparency ? Ni hayo tu.., mengine ni immaterial.....
..kweli kabisa.
..kwa maoni yangu hoja ya msingi kuliko yote ni 300 million vs 190 billion.
..wanachotulipa Barrick kwa makubaliano yaliyosainiwa Ikulu mbele ya Raisi na vyombo vya habari ni usd 300 million.
..kiasi hicho cha fedha ni sawa na 0.157 % ya fedha ambazo tume za uchunguzi zilibainisha tunawadai.
..Na kama Barrick wakiamua kutulipa 300 million kila mwaka itawachukua miaka zaidi ya 600 kumaliza deni hilo.
..Sina uhakika kama biashara ya UTUMWA ili last zaidi ya miaka 600.
Cc Zitto, Pascal Mayalla