mkurugenzi1
Senior Member
- Mar 22, 2009
- 122
- 28
M4C na mauaji yanayo endelea kutokea kwenye mikutano ya vyama
huyu babu anazeeka vibaya,anasema eti wale washabiki wa cdm na wandishi wa habari waliomtukana aliposema kuwa cdm itafutwa waendelee tu kumtukana kwa kuwa matusi hayaui.ANA LAANA SANA HUYU MZEE
M4C na mauaji yanayo endelea kutokea kwenye mikutano ya vyama
Anasema Registraa wa vyama vya siasa ni wa serikali sio wa CCM na maamuzi yake ya kufuta chama hawawezi kuhijiwa mahakamani.
Swali: serikali inatokana na chama gani?
Raisi = Mwenyekiti wa Chanma
Makamu/ Mwawaziri ndio wajumbe wa kamati/halmashauri za chama
Hapo utatenganishaje chama na serikali?
Tungekuwa na serikali makini angehojiwa kwa mauaji yanayotokea kwani amekuwa akibwabwaja kwa muda mrefu sasa kwamba CHADEMA kitasambaratika; je, haiwezi kuwa kuwaua wanachama kuwa ni mbinu mojawapo ya kuwatisha na kukisambaratisha chama? Kwa vyovyote mtu huyu ana damu ya wana CHADEMA kadhaa waliouwawa kutekwa nyara na kuteswa na vyombo vya dola vilivyochakachuliwa na chama chake.Isasikitisha kuona mzee kama huyu anakuwa kama hajazaliwa tanzania kana kwamba hajui mauaji yaliofanywa na polisi kule mwembe chai. Pia anakituhumu chama cha democrasia na maendeleo ndo kina sababisha mauaji hayo hajayataja ya mwembe chai kwa sababu ameisahau CUF. Kasahau pia chama chochote cha kisiasa kinachokuwa kinakikaribia chama tawala ndo kinakutana na mikasa ya mauaji ya wafuasi wake kwa umakini tatizo sio chadema bali chama chochote kinacho kikaribia chama tawala kwa maana hiyo tatizo ni chama taw.
Huyu jamaa anazungumza kama kwamba ametoka usingizini! Ama kweli ufisadi ni sumu yenye ulevi mkali kweli kweli! Kwani huyu msajili ni nani uamuzi wake usihojiwe na yeyote? Hajapigiwa kura na wananchi na alichaguliwa kwa misingi ambayo watanzania hawaijui tena na mtu mmoja ambaye ni Mwenyekiti wa chama tawala! Inawezekana ni uteuzi wa kuhongwa kama wa baadhi ya watendaji wa serikalini.Anasema Registraa wa vyama vya siasa ni wa serikali sio wa CCM na maamuzi yake ya kufuta chama hawawezi kuhijiwa mahakamani.
Swali: serikali inatokana na chama gani?
Raisi = Mwenyekiti wa Chanma
Makamu/ Mwawaziri ndio wajumbe wa kamati/halmashauri za chama
Hapo utatenganishaje chama na serikali?