Lai Otieno
JF-Expert Member
- Aug 13, 2013
- 311
- 90
Kwa kweli wanamusoma walifanya mabadiliko ya kweli kwenye uchaguzi wa 2010 tunakumbuka Musoma Mjini imeongozwa na maccm zidi ya miaka 20 naa lakini hakuna chochote kipya walichokifanya.
Zaidi yakuwa wanakesha bar na kununulia vijana viroba na kujaza matumbo yao na familia zao. wanamusoma wakufanya kosa kumchguwa Mhe Vincent kwa kweli amefanya mengi na tumeyaona kwa mcho yetu na pia hata kutembelea miradi mikubwa ambzo utawala wa maccm yalishindwa kufanya.
Kwanza katika miradi hizo ni wa maji wa kisasa kama ule wa mkoa wa shinyanga pili ni mradi wa ujenzi wa barabara tatu kwa kiwango cha lami barabra ya kwanza ni mwisenge makoko wapili ni buhare kwenda mpaka mwisho wa musoma mjini na ule mradi mkubwa umekuwa wa barabara kuu kutoka makutano kuja mpaka Musoma Mjini tukiacha hayo pia hosipitali ya kwangwa upo kwenye haraki ya kuanza na kwa sasa hivi wanazungusha uzio.
Tunakumbuka katika utawala wa maccm Musoma mjini shule nyingi walijenga bila kiwango Mhe Vincent na team yake nzima ya madiwani wamefanya mabadiliko makubwa sana wamejenga mabaraaa ya kisasa na madarasa mpya na kufunga mfumo wote wa umeme na hata kuweka na jipsam katika madarasa hayo.
Wanafunzi wanao jiunga na form one kwa sasa hawaendi na madwati kama kipindi cha maccm uongozi mzima wa Mhe Vincent umepiga marufuku mchango wa aina yoyote kwa wanafunzi na wazazi mpaka pale tarifa kamili itakapo toka hiyo tu bado wanaccm hawaoni.
Kumbukeni kuwa maccm yameshindwa hata kujiongeza na bado yanamponda Mhe Vincent katika uchaguzi wa 2010 maccm yalitumia zaidi ya mabilioni ya pesa kuonga wapiga kura lakini sisi Chadema tulitumia nguvu ya Umaaa sasa kwa tarifa nikuwa mjipange upya kwa majimbo yanu kwa sababu Chadema tunakuja kwa kasi kubebe zote kwenye uchaguzi wa 2015.
Zaidi yakuwa wanakesha bar na kununulia vijana viroba na kujaza matumbo yao na familia zao. wanamusoma wakufanya kosa kumchguwa Mhe Vincent kwa kweli amefanya mengi na tumeyaona kwa mcho yetu na pia hata kutembelea miradi mikubwa ambzo utawala wa maccm yalishindwa kufanya.
Kwanza katika miradi hizo ni wa maji wa kisasa kama ule wa mkoa wa shinyanga pili ni mradi wa ujenzi wa barabara tatu kwa kiwango cha lami barabra ya kwanza ni mwisenge makoko wapili ni buhare kwenda mpaka mwisho wa musoma mjini na ule mradi mkubwa umekuwa wa barabara kuu kutoka makutano kuja mpaka Musoma Mjini tukiacha hayo pia hosipitali ya kwangwa upo kwenye haraki ya kuanza na kwa sasa hivi wanazungusha uzio.
Tunakumbuka katika utawala wa maccm Musoma mjini shule nyingi walijenga bila kiwango Mhe Vincent na team yake nzima ya madiwani wamefanya mabadiliko makubwa sana wamejenga mabaraaa ya kisasa na madarasa mpya na kufunga mfumo wote wa umeme na hata kuweka na jipsam katika madarasa hayo.
Wanafunzi wanao jiunga na form one kwa sasa hawaendi na madwati kama kipindi cha maccm uongozi mzima wa Mhe Vincent umepiga marufuku mchango wa aina yoyote kwa wanafunzi na wazazi mpaka pale tarifa kamili itakapo toka hiyo tu bado wanaccm hawaoni.
Kumbukeni kuwa maccm yameshindwa hata kujiongeza na bado yanamponda Mhe Vincent katika uchaguzi wa 2010 maccm yalitumia zaidi ya mabilioni ya pesa kuonga wapiga kura lakini sisi Chadema tulitumia nguvu ya Umaaa sasa kwa tarifa nikuwa mjipange upya kwa majimbo yanu kwa sababu Chadema tunakuja kwa kasi kubebe zote kwenye uchaguzi wa 2015.