Mhe. Sumaye ahudhuria kongamano la BAVICHA & CHASO Mbeya

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Mar 9, 2015
14,243
34,899
18922201_786188664880896_774657991470232434_n.jpg
19029711_786188614880901_1700175002349693384_n.jpg
18951517_786188508214245_5447310390182580553_n.jpg


Waziri Mkuu Mstaafu na Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Pwani Fredrick Sumaye leo amehudhuria Kongamano la Baraza la Vijana wa CHADEMA (BAVICHA) Mkoa wa Mbeya lililokwenda sambamba na Mahafali ya CHASO leo tarehe 10 Juni 2017 yaliyofanyika katika ukumbi wa Mtenda Jijini Mbeya.

Kongamano hilo pia lilihudhuriwa na Katibu wa BAVICHA Taifa Julius Mwita, Katibu wa CHADEMA Kanda ya Nyasa Emmanuel Masonga, Katibu Mwenezi wa BAVICHA Taifa Edward Simbeye na viongozi mbalimbali wa CHADEMA Mkoa wa Mbeya na Mkoa wa Songwe.

Katika kongamano hilo mgeni rasmi Mheshimiwa Fredrick Sumaye aliwakabidhi vyeti wahitimu kutoka vyuo mbalimbali vya Mbeya ambao ni wana CHADEMA Students Organisation (CHASO) pia katika tukio hilo alikuwepo mwanaharakati wa wanafunzi wa vyuo vikuu na vijana Alphonce Lusako ambaye alipata fursa ya kukinadi kitabu chake cha Sauti ya Watetezi wa Haki Vyuoni.
 
Kuna vihatarishi vya amani vilivyoonekana? Je, Kuna mkutano wa siasa ulifanyika badala ya mahafari?

Nimeuliza kwa sababu hizi ni miongoni mwa sababu zilizowahi kutolewa na jeshi la polisi kukataza mahafari ya chaso.
 
Kwa mapenzi na chama suma huna umetumia chansi kuitafuta magogoni tu na ao jamaa kwa kuwa wafuata mkumbo umewawin tayari.
 
18922201_786188664880896_774657991470232434_n.jpg
19029711_786188614880901_1700175002349693384_n.jpg
18951517_786188508214245_5447310390182580553_n.jpg


Waziri Mkuu Mstaafu na Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Pwani Fredrick Sumaye leo amehudhuria Kongamano la Baraza la Vijana wa CHADEMA (BAVICHA) Mkoa wa Mbeya lililokwenda sambamba na Mahafali ya CHASO leo tarehe 10 Juni 2017 yaliyofanyika katika ukumbi wa Mtenda Jijini Mbeya.

Kongamano hilo pia lilihudhuriwa na Katibu wa BAVICHA Taifa Julius Mwita, Katibu wa CHADEMA Kanda ya Nyasa Emmanuel Masonga, Katibu Mwenezi wa BAVICHA Taifa Edward Simbeye na viongozi mbalimbali wa CHADEMA Mkoa wa Mbeya na Mkoa wa Songwe.

Katika kongamano hilo mgeni rasmi Mheshimiwa Fredrick Sumaye aliwakabidhi vyeti wahitimu kutoka vyuo mbalimbali vya Mbeya ambao ni wana CHADEMA Students Organisation (CHASO) pia katika tukio hilo alikuwepo mwanaharakati wa wanafunzi wa vyuo vikuu na vijana Alphonce Lusako ambaye alipata fursa ya kukinadi kitabu chake cha Sauti ya Watetezi wa Haki Vyuoni.
Yote Manyumbu tupu. Malofa na mapumbavu.
 
Hongera sana vijana tunawategemea katika ukombozi wa kumuondoa mkoloni mweusi.
 
Masisiemu yanapanic yakiona hali ndio hii.mwache afe
Tangu lini mwenye nyumba akapanic ? Chadema wapangaji, kila siku wanamlalamikia mwenye nyumba, mara walalamike mwenye nyumba kawazuia kufungulia redio zao kwa sauti (mikutano ya kisiasa), mara walalamikie mjengoni hadi watoke huku wamefunga midomo kwa makarasi ya chooni, mara bungeni yatimuliwe kama majizi. Sasa nani apanic.? Ccm au CDM?
 
Tangu lini mwenye nyumba akapanic ? Chadema wapangaji, kila siku wanamlalamikia mwenye nyumba, mara walalamike mwenye nyumba kawazuia kufungulia redio zao kwa sauti (mikutano ya kisiasa), mara walalamikie mjengoni hadi watoke huku wamefunga midomo kwa makarasi ya chooni, mara bungeni yatimuliwe kama majizi. Sasa nani apanic.? Ccm au CDM?
Niondolee pumba hapa. Nyumba ipi mliyonayo wezi wakubwa wa Mali ya umma .mbuzi nyie
 
Back
Top Bottom