songambele77
New Member
- Jun 19, 2012
- 2
- 0
kutokuchukuliwa uamuzi mgumu kwa wale waliotufikisha hapa ndio haswa kiini cha haya. kinachotakiwa ni kuwa wepesi kukubali na kupokea maoni ya kambi upinzani. kwa kweli inafurahisha wanavyopanga hoja zao. wako safi inapendeza wanafaa.hivyo basi wabunge wajikite kwenye hoja. kesho utawaona wale ambao ni mashabiki wasio na nguvu ya hoja watakavyo shangilia kama vile wamo harusini. tunahitaji bunge lenye sura ya kitaifa zaidi.