Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Kesho Jumapili 27 Nov 2016 majira ya saa 5 asubuhi, Katibu Mkuu wa The Civic United Front na Makamu wa Rais Mstaafu wa Zanzibar Mhe. Seif Sharif Hamad, atazungumza na wahariri wa vyombo vya habari vya ndani na nje ya nchi. Mkutano huo pia utarushwa LIVE kwenye mitandao ya kijamii. Stay tuned.
Mbarala Maharagande
Kaimu Naibu Mkurugenzi wa Habari,
26 Nov 2016.
Mbarala Maharagande
Kaimu Naibu Mkurugenzi wa Habari,
26 Nov 2016.