kalanga
Member
- Feb 2, 2011
- 79
- 68
Mheshimiwa Rais, Waziri wa Fedha na Gavana wa BOT, wakati Rais anafungua tawi la bank ya CRDB makao makuu ya nchi Dodoma alisema ni marufuku kufanya malipo kwa hela ya Dola hapa nchini, lakini mbona kuna Taasisi za Serikali tena ambazo zipo chini ya Wizara ya fedha mpaka leo kuna malipo wanalazimisha kulipa kwa Dolla.
Mfano ni chuo cha IFM kuna kozi ya Masters ya IT and Management wanaitoa kwa kushirikiana na chuo cha India wanalazimisha wanafunzi walipie Ada kwa dolla badala ya shilingi.
Namuomba Waziri wa fedha aliangalie hili.
Mfano ni chuo cha IFM kuna kozi ya Masters ya IT and Management wanaitoa kwa kushirikiana na chuo cha India wanalazimisha wanafunzi walipie Ada kwa dolla badala ya shilingi.
Namuomba Waziri wa fedha aliangalie hili.