Mhe. Rais ana Mamlaka ya uteuzi katika nafasi mbaimbali kama alivyopewa kwenye Katiba na Sheria za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mhe Rais ninakuomba uwakumbuke Wakuu wa Mikoa Wastaafu katika Wenyeviti na Wakurugenzi wa Mashirika mbalimbali katianchi hii ili pia wapate kusukuma maaisha yao ya kila siku. Wakuu hawa wamefanya kazi kwa weledi na uaminifu mkubwa katika kuleta maendeleo katika Mikoa mbali mbali katika nchi hii. Orodha yao ni kama ifuatavyo:- 1.Mhe. Anatory Tarimo 2.Mhe Isidori Shirima. 3. Mhe. Mohamed Babu. 4. Mhe.Stephen Mashishanga. 5. Mhe. Kandoro 6. Mhe.Tumainieli Kiwelu na wengineo. Mhe.Rais wakumbuke maisha ni magumu huku mitaani.