Mhe Rais msamehe Tundu Lisu

m2020

JF-Expert Member
Jul 10, 2016
979
1,353
Nimemfuatilia Tundu Lisu ziara zake bara Ulaya na America kiukweli amedhihirisha jinsi alivyo na chuki na rais wetu na serikali yetu ya JMT na watanzania wenye maarifa tunaojitambua.

Sasa nakushauri mheshimiwa rais msamehe sana kwani hajui atendalo mtu huyu si akili yake ni ya kuwehuka.

Msaada pekee mnaoweza kumpa kama atarejea TANZANIA ni matibabu ya afya ya akili haraka.

Mungu amrehemu Tundu Lisu.
 
Nimemfuatilia Tundu Lisu ziara zake bara Ulaya na America kiukweli amedhihirisha jinsi alivyo na chuki na rais wetu na serikali yetu ya JMT na watanzania wenye maarifa tunaojitambua.

Sasa nakushauri mheshimiwa rais msamehe sana kwani hajui atendalo mtu huyu si akili yake ni ya kuwehuka.

Msaada pekee mnaoweza kumpa kama atarejea TANZANIA ni matibabu ya afya ya akili haraka.

Mungu amrehemu Tundu Lisu.
Wewe mla viwavi jeshi ndiye unastahili tiba ya afya ya akili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimemfuatilia Tundu Lisu ziara zake bara Ulaya na America kiukweli amedhihirisha jinsi alivyo na chuki na rais wetu na serikali yetu ya JMT na watanzania wenye maarifa tunaojitambua.

Sasa nakushauri mheshimiwa rais msamehe sana kwani hajui atendalo mtu huyu si akili yake ni ya kuwehuka.

Msaada pekee mnaoweza kumpa kama atarejea TANZANIA ni matibabu ya afya ya akili haraka.

Mungu amrehemu Tundu Lisu.
labda Lisu amsamehe Magu
 
Nimemfuatilia Tundu Lisu ziara zake bara Ulaya na America kiukweli amedhihirisha jinsi alivyo na chuki na rais wetu na serikali yetu ya JMT na watanzania wenye maarifa tunaojitambua.

Sasa nakushauri mheshimiwa rais msamehe sana kwani hajui atendalo mtu huyu si akili yake ni ya kuwehuka.

Msaada pekee mnaoweza kumpa kama atarejea TANZANIA ni matibabu ya afya ya akili haraka.

Mungu amrehemu Tundu Lisu.

The issue of Tundu Lisu seems to be a War between political differences, though it is portrayed as such.

It is not about Tundu Lisu and Selekali ya TZ, but much bigger,it is a war between the exploiters and the exploited, the Halves and not haves, the Rulers and the Ruled. When the needy and poor are defended the Elite rise to defend the Status quo.
Tundu Lisu is just a pawn in a big game of chess, one day Tundu may or may not realise that he was not playing the game but was a game being played.
To divert ordinary people, two political surrogate platforms have been staged.
False popularity in play and poor Governance staged on part of selekali being played. Sooner or later when realise he can not further their objective, he will be dumped like many africans used in the past.

THE GAME OF CHASE IS THE REAL POLITICS AND ECONOMIES OF THE WORLD, NOTHING HAPPEN IN A RANDOM EVERY DETAIL IS PLANNED.
 
Nimemfuatilia Tundu Lisu ziara zake bara Ulaya na America kiukweli amedhihirisha jinsi alivyo na chuki na rais wetu na serikali yetu ya JMT na watanzania wenye maarifa tunaojitambua.

Sasa nakushauri mheshimiwa rais msamehe sana kwani hajui atendalo mtu huyu si akili yake ni ya kuwehuka.

Msaada pekee mnaoweza kumpa kama atarejea TANZANIA ni matibabu ya afya ya akili haraka.

Mungu amrehemu Tundu Lisu.
Amsamehe kwa kusema ukweli kuwa Serikali ilitaka kumuua, sema jiwe atubu kwa Mungu wake
 
Hahaaa leo nimepita lumumba vijana wanaweka mabando kwenye vitekno vyao lakini mambo hayasomeki.. Balaaaa
 
Nimemfuatilia Tundu Lisu ziara zake bara Ulaya na America kiukweli amedhihirisha jinsi alivyo na chuki na rais wetu na serikali yetu ya JMT na watanzania wenye maarifa tunaojitambua.

Sasa nakushauri mheshimiwa rais msamehe sana kwani hajui atendalo mtu huyu si akili yake ni ya kuwehuka.

Msaada pekee mnaoweza kumpa kama atarejea TANZANIA ni matibabu ya afya ya akili haraka.

Mungu amrehemu Tundu Lisu.
nani amsamehe mwenzake??
 
Nimemfuatilia Tundu Lisu ziara zake bara Ulaya na America kiukweli amedhihirisha jinsi alivyo na chuki na rais wetu na serikali yetu ya JMT na watanzania wenye maarifa tunaojitambua.

Sasa nakushauri mheshimiwa rais msamehe sana kwani hajui atendalo mtu huyu si akili yake ni ya kuwehuka.

Msaada pekee mnaoweza kumpa kama atarejea TANZANIA ni matibabu ya afya ya akili haraka.

Mungu amrehemu Tundu Lisu.
Lissu ndo amsamehe Magufuli
 
Nimemfuatilia Tundu Lisu ziara zake bara Ulaya na America kiukweli amedhihirisha jinsi alivyo na chuki na rais wetu na serikali yetu ya JMT na watanzania wenye maarifa tunaojitambua.

Sasa nakushauri mheshimiwa rais msamehe sana kwani hajui atendalo mtu huyu si akili yake ni ya kuwehuka.

Msaada pekee mnaoweza kumpa kama atarejea TANZANIA ni matibabu ya afya ya akili haraka.

Mungu amrehemu Tundu Lisu.
umekosea.
mwombe Lissu ndiyo amsamehe huyo mwengine.
 
Nimemfuatilia Tundu Lisu ziara zake bara Ulaya na America kiukweli amedhihirisha jinsi alivyo na chuki na rais wetu na serikali yetu ya JMT na watanzania wenye maarifa tunaojitambua.

Sasa nakushauri mheshimiwa rais msamehe sana kwani hajui atendalo mtu huyu si akili yake ni ya kuwehuka.

Msaada pekee mnaoweza kumpa kama atarejea TANZANIA ni matibabu ya afya ya akili haraka.

Mungu amrehemu Tundu Lisu.
Lissu hahitaji msamaha wa wanadamu wenye mwili wa nyama na damu
 
Nimemfuatilia Tundu Lisu ziara zake bara Ulaya na America kiukweli amedhihirisha jinsi alivyo na chuki na rais wetu na serikali yetu ya JMT na watanzania wenye maarifa tunaojitambua.

Sasa nakushauri mheshimiwa rais msamehe sana kwani hajui atendalo mtu huyu si akili yake ni ya kuwehuka.

Msaada pekee mnaoweza kumpa kama atarejea TANZANIA ni matibabu ya afya ya akili haraka.

Mungu amrehemu Tundu Lisu.
Rubbish! Aliyepiga risasi hana chuki aliyepigwa risasi ndiye ana chuki
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom