Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Hakuna ubadhirifu uliofanywa na Rais aliyepita, ubadhirifu ulifanya na viongozi wasio kuwa na maadili wakiwemo Mawaziri, makatibu wakuu na maafisa suuri wengine katika sekta mbalimbali.
Kama tunataka kumuenzi JPM Basi tuwawajibishe wanaohusika Kama ambavyo angeafanya endapo angekuwa hai.
Kuacha kuwawajibisha nikuruhusu wizi mkubwa zaidi na kisha kumtupia lawama Rais aliyepo Sasa.
Kama tunataka kumuenzi JPM Basi tuwawajibishe wanaohusika Kama ambavyo angeafanya endapo angekuwa hai.
Kuacha kuwawajibisha nikuruhusu wizi mkubwa zaidi na kisha kumtupia lawama Rais aliyepo Sasa.