Elections 2010 Mhe. Rais hajui athari za kauli zake...

Mheshimiwa Rais anajua fika kuwa uchaguzi ujao uko mikononi mwa wafanyakazi. Kilichompa kiburi ni woga wa kudhani kuwa ikiwa wafanyakazi watagoma basi atashindwa kabisa kuwanyamizisha. Kwa hiyo suluhu lake kwa muujibu wa Rais ni kutumia "UNYERERE", vitisho ndio lugha pekee. Mnakumbuka pale chuo kikuu cha Sokoine kilipojiandaa kugoma wakati Mwl Nyerere alipokuwa Mkuu wa chuo hicho.

Kwa Rais na washauri wao wanatangaza huo kama ushindi, kwani wafanyakazi hawakudiriki kujitokeza katika maandamano, na madai yao yakazikwa. Hilo ndilo lilikuwa lengo fupi la Mheshimiwa Rais. Kuhusu uchaguzi, hilo ni swala la kesho ambalo mheshimiwa Rais kwa kuwafahamu fika watanzania anajua kuwa atavuka kikwazo hicho. Si mnajua kuwa watanzania wanaweza kugeuzwa kwa kipindi cha miezi miwili. Kwa kuelewa hili mheshimiwa Raisi hana hata tumbo joto kwa vile Doze ya hiyo homa anayo.

Swali la msingi ni nini kitafuata kwa Wafanyakazi wanaopata mshahara kiduchu? Mchezo ndio umekwisha au ndio wana kwanza unaanza? Hivi ni nani aliyeshika kwenye makali Wafanyakazi au ni Raisi? Hayo ndio maswali muhimu ya kujiuliza umoja wa wafanyakazi kabla ya uchaguzi mkuu. Moja kati ya maswali hayo, jibu ni nalo kuwa mshahara hautoshi si siri. Ila hili la ufumbuzi ni kitendawili tega.

Wakati tunasubiri maoni ya uongiozi wa chama cha wafanyakazi, watanzania bado tunajiuliza hivi ni wapi tunakwenda. Kuna chama kingine zaidi ya CCM kinaweza kuja kutatua swala la mishahara vizuri zaidi. Na kama kipo ni chama gani?
 
Mheshimiwa Rais anajua fika kuwa uchaguzi ujao uko mikononi mwa wafanyakazi. Kilichompa kiburi ni woga wa kudhani kuwa ikiwa wafanyakazi watagoma basi atashindwa kabisa kuwanyamizisha. Kwa hiyo suluhu lake kwa muujibu wa Rais ni kutumia "UNYERERE", vitisho ndio lugha pekee. Mnakumbuka pale chuo kikuu cha Sokoine kilipojiandaa kugoma wakati Mwl Nyerere alipokuwa Mkuu wa chuo hicho.

Kwa Rais na washauri wao wanatangaza huo kama ushindi, kwani wafanyakazi hawakudiriki kujitokeza katika maandamano, na madai yao yakazikwa. Hilo ndilo lilikuwa lengo fupi la Mheshimiwa Rais. Kuhusu uchaguzi, hilo ni swala la kesho ambalo mheshimiwa Rais kwa kuwafahamu fika watanzania anajua kuwa atavuka kikwazo hicho. Si mnajua kuwa watanzania wanaweza kugeuzwa kwa kipindi cha miezi miwili. Kwa kuelewa hili mheshimiwa Raisi hana hata tumbo joto kwa vile Doze ya hiyo homa anayo.

Swali la msingi ni nini kitafuata kwa Wafanyakazi wanaopata mshahara kiduchu? Mchezo ndio umekwisha au ndio wana kwanza unaanza? Hivi ni nani aliyeshika kwenye makali Wafanyakazi au ni Raisi? Hayo ndio maswali muhimu ya kujiuliza umoja wa wafanyakazi kabla ya uchaguzi mkuu. Moja kati ya maswali hayo, jibu ni nalo kuwa mshahara hautoshi si siri. Ila hili la ufumbuzi ni kitendawili tega.

Wakati tunasubiri maoni ya uongiozi wa chama cha wafanyakazi, watanzania bado tunajiuliza hivi ni wapi tunakwenda. Kuna chama kingine zaidi ya CCM kinaweza kuja kutatua swala la mishahara vizuri zaidi. Na kama kipo ni chama gani?

Mdau, nakubaliana nawe katika hoja hii ya staili akiyotumia Mhe. Rais kuwanyamazisha wafanyakazi. Hata hivyo, twende mbele turudi nyuma bado hata wale wanaomsahuri akurupuke nao ni wafanyakazi wa nchi hii na wasome pia alama za nyakati. Yote ambayo wajaribu kuyafunika ni madhara yake ni makuu kwao na kwa vizazi vya vijazo.

Suala la kwamba hakuna chama ambacho kinaweza kulatea mabadiliko ya kweli nadhani sasa iondoke katika vichwa vyetu, tukiwaza kama wote tuna ndoa ya kidini na CCM na kwamba dini hairuhusu kuvunja ndoa, manake tufubiri mpaka kifo kitakapotutenganisha na huyo CCM na hapo tutawaacha watoto wetu na vizazi vyao ili nao waamue juu yetu.
Kwani hakuna aliyejifunza kuwa nchi hii mtu yeyote anaweza tu kuiongoza ?? kwani hatujui kuwa tumekuwa tukibahatisha kuchagua hao watawala ambao tunadhani wanaweza na hakuna wengine milele?.

Binafsi nadhani mtu ambaye huwezi kumkataa na kuachana nae maishani ni mzazi wako ambaye hata ukimwacha kinadhalia, bado dhamira yako itakukumbusha kuwa yeye ndie aliyekufanya wewe huwpo hapa duniani. Siona kama hakuna wengine wanaoweza kuiongoza inji hii kama staili ya uongozi wenyewe ndo huu tulionao labda kama watendaji wa Serikali (ambao ndo muhimu) watagoma kumtumikia kiongozi wingine zaidi wa kutoka CCM!.Tujifunze kutoka kwa mataifa ya wenzetu ambayo kila siku tunaona wanalazimisha mabadiliko .....huu woga wa kuamua ndio unaotufanya tuonekane mabwege kila kukicha na tutaendelea hivyo milele.
 
Ukweli ni kwamba rais wetu hajatambua kama watendaji wake wanampeleka ndivyo sivyo kama ni kweli yale yote yaliyosemwa na TUCTA ni kweli muda mfupi tu baada ya JK kuhutubia kweli hapo kuna tatizo.Rais aangalie upya baraza lake la mawaziri na achanganue jambo kabla ya kuanza kulitolea maamuzi.

Hata kama TUCTA ni wazushi; thats not a way a president of the Republic should conduct himself; Tulio wazazi tunajifunza kuwa humwonyi na kumshauri mtoto kwa kejeli na dhihaka na mijishasira na vitisho.......... UNASHINDA NAE?
 
JE KIKWETE ANAAMINI KATIKA NGUZO TATU ZINAZOTAWALA NCHI ANAYOIONGOZA
Nashukuru kwa tanbihi iliyotolewa hapa juu na Ngoshwe analysis yake inaweza kuamsha ari ya wafanyakazi kudai zaidi haki zao. Kiongozi wetu amekosea na zaidi kosa lake ni kuruhusu maelezo ya wapambe wake wa toka kampeni za uchaguzi 2005 kuendelea kumlaghai. Kikwete pale amefanya kosa la kihistoria kwa kubagua hadhira ya demokrasia (wafanyakazi wa UMMA), kama kiongozi wa nchi hisia hizo angezificha kwani hao waomba kura mara ngapi wanaficha mambo ambayo huwa hawaamini lakini ili kufanikisha anapata kura yake anayamezea.

Je, si fedheha kwa kiongozi wa nchi kama yeye kukiri hadharani kuwa uwezo wa serikali kwa miaka minane ijayo haiwezi kuongeza pato lake la sasa? Kama kiongozi amekwisha kukataa tamaa kwamba kwa vyo vyote vile hawezi kuikwamua hiyo nchi kwenye tope iliyoinasa WATOZA USHURU WETU ya kushindwa kubuni mbinu za kuibua vyanzo vingine vya mapato zaidi ya kutegemea ushuru wa kwenye vibaraza, je si ingekuwa busara basi akaegesha hilo STK pembeni na kuwaruhusu wenye MAONO wampokeee. Malalamiko ya kuwa na mapato kidogo hayapaswi kusemwa semwa na mkubwa, jemedari siku zote anakomalia kwenye FIKRA ZILIZO HAI hata kama anaona njia ya kujikwamua inamagumu, atawahakikishia wafuasi wake kuwa watafanikiwa kuvuka kikwazo kilichoko mbele yao.

Mie nadhani mkubwa mwisho wa mwezi huu ajitokeze tu kwenye KIOO aweze kuwasihi tu wafanyakazi kuwa hakuwa na maana hiyo inayotafsiriwa na mwandishi huyu na wengine kama yeye, MKUBWA HAAMBIWI KAJAMBA, na kwa desturi ya watanzania wanavyo kubali majibu marahisi marahisi kama walivyowakilishwa na vijizee vya BONGO kwa kupiga makofi hata pale walipoambiwa nchi ni maskini ,watamsamehe na kumpa ushindi wa kishindo isipokuwa iiiiiiiiiiiiiiii.

Kusema kwa ujeuri na kejeli kuwa atawafukuza watumishi walio chini yake, je, na rahisi kama tamko la kisiasa, kuwa nakufukuza, nadhani mihimili ya dola ipo katika kutulinda sote, yeye na sisi, kusema mgomo ule ni batili yeye hana mamlaka ya kutoa tamko hilo, bali ni mahakama, au ni yale yale kuwa yu juu ya sheria, hiyo si kweli,je kama mkubwa amekanyagia chini mhimili moja wa dola, tutakuwa na imani gani naye tena.

Naomba WTZ wajihi, sifa na uledi wa watu wa IKULU na wale wanaomshauri Rais siku hadi siku, nina mashaka nao, inawezekana hao watu wanachukulia Rais kama kirafiki fulani hivi, kidogo inanichanganya, Rais ni TAASISI kwahiyo anapokuja kutoa hoja, hoja yake inabeba taasisi nzima (washauri wake wote kwa nafasi na majukumu yao) sasa Hotuba ile sijui nani kaiandaa, nilishutshwa na RAIS kutaja jina la mwananchi ambaye anaongoza taasisi, hiyo kwangu ni mapangufu, imeitia familia ya mwananchi yule kwenye mashaka, ndiyo, ni nani anaweza kuishi maisha ya utulivu huku unasimangwa na RAIS, embu niambieni, mwokozi wake ni mhimili mwingine wa dola nadhani ndo inaweza kumhakikishia usalama wake.

Niweke koma kwenye maoni yangu kwa kusema kuwa maneno ya Rais yamemchonganisha yeye na wafanyakazi wanaomsaidia katika shughuli zake za kila siku na kingine kibaya zaidi, wafanyakazi wamechonganishwa na wananchi na MKUBWA mwenyewe, kusema wafanyakazi wanataka fedha za madawa na maji yanayolengwa kwenda kwa mwananchi, watu vijijini na wengine wataamini maskini ya mungu. TAFAKARI
 


Naomba WTZ wajihi, sifa na uledi wa watu wa IKULU na wale wanaomshauri Rais siku hadi siku, nina mashaka nao, inawezekana hao watu wanachukulia Rais kama kirafiki fulani hivi, kidogo inanichanganya, Rais ni TAASISI kwahiyo anapokuja kutoa hoja, hoja yake inabeba taasisi nzima (washauri wake wote kwa nafasi na majukumu yao) sasa Hotuba ile sijui nani kaiandaa, nilishutshwa na RAIS kutaja jina la mwananchi ambaye anaongoza taasisi, hiyo kwangu ni mapangufu, imeitia familia ya mwananchi yule kwenye mashaka, ndiyo, ni nani anaweza kuishi maisha ya utulivu huku unasimangwa na RAIS, embu niambieni, mwokozi wake ni mhimili mwingine wa dola nadhani ndo inaweza kumhakikishia usalama wake.

Niweke koma kwenye maoni yangu kwa kusema kuwa maneno ya Rais yamemchonganisha yeye na wafanyakazi wanaomsaidia katika shughuli zake za kila siku na kingine kibaya zaidi, wafanyakazi wamechonganishwa na wananchi na MKUBWA mwenyewe, kusema wafanyakazi wanataka fedha za madawa na maji yanayolengwa kwenda kwa mwananchi, watu vijijini na wengine wataamini maskini ya mungu. TAFAKARI
[/COLOR][/QUOTE

Nakubalina nawe kabisa. Serikali inayowajibika kwa watu wake haiwezi kamwe kuwabeza na kuwasimanga. Ona jinsi wenzetu wanavyojali watu wao kuliko kujijali zaidi wenyewe:

Senior public servants' pay to be frozen


_45620038_judges_bbc226.jpg
Judges are among those whose pay will be frozen

Thousands of top-earning public sector workers, including judges, GPs, NHS managers and senior civil servants, are to have their pay frozen in 2010/11. The Senior Salaries Review Body (SSRB) said there was "no justification for general pay increases".
It did propose rises for some NHS managers and civil servants, but they were rejected by ministers.
Prime Minister Gordon Brown said the "tough approach" to public sector pay would save £3 billion by 2013/14.
The SSRB is independent of the government, but its recommendations are not binding and ministers will have the final say.

o.gif
PAY FREEZE
GPs, dentists, NHS managers and hospital consultants in England and Wales
Senior civil servants in England and those working for UK bodies like HM Revenue and Customs in Scotland, Wales and Northern Ireland
Judges in England and Wales
Senior UK armed forces staff

In a speech on Wednesday, the prime minister said: "Part of our tough approach to spending will be our tough approach to pay in the public sector.
"So today I can say that after the reports of the review bodies we will also freeze the salaries of senior staff in the civil service, senior staff in the military, the judiciary, senior managers in the health service and the pay of consultants, GPs and dentists."
Last year, Chancellor Alastair Darling wrote to the SSRB recommending a pay freeze for 40,000 senior public servants in 2010/11, and a capped rise of 1% for a further 700,000 middle-ranking staff.
The SSRB has now published its own recommendations, but Mr Brown said the government had chosen to accept some but not all of them.
It turned down a proposed 2.25% increase in pay for NHS managers earning less than £80,000, and also rejected a call to raise the minimum pay for senior civil servants to £61,500.
Show leadership
Health Secretary Andy Burnham said NHS managers and hospital consultants would see pay frozen, as would the majority of GPs and dentists.
Lower-paid doctors at the start of their careers, as well as a small number of salaried GPs and dentists, will get a 1% pay rise.
"In tough times, this package targets the pay rises we can afford to make where they can do most good for patients," Mr Burnham said.

o.gif
start_quote_rb.gif
It is simply untenable for the government to continue freezing the pay of senior civil servants as a political device
end_quote_rb.gif



Jonathan Baume
First Division Association

Defence Secretary Bob Ainsworth said the basic pay of officers up to Brigadier level - and equivalent ranks in other services - would increase by 2%. More senior salaries will not rise.
Prison governors, prison officers and other support grades in England and Wales will get a 1% increase, with an additional 0.5% for senior officers.
The announcement will override the final year of a three-year pay deal previously agreed for senior workers, but will not affect teachers, nurses and police officers.
Mr Darling also signalled that generous public sector bonus packages might also have to be reduced.
The freeze is understood to be devolution-sensitive, meaning it applies to GPs, dentists, consultants and NHS managers in England and Wales, but not to someone working in the Scottish health department.
But some civil servants such as HM Revenue and Customs workers in Scotland will be subject to the pay restriction.
A Cabinet Office spokesman said: "Given the economic challenges we face, civil servants have important roles to play in ensuring there is financial stability and excellent public services.
"While the contribution of the Civil Service is highly valued, against the backdrop of the challenges facing all sectors of the economy it is right that senior staff should show leadership in pay restraint."
o.gif
start_quote_rb.gif
Our concern is that [public servants] are increasingly gaining the impression that the government takes their loyalty and goodwill for granted
end_quote_rb.gif



Senior Salaries Review Body

But Jonathan Baume, general secretary of senior civil service union the First Division Association, reacted angrily to the move.
"It is simply untenable for the government to continue freezing the pay of senior civil servants as a political device year after year," he said.
Mr Baume also claimed the government had "insulted" staff by rejecting SSRB proposals to raise the minimum salary for senior civil servants to address "long-standing equal pay concerns" for female and ethnic minority employees.
The British Dental Association said that "at a time of transition and uncertainty in dentistry, this award is a missed opportunity to give a much-needed injection of confidence".
Jon Restell, chief executive of Managers in Partnership, which represents NHS managers, said the freeze was "another chip away at the motivation" of senior health service staff.
The SSRB concluded that there was "no justification" for pay rises given the state of the public finances.
But it said it disagreed with the government's decision to focus solely on top-earning workers, saying that it was "hard to see how freezing pay for senior staff demonstrates leadership when more junior staff are receiving significant increases".
Wider freeze
The SSRB also added that cutting pay could make it harder in the long term for the public sector "to fill senior posts with people of sufficient quality".
"Our concern is that in recent years our remit groups are increasingly gaining the impression that the government takes their loyalty and goodwill for granted," it added.
The Conservatives have announced plans for an even more wide-ranging public sector pay freeze in 2011 if they win the general election.
It would affect all workers except the frontline military and anyone earning less than £18,000 a year.
The Liberal Democrats too, have said they want to see the overall public sector pay bill frozen and bonuses stopped.
Last week, MPs were awarded a pay rise of 1.5%.
http://news.bbc.co.uk/1/hi/uk_politics/8559190.stm
 
Back
Top Bottom