Lawama ambazo mhe nyalandu amekuwa akizitupa kuwa anafanyiwa fitina na chama (ccm) si za kweli. Tabia za mbunge huyu za majidai na majigambo kuwa yeye ni mtawala na kuwa wamarekani wamekuwa wanamtaka awe rais wa Tanzania ndio chanzo cha yote haya na zimemfanya kuwa na kiburi kibaya sana.
Shutuma nyingi zinamgusa, hamaki ya kutumia bastola hivi karibuni, majidai yasiyo na maana anapokuwa na wanawake na mengine mengi.
Kama unajiona upo misfit tuachie ccm yetu kama alivyoondoka lyatonga na mizoga mingine kuliko kushutumu kwa vitu ambavyo vinaendana na tabia na maisha yako.
Shutuma nyingi zinamgusa, hamaki ya kutumia bastola hivi karibuni, majidai yasiyo na maana anapokuwa na wanawake na mengine mengi.
Kama unajiona upo misfit tuachie ccm yetu kama alivyoondoka lyatonga na mizoga mingine kuliko kushutumu kwa vitu ambavyo vinaendana na tabia na maisha yako.