mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,651
- 18,021
Ngeleja hajarejesha pesa alizopewa na Rugemalila, Bali ameichangia kwa hiari yake serikali kiasi cha fedha kinacholingana na fedha alizopewa na Rugemalila!Nafsi yake ina msuta
Sent from my HUAWEI VNS-L31 using JamiiForums mobile app
Tungesema amerejesha kama angemrudishia aliyekuwa amempa yaani angezirudisha kwa Rugemalila!
Kwa mfano kama zile fedha zingekuwa ni mkopo ambao Rugemalila amewakopesha, INA maana Rugemalila angeridhika kuwa deni limelipwa?
Ngeleja ametenda kosa LA kuingilia kesi iliyoko mahakamani! Mahakama haijaamua bado kuwa hizo hela hazikuwa ni halali ya Rugemalila Bali ni halali ya serikali!
Lakini hata kama Ruge atashindwa kesi na kuamriwa azirudishe, atazirudisha mwenyewe na hana haki ya kuwadai aliowazawadia! Alipokuwa anazawadia rafiki zake alikuwa anafanya matumizi! Zingine alinunua vitu madukani! Inamaana kote huko alikotumia ataenda kuzidai? Kama alilipia nauli kwenye ndege pia ataenda kudai arudishiwe?
Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app