Mwakamele 16
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 1,493
- 1,108
Hata ningekuwa mimi nisingethubutu kusema hivyo kwa sasa hivi. Ni mapema sana
chama bora mnatumana mmoja akamshikie bastola mwingine!Kwani wewe ulisikia analalamika anataka kuhama?
Sindano imekuingiachama bora mnatumana mmoja akamshikie bastola mwingine!
Hakuna mtu anayemlazimisha kuhama
Hiki ndicho alichokisema Mhe. Nape wakati anakabidhi ofisi kuwa hawezi kuhama CCM angalia hapa
Hiki ndicho alichokisema Mhe. Nape wakati anakabidhi ofisi kuwa hawezi kuhama CCM angalia hapa
Mkuu umenichekesha sana......Afu ndio kwanza Wanacdaema WAMEANZA KUBADILISHA GIA nagani wanataka kumsimamisha LISSU 2020...wanajisahau ya kuwa KUNA MTU ANA HATI YA KUWA MGOMBEA wa urais WA MILELE....ni suala la muda tu...tutegemee kuona CHADEMA VIPANDE VIPANDE...Na ndo maana anachezea mchanga huko aliko.
nyie vijana wa bavicha mna laana...kumbe shabikia yote ile ilikuwa nape abwage manyanga ccm
Wapi hapo mkuuKuna sehem ya wazr papo empty. Sitashangaa tukisikia kapewa Nape.
Zitto hakuwahi kuhama acha uongo na siasa zako za kusimuliwaHata Zitto alisema hawezi kuhama.
Hiki ndicho alichokisema Mhe. Nape wakati anakabidhi ofisi kuwa hawezi kuhama CCM angalia hapa
Unajua kusoma lakini?Zitto hakuwahi kuhama acha uongo na siasa zako za kusimuliwa
Wewe ndo umenena! Hawezi kukata tawi ambalo kwa sasa bado analikalia!Ni wajanja sana hawa watu
Kati ya wewe na Lowasa nini ni public figure?Na ndo maana anachezea mchanga huko aliko.