Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,794
- 71,213
Nimekuta haya yanajadiliwa kuwa eti wewe umesema. Kama ni kweli, kwa nini hii tabia ya kutukana Watanzania umeifanya kama jambo LA sifa kwako?
Unatudharau sana sisi tunaokulisha kwa kodi zetu kugharamia pension yako.
Jee uko tayari nawe kukubali kuvunjiwa heshima na wale Waldo kuwa wanakuheshimu sana pamoja na kuwa umewaumiza kwa mambo mentioned ulipokuwa mtawala?
Nasikia unaingia front kwenye kampeni zinazoendelea, use na majibu hizo Mimba wanaotaka mabadiliko watabebeshwa na nani?
Unatudharau sana sisi tunaokulisha kwa kodi zetu kugharamia pension yako.
Jee uko tayari nawe kukubali kuvunjiwa heshima na wale Waldo kuwa wanakuheshimu sana pamoja na kuwa umewaumiza kwa mambo mentioned ulipokuwa mtawala?
Nasikia unaingia front kwenye kampeni zinazoendelea, use na majibu hizo Mimba wanaotaka mabadiliko watabebeshwa na nani?