Unategemea kuna jibu litakalopatikana kutoka kwao
Utaambiwa mchakato wa kuwashughulikia wahusika unaendelea na tutapewa majibu bunge lijalo na inakuwa ndo imekwisha
Waziri mkuu tuliye nae sijui kama ana uwezo wa kuchukua maamuzi magumu kama hayo ya kuwawajibisha wahusika au kutoa kauli ya walau kukemea mambo kama haya
Tuna serikali yenye watu ambao hawako tayari kuchukua maamuzi magumu ya kuwatetea wananchi wao au kupoigania maisha ya wananchi wao ila ipo serikali ambayo kila kukicha inazidi kuwagandamiza na kuwanyanyasa
hiiWananchi naomba mwenye hotuba ya kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni aliyoitoa juzi bungeni aiweke hapa barazani. Natanguliza shukrani zangu