SHEMGUNGA
JF-Expert Member
- Jan 13, 2012
- 666
- 147
Mbowe itoe CDM kanisani kwanza kama kweli hupendi na hunufaiki na udini!
unakil wewe?
Mbowe itoe CDM kanisani kwanza kama kweli hupendi na hunufaiki na udini!
Habar wakuu!
Kutokana na vuguvugu la udini ambalo linazidi kusambazwa na baadhi ya viongozi wa kidini hapa nchini pamoja na vyombo vya habari, mhe Mbowe amesema haya yote yanatokana kutokana na serkali dhaifu ambayo inashindwa kukemea mambo kama hayo ambayo madhara yake ni makubwa kwa nchi pia amekemea vikali tabia ya viongozi wa CCM kuwagawa watu kidni na kiukanda na kikabila kwa maslahi mafupi ya chama chao.
Source Mbowe mwenye kwenye hotuba yake bungeni.
Bora waseme walioko jikoni kina Mkigoma, Tuntemeke na wengineo hayo Majimbo sio Ukanda huo yaani Kigoma haiwezi kwenda jimbo la Kaskazini au KusiniWatu wengine vichwa vyao sijui vinafikilia nini, usiwe kama UAMSHO bana au wale akina Shekh Ponda wanaotaka 50/50 kila sehemu bila kufuata vigezo.
Mpaka Kieleweke,umemjibu sawia,huyu anaonekana kuwa na umbeya wa vijiweni,anauleta huku Jf
Pili hizi propaganda hazina maana,kwa kuwa umma wa Tanzania unaelewa,na upo tayari kwa mabadiliko ambayo hakuna awezaye kuyazuia...
CHADEMA mnapinga nini kuwa chama chenu si cha kikanda?
Tuambieni leo mlifuata utaratibu gani kumpa nafasi ya kipekee ya kugombea Ubunge wa Bunge la Afrika Mashariki anaesemekana kuwa ni mmiliki wa kampuni inayochapisha gazeti la Mwana Halisi na Mkurugenzi wa Uchumi na Fedha wa CDM Bw. Antony Komu? na bado akashindwa kupata hiyo nafasi huku mkiwanyima nafasi vijana makini na waliokipigania na wanaojitolea ndani ya chama chenu kugombea nafasi hiyo ya Uwakilishi bunge la Afrika Mashariki.
Bora waseme walioko jikoni kina Mkigoma, Tuntemeke na wengineo hayo Majimbo sio Ukanda huo yaani Kigoma haiwezi kwenda jimbo la Kaskazini au Kusini
NCCR ya Mrema ilikosa ushindi hivihivi kwa sababu ya wakaskazini KUJISHEBEDUA kutaka kutawala mtoa mada hajatabiri kasema kweli
Mpaka Kieleweke,umemjibu sawia,huyu anaonekana kuwa na umbeya wa vijiweni,anauleta huku Jf
Pili hizi propaganda hazina maana,kwa kuwa umma wa Tanzania unaelewa,na upo tayari kwa mabadiliko ambayo hakuna awezaye kuyazuia...
Mkuu wangu, acha kuwaonea chadema, Mbowe amempa lema nafasi ile kwa kuwa lema hana mshahara tokea atimuliwe ubunge kwa kukashifu mgombea mwenzake baada ya kueleza sera. Hivyo mkuu sababu kuu ya kumuona lema front ni ugumu wa maisha na kujitafutia riziki, ndipo katika kikao cha siri kisicho rasmi pakakubaliwa awe anapata pesa zitokanazo na michango ya sadaka walioipa jina la M4C.
Pia mkuu ukumbuke kuwa utaratibu wa kuwasaidia kiuchumi wananchama waliopoteza nafasi la ulaji haukuanza kwa lema, slaa nae pia ni miongoni mwao, ndio maana unaona pamoja na kudhoofika kwa afya yake bado inabidi azunguke mitaani kujustify kupata mshahara mnono.
Mkuu ni hayo tu, hakuna ukabila ila bahati mbaya by coincidence wote wanaokula michango yetu wanatoka kaskazini.
kwani ulio wataja hao huoni wengi wao wanatokea kaskazini hivi unaweza kumwambia nani kwamba benson kigaila hana tabia za ukaskazini?kuna uraia wa kuzaliwa na uraia wa kuomba sasa mtu kama benson kigaila au john heche hawa ni wakaskazini wa kuomba.Huyu mleta mada inaonekana ni miongoni mwa watu waliohudhuria mkutano huo na kunyimwa fursa ya kuzungumza kwa sababu hana wadhifa wowote ndani ya chama na ndio maana analalamika hivyo.
Pili , kuhusu mafunzo kwa madiwani ni kweli yalifanyika kwa madiwani wote wa nchi nzima 578 na yaliendeshwa kwa kanda tatu tofauti, moja ilikuwa na wakufunzi wafuatao, Silivester Masinde, Antony Komu, Josephat Isango,Alex Kasurura ,Kunty ....nyingine ilikuwa na Benson Kigaila,Lazaro Maasay,Jaffar Michael,na wengine na ya tatu ilikuwa na Nyangaki Shilungushela,John Mrema,Shaba, Basil Lema ,Anna Mghwira, Dadi Kombo .
Sasa huyu yeye anapaswa kufanya utafiti kuwa hao watu walitokea kanda gani na wengine walienda kwa sababu ya nafasi zao kwenye chama .
huyu inawezekana ni msaidizi wa Tuntemeke.......
nimejari kukufikiria kwa muda mrefu na kujaribu kuelewa unasema kitu gani, nimeona naumiza kichwa changu bure kwa kuwa we ni mmoja wa mamluki mnaotumwa na watu dhaifu kuja kutusumbua akili zetu, waambie walokutuma kuwa hukuwakuta wenyewe,
hapo kwenye red naona unashindana na maelezo yako mwenyeweKatika mkutano huu kulikuwepo viongozi mbalimbali,madiwani na mwenyekiti wa vijana wa kinondoni hawakupewa nafasi kabisa,,pia kulikuwepo na wanaharakati wazoefu wengi tu lakini hawakupewa nafasi licha ya muda kuruhusu nafasi hiyo.
Pia kwenye mkutano wa manzese waliohutubia siku ile ni wakaskazini ,watu amabo si wakaskazini kama Heche alipewa nafasi ile kwa sababu no way out HECHE NI MWENYEKITI WA BAVICHA hivyo ilikuwa si rahisi kumkwepa.
Kubwa zaidi ni kwenye mikutano iliyokuwa inaendelea kusini mwa Tanzania..katika ROSTER ile ni wa kaskazini ndio walipewa nafasi ya mbele katika kwenda na kwenye kuutubia
mpumbavu w yani unamaana na mimi hapa shardcole wa tabora ni mtu wa kanda ya kaskazini? Nakuuliza tena na mm hapa ni mtu wa kaskazini? Tabora ni kaskazini? Mpuuz mkubwa ww pamoja na wajinga wenzio mnaoleta siasa za kibaguzi, sasa kama mtu ana uwezo asichukuliwe kisa yy katoka kaskazini ilo kuogopa mende kama ninyi? Mnataka chama chetu kiwe na malofa kama nyie mafisadi wakubwa? Mnaboa sana na tabia zenu hizo za kikaha.ba,
OTEVA HATA KAMA CHADEMA NI YA UKANDA SS HATUJALI HILO KWANI NI HERI KUTAWALIWA NA UKANDA KULIKO MAKAHA.BA WANOFUMANIWA UGONI NA MAFISADI KAMA CCM.