Mbowe ambana Waziri Mkuu atoe kauli juu ya masuala yanayokwaza demokrasia na utawala bora

Acheni kulalama fanyeni kazi kwa bidii mtapata nafasi malalamiko yenu yanawarudisha nyuma nyie wenyewe na ukombozi wa nchi hii.
 
Mpaka Kieleweke, umemjibu sawia,huyu anaonekana kuwa na umbeya wa vijiweni, anauleta huku Jf
Pili hizi propaganda hazina maana, kwa kuwa umma wa Tanzania unaelewa, na upo tayari kwa mabadiliko ambayo hakuna awezaye kuyazuia.
 
Kwanin mtoa mada ni wa Kigoma?
Nadhani cha muhimu ni kutetea utaifa kuliko ukanda. Nadhani maoni ya Mheshimiwa Mbowe ni mazuri tu ukizungumzia masuala yanayo husiana na Taifa.

Sasa sijui kwa nini mtao hoja anakwazika kwa kiongozi wa upinzani kukemea dalili za ukabila, ukanda na udini zinazoinyemelea nchi hii.

Bravo Mhe Mbowe na kila mtu mwenye mapenzi mema na Umoja wa kitaifa
 
Habar wakuu!
Kutokana na vuguvugu la udini ambalo linazidi kusambazwa na baadhi ya viongozi wa kidini hapa nchini pamoja na vyombo vya habari, mhe Mbowe amesema haya yote yanatokana kutokana na serkali dhaifu ambayo inashindwa kukemea mambo kama hayo ambayo madhara yake ni makubwa kwa nchi pia amekemea vikali tabia ya viongozi wa CCM kuwagawa watu kidni na kiukanda na kikabila kwa maslahi mafupi ya chama chao.

Source Mbowe mwenye kwenye hotuba yake bungeni.

It is too little, too late.

And is that all?
That is , kulaumu serikali tu bila kutoa msimamo wako?
 
hao hawafai hata kupewa nchi, wakipewa nchi wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya, mawaziri wote watatoka kaskazini. tenda zote za serikali zitapelekwa kaskazini, makabila mengine mtabaki watazamaji.

nani alie kuambia cdm ina mpango wa kuwa na wakuu wa wilaya+mikoa???
Huji kwamba tukichukua nchi system ni majimbo???
Magamba kweli mnafikiri kwa ma****0!
 
Kijana moto wa chadema hauzimwi na tone lako la maji,. Peleka propaganda zako huko lumumba ukapate posho ya kula leo,. Inonyesha we ni mzaifu kiuchumi na kiakili
 
FJM
Mi nilidhani rais anapokuwa mgeni rasmi kwenye hafla za dini, na hasa dini tofauti na yake, hii inaleta balance nzuri ya speech zake, na kusignify unity.
 
Last edited by a moderator:
Kwa matazamo kwenye hotuba ya mbowe angegusia hata radio iman na gazeti al nuur na al huda koz hivi vyombo vya habar vimekosa akili kabisa.
 
naona kama thread hii ina kautafiti fulani na ukweli fulani hivi... nimeguswa... natafakari li nichukue hatua
 
Hivi huyu jamaa mtoa mada wala simuelewi, But to me he sounds like Nape or his agent. Any way thanks kamwambie aliekutuma ujumbe tumepata. One thing I want to know is, were you paid in advance au utalipwa baada ya kazi?
 
FJM
Mi nilidhani rais anapokuwa mgeni rasmi kwenye hafla za dini, na hasa dini tofauti na yake, hii inaleta balance nzuri ya speech zake, na kusignify unity.

Labda huko nyuma, kwa sasa wanasiasa wanatumia huo mwanya tofauti. Na hakuna kitu kinanipa shida kama hizi harambee. Huu ni mtindo wa Kenya na umeleta matatizo sana.

Hivi wanasiasa ndio wenye uwezo wa kuongoza harambee tu?
 
CHADEMA mnapinga nini kuwa chama chenu si cha kikanda?

Tuambieni leo mlifuata utaratibu gani kumpa nafasi ya kipekee ya kugombea Ubunge wa Bunge la Afrika Mashariki anaesemekana kuwa ni mmiliki wa kampuni inayochapisha gazeti la Mwana Halisi na Mkurugenzi wa Uchumi na Fedha wa CDM Bw. Antony Komu? na bado akashindwa kupata hiyo nafasi huku mkiwanyima nafasi vijana makini na waliokipigania na wanaojitolea ndani ya chama chenu kugombea nafasi hiyo ya Uwakilishi bunge la Afrika Mashariki.
 
Watu wengine vichwa vyao sijui vinafikilia nini, usiwe kama UAMSHO bana au wale akina Shekh Ponda wanaotaka 50/50 kila sehemu bila kufuata vigezo.
 
Wale vijana waliokuwa kila wakati tunawaona kwenye vyombo vya habari wakati wa uchaguzi wa vyuo vikuu wako wapi kwa nini hawako front line kwenye M4C chadema changanyeni vijana kwa kweli nyie munapakwa matope sasa yakwepeni kila mtu anataka kupata credit za kisiasa
 
mbowe kapasua ,magamba wamekuwa wapole. The guy ni mzuri kuwasilisha mambo. Kagusa kila idara magamba wamekaa kimya hakuna aliyesimama kuleta mipasho. Sijui hawakujiandaa
 
Huyu mtoa mada ana pepo la udini na ukanda.ivi alokufundisha kwamba kama watu wanatoa mada shariti waangalie anatoka wapi ni nani.dhaifu wewe kama mwenyekiti wako ndomaana mnatuwekea vilaza kama mkama ili mkwepe ukanda.msalomie nepi
 
Mkuu wangu, acha kuwaonea chadema, Mbowe amempa lema nafasi ile kwa kuwa lema hana mshahara tokea atimuliwe ubunge kwa kukashifu mgombea mwenzake baada ya kueleza sera. Hivyo mkuu sababu kuu ya kumuona lema front ni ugumu wa maisha na kujitafutia riziki, ndipo katika kikao cha siri kisicho rasmi pakakubaliwa awe anapata pesa zitokanazo na michango ya sadaka walioipa jina la M4C.

Pia mkuu ukumbuke kuwa utaratibu wa kuwasaidia kiuchumi wananchama waliopoteza nafasi la ulaji haukuanza kwa lema, slaa nae pia ni miongoni mwao, ndio maana unaona pamoja na kudhoofika kwa afya yake bado inabidi azunguke mitaani kujustify kupata mshahara mnono.

Mkuu ni hayo tu, hakuna ukabila ila bahati mbaya by coincidence wote wanaokula michango yetu wanatoka kaskazini.
 
afadhali wewe alopewa macho na ubongo ulotambua haya

mpumbavu w yani unamaana na mimi hapa shardcole wa tabora ni mtu wa kanda ya kaskazini? Nakuuliza tena na mm hapa ni mtu wa kaskazini? Tabora ni kaskazini?

Mpuuz mkubwa ww pamoja na wajinga wenzio mnaoleta siasa za kibaguzi, sasa kama mtu ana uwezo asichukuliwe kisa yy katoka kaskazini ilo kuogopa mende kama ninyi? Mnataka chama chetu kiwe na malofa kama nyie mafisadi wakubwa?

Mnaboa sana na tabia zenu hizo za kikaha.ba,
OTEVA HATA KAMA CHADEMA NI YA UKANDA SS HATUJALI HILO KWANI NI HERI KUTAWALIWA NA UKANDA KULIKO MAKAHA.BA WANOFUMANIWA UGONI NA MAFISADI KAMA CCM.
 
Back
Top Bottom