kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Kwa sisi Mawakili wasomi kuhoji ni jadi yetu. Nimesikia Mhe. Waziri Mkuu akizungumzia kuhusu madaraka yanatoka Kwa Mungu. Nikajiuliza tunao wabunge wa bunge la Sasa ambapo wapo waliopita bila kupingwa na wengine walipitishwa na tume kuipitia uchafuzi, je hawa wote wanatoka kwa Mungu?
Tuna viongozi kama akina Sabaya, je nao kwa matendo yao tuseme wanatoka kwa Mungu? Lakini Kwanini Mungu ametupa akili ya kujua mema na mabaya? Siyo kwa ajili ya kutumia akili hizo hizo kufahamu viongozi wanaotoka Kwa Mungu na wafuasi wa shetani? Je, tunapobaini Kiongozi huyu ajatoka Kwa Mungu Kwanini tusimtoe?
Nadhani tunataka kunyamazisha watu wasifikiri kuhusu viongozi wa kutoka kwa Mungu na wasiotoka kwa Mungu, tunataka kuwaambia Watanzania kila kiongozi anatoka kwa Mungu which is wrong. Tuendelee kuwafichua viongozi wezi, wasiotenda haki, waonevu, washirikina nk na tuwaondoe maana awqtoki kwa Mungu
Tuna viongozi kama akina Sabaya, je nao kwa matendo yao tuseme wanatoka kwa Mungu? Lakini Kwanini Mungu ametupa akili ya kujua mema na mabaya? Siyo kwa ajili ya kutumia akili hizo hizo kufahamu viongozi wanaotoka Kwa Mungu na wafuasi wa shetani? Je, tunapobaini Kiongozi huyu ajatoka Kwa Mungu Kwanini tusimtoe?
Nadhani tunataka kunyamazisha watu wasifikiri kuhusu viongozi wa kutoka kwa Mungu na wasiotoka kwa Mungu, tunataka kuwaambia Watanzania kila kiongozi anatoka kwa Mungu which is wrong. Tuendelee kuwafichua viongozi wezi, wasiotenda haki, waonevu, washirikina nk na tuwaondoe maana awqtoki kwa Mungu