Salamu waungwana,
Jana nilibahatika kuangalia kupitia tv mazungumzo ya Rais wa Zambia mhe. Lungu na Mhe. Magufuli wakiwa na maafisa mbalimbali toka nchi mbili, ikawa kila mmoja alipomaliza kuongea aliulizwa maswali mawili,
Mhe. Lungu aliulizwa na mzambia, kuwa amejifunza nn kutoka kwa Magufuli ikiwa Magufuli amejinasibu kama bulldozer, Mhe. Lungu alijibu kuwa yeye anatembea katika maneno yake (ahadi alizotoa),
Ila bulldozing inaweza poteza muelekeo au kwa maguvu yake ikaleta maonevu, kauli hii imenitafakarisha sana, nikaona niwashirikishe na tumuombee Rais wetu aendelee kubulldoze to the right direction.
Nawasilisha.
Jana nilibahatika kuangalia kupitia tv mazungumzo ya Rais wa Zambia mhe. Lungu na Mhe. Magufuli wakiwa na maafisa mbalimbali toka nchi mbili, ikawa kila mmoja alipomaliza kuongea aliulizwa maswali mawili,
Mhe. Lungu aliulizwa na mzambia, kuwa amejifunza nn kutoka kwa Magufuli ikiwa Magufuli amejinasibu kama bulldozer, Mhe. Lungu alijibu kuwa yeye anatembea katika maneno yake (ahadi alizotoa),
Ila bulldozing inaweza poteza muelekeo au kwa maguvu yake ikaleta maonevu, kauli hii imenitafakarisha sana, nikaona niwashirikishe na tumuombee Rais wetu aendelee kubulldoze to the right direction.
Nawasilisha.