Jana usiku Mhe. Lembeli akiwa katika Klabu ya Villa Park - Mwanza ambapo alishirikiana na Bendi ya Super Kamanyola katika nyimbo za Marehemu Marijan Rajabu (Jojina na Mzee Said) pamoja na Rangi ya Chungwa (Tabora Jazz?). Lembeli aliuambia umati wa watu katika maneno yake ya utangulizi kuwa ' Kwanza mimi ni Mtanganyika.'
Hongera Mheshimiwa kwa kukiri uTanganyika wako...
Hongera Mheshimiwa kwa kukiri uTanganyika wako...