Mtoto wa nzi
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 9,008
- 16,134
Ni utaratibu tuSiwezi juwa kama ni watuhumiwa ndio walio omba wapigwe picha na maofisa wa polisi au ni polisi waliotaka wapigwe picha pamoja na watumiwa, ila kwamtazamo wangu naona muonekano wa picha hizi ni kama wamedhalilishwa