nice 2
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 747
- 520
Zitto pamoja na kufafanua ubadhirifu waliougundua TBS, ameeleza kwamba mwaka 2012 ni mwaka wa kuleta mabadiliko kwenye nchi yetu kwa vitendo na kupunguza kulalamika na kupika majungu.
Amesisitiza vijana kutimiza wajibu wao kila mtu kwa nafasi yake.
Hapendi kusifiwa, ila anafurahia zaidi changamoto na mawazo ya kuiendeleza nchi yetu
Amesisitiza vijana kutimiza wajibu wao kila mtu kwa nafasi yake.
Hapendi kusifiwa, ila anafurahia zaidi changamoto na mawazo ya kuiendeleza nchi yetu