Wote ni "wake" atapanga yeye mwenyewe nani akae wapiBora kapewe mkoa wa Dar es Salaam,kama namuona Makonda anavyokaonea wivu na anapanga mbinu za kukamaliza maana kama kanaanza kumuwekea kiwingu
Wote ni "wake" atapanga yeye mwenyewe nani akae wapi
Eeeh Nahuja salama lakini? Nimepapenda sana hapo pa wote ni "wake"
Mila za unyago hawezi kuziingilia ila anajitahidi kuhakikisha wanajua umuhimu wa elimu na pia athari za ndoa za mapema ndiyo mambo ya msingi then hizo mila za unyago zitajirekebisha ndani kwa ndani bila yeye kuziingilia ...lazima uheshimu mila za watu.Kutumia kwake mitandao ya kijamii kunasaidiaje wale wazaramo waachane na mila za unyago ambazo ni kichocheo cha ndoa za utotoni na magonjwa ya zinaa
Uko sahihi mkuu, kamzidi mpaka jiwe ambae hata kuandika sentensi moja ya kiingereza hawezi. View attachment 873325View attachment 873326View attachment 873327
Mheshimiwa ana kiazi kitamuUko sahihi mkuu, kamzidi mpaka jiwe ambae hata kuandika sentensi moja ya kiingereza hawezi. View attachment 873325View attachment 873326View attachment 873327
Mhe Jokate anatumia sana Diplomasia katika kufanya kazi na wengi watumishi wilayani kisarawe wanamheshimu sana na kumpenda kwa jinsi anavyotumia busara zaidi kiutendaji na hasa shirikishi systemMadam anapiga kazi sana,tunaona matokeo yake.
Kuna wenzake waliteuliwa pamoja,mmoja yupo kule kaskazini kila nikimsikia yupo anafoka au amekwaruzana na wenzake.!!!
Atakuwa anaelewa vizuri maana ya kuwa kiongozi na sio mtawala.Mhe Jokate anatumia sana Diplomasia katika kufanya kazi na wengi watumishi wilayani kisarawe wanamheshimu sana na kumpenda kwa jinsi anavyotumia busara zaidi kiutendaji na hasa shirikishi system
Madam anapiga kazi sana,tunaona matokeo yake.
Kuna wenzake waliteuliwa pamoja,mmoja yupo kule kaskazini kila nikimsikia yupo anafoka au amekwaruzana na wenzake.!!!