Mahakama ya Rufaa imetupilia mbali maombi ya aliyekuwa mgombea wa Ubunge jimbo la BABATI VIJIJINI kwa tiketi ya NCCR MAGEUZI Bwana TARA na kuthibitisha ushindi wa mhe. JITU SONI aliyeshinda kiti hicho kwa tiketi ya CCM.
Habari kamili soma magazeti ya kesho,au taarifa za vyombo vingine vya habari.
Habari kamili soma magazeti ya kesho,au taarifa za vyombo vingine vya habari.