Mhe. Janejelly James Ntate Amechangia Hotuba ya Bajeti ya Waziri Mkuu Bungeni.

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
May 16, 2020
1,890
939

MHE. JANEJELLY JAMES NTATE MBUNGE WA VITI MAALUM ANAYEWAKILISHA WAFANYAKAZI NCHINI AMECHANGIA HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI MKUU BUNGENI

Mbunge wa Viti Maalum, Mwakilishi wa Wafanyakazi Nchini anayetokea Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Janejelly James Ntate leo tarehe 06 Aprili, 2023 amechangia Hotuba ya Bajeti ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa aliyoisoma Bungeni jana tarehe 05 Aprili, 2023.

Mhe. Janejelly Ntate amesema ajira wanazopewa wageni zirejeshwe kwa vijana wa kitanzania maana tunao watalaam wa kutosha wenye uwezo wa kuzifanya kazi wanazopewa hao wageni.

Akiongelea usajili wa vyama vya wafanyakazi, Mhe. Ntate amesema kuwa iko kisheria Kwa Shiria Na. 6 ya 2006 ya mahusiano kazini Kifungu Na 9 inawapa watumishi haki ya kufanya hivyo wapewe haki yao

Aidha, Mhe. Ntate amesema, Mabaraza ya Wafanyakazi ni nguzo ya mahusiano na kuomba wakati wa kuhitimisha walete taarifa ya mabaraza mapya yaliyoanzishwa, yaliyofanyika kwa usahihi na ambayo hayakufanyika waone wamechukua hatuna gani kwa sababu Mabalaza haya ukaguliwa na CAG

Mhe. Ntate amesema, Serikali iweke utaratibu na kuanzisha vitengo vya Mikopo kwenye Halmashauri ili kusimamia fedha za mikopo ya asilimia kumi ili kuondoa jukumu hilo kwa maafisa maendeleo ya jamii ambao hawana utalaam wa fedha lakini pia hawafanyi majukumu yao ya msingi

Mhe. Ntate alimpongeza Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuboresha maslahi ya watumishi nakuomba yale aliyoyafanywa Wizara iyasemee ili kujenga mahusiano mazuri Kati ya watumishi na Mheshimiwa Rais.
 

Attachments

  • WhatsApp Image 2023-04-06 at 17.55.43(1).jpeg
    WhatsApp Image 2023-04-06 at 17.55.43(1).jpeg
    121.2 KB · Views: 3
  • WhatsApp Image 2023-04-06 at 17.55.44(1).jpeg
    WhatsApp Image 2023-04-06 at 17.55.44(1).jpeg
    123 KB · Views: 3
  • WhatsApp Image 2023-04-06 at 17.55.46(1).jpeg
    WhatsApp Image 2023-04-06 at 17.55.46(1).jpeg
    168.3 KB · Views: 3

MHE. JANEJELLY JAMES NTATE MBUNGE WA VITI MAALUM ANAYEWAKILISHA WAFANYAKAZI NCHINI AMECHANGIA HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI MKUU BUNGENI

Mbunge wa Viti Maalum, Mwakilishi wa Wafanyakazi Nchini anayetokea Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Janejelly James Ntate leo tarehe 06 Aprili, 2023 amechangia Hotuba ya Bajeti ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa aliyoisoma Bungeni jana tarehe 05 Aprili, 2023.

Mhe. Janejelly Ntate amesema ajira wanazopewa wageni zirejeshwe kwa vijana wa kitanzania maana tunao watalaam wa kutosha wenye uwezo wa kuzifanya kazi wanazopewa hao wageni.

Akiongelea usajili wa vyama vya wafanyakazi, Mhe. Ntate amesema kuwa iko kisheria Kwa Shiria Na. 6 ya 2006 ya mahusiano kazini Kifungu Na 9 inawapa watumishi haki ya kufanya hivyo wapewe haki yao

Aidha, Mhe. Ntate amesema, Mabaraza ya Wafanyakazi ni nguzo ya mahusiano na kuomba wakati wa kuhitimisha walete taarifa ya mabaraza mapya yaliyoanzishwa, yaliyofanyika kwa usahihi na ambayo hayakufanyika waone wamechukua hatuna gani kwa sababu Mabalaza haya ukaguliwa na CAG

Mhe. Ntate amesema, Serikali iweke utaratibu na kuanzisha vitengo vya Mikopo kwenye Halmashauri ili kusimamia fedha za mikopo ya asilimia kumi ili kuondoa jukumu hilo kwa maafisa maendeleo ya jamii ambao hawana utalaam wa fedha lakini pia hawafanyi majukumu yao ya msingi

Mhe. Ntate alimpongeza Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuboresha maslahi ya watumishi nakuomba yale aliyoyafanywa Wizara iyasemee ili kujenga mahusiano mazuri Kati ya watumishi na Mheshimiwa Rais.
Ubunge wa kuwskilisha wafanyakazi umeanza lini! Na ni wafanyakazi wa chama gani cha siasa? Nijuavyo vyama vya wafsnyakazi havijawahi kushiriki kumpata mbunge kuanzia matawini.
 
Ubunge wa kuwskilisha wafanyakazi umeanza lini! Na ni wafanyakazi wa chama gani cha siasa? Nijuavyo vyama vya wafsnyakazi havijawahi kushiriki kumpata mbunge kuanzia matawini.
Kasome vizuri muongozi wa memba wa Bungeni, kuna wawakilishi mpaka wa NGO
 
Kwanini hajazungumzia ufedhuli wq kikokotoo kinavyowatesa wastaafu na wategemezi wao? Alitakiwa pia kuzungumzia madhila ya cwt kwa jinsi kinavyonyonya walimu. Au naye anafaidika na cwt?
Nimshauri ya kufanya kabla ya binge kumalizika awe amekutana na vyama vya wafanyakazi anavyoviwakilisha ili wajenge hoja ya pamoja ya kufuta kikokotoo Cha Sasa na kuilazimisha cwt ipunguze michango Kisha kuiwasilisha bungeni Kama hoja binafsi.
 
Katika waliochangia huyu Mama kachangia vizuri sana. The best kuliko wote waliochangia mpaka leo
 
Kwanini hajazungumzia ufedhuli wq kikokotoo kinavyowatesa wastaafu na wategemezi wao? Alitakiwa pia kuzungumzia madhila ya cwt kwa jinsi kinavyonyonya walimu. Au naye anafaidika na cwt?
Nimshauri ya kufanya kabla ya binge kumalizika awe amekutana na vyama vya wafanyakazi anavyoviwakilisha ili wajenge hoja ya pamoja ya kufuta kikokotoo Cha Sasa na kuilazimisha cwt ipunguze michango Kisha kuiwasilisha bungeni Kama hoja binafsi.
Hao Cwt kwa miaka mingi wamekuwa wakiwaingiza walimu wetu kwenye chama chao bila wahusika kujaza[ TUF 15]ambayo ni fomu ambayo hutoa idhini kwa mwajiri kukata mshahara wa mtumishi na kuuelekeza kwenye chama anachotaka mwajiriwa ajabu hao Cwt kwa kushirikiana na HRO wamekuwa wakikiuka sheria ya ajira na mahusiano kazini makusudi na kwa maslahi binafsi huyo mbunge kama yuko vizuri upstairs angelikemea hilo kwani hao walimu wakija pata uelewa kuhusu ukiukwaji huo watawaharibia kazi maafisa utumishi ambao wana effect huo ubazazi
 
Siku akipata nafasi nyingne aiombe serikali ianze kuitambua Shahada ya Pili (Masters) kwenye utumishi wa umma, kwa kuiwekea Salary scale na muundo wa kiutumishi... kwasabu kwa miaka ya Sasa degree ni Kama diploma iliyochangamka😄
 

MHE. JANEJELLY JAMES NTATE MBUNGE WA VITI MAALUM ANAYEWAKILISHA WAFANYAKAZI NCHINI AMECHANGIA HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI MKUU BUNGENI

Mbunge wa Viti Maalum, Mwakilishi wa Wafanyakazi Nchini anayetokea Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Janejelly James Ntate leo tarehe 06 Aprili, 2023 amechangia Hotuba ya Bajeti ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa aliyoisoma Bungeni jana tarehe 05 Aprili, 2023.

Mhe. Janejelly Ntate amesema ajira wanazopewa wageni zirejeshwe kwa vijana wa kitanzania maana tunao watalaam wa kutosha wenye uwezo wa kuzifanya kazi wanazopewa hao wageni.

Akiongelea usajili wa vyama vya wafanyakazi, Mhe. Ntate amesema kuwa iko kisheria Kwa Shiria Na. 6 ya 2006 ya mahusiano kazini Kifungu Na 9 inawapa watumishi haki ya kufanya hivyo wapewe haki yao

Aidha, Mhe. Ntate amesema, Mabaraza ya Wafanyakazi ni nguzo ya mahusiano na kuomba wakati wa kuhitimisha walete taarifa ya mabaraza mapya yaliyoanzishwa, yaliyofanyika kwa usahihi na ambayo hayakufanyika waone wamechukua hatuna gani kwa sababu Mabalaza haya ukaguliwa na CAG

Mhe. Ntate amesema, Serikali iweke utaratibu na kuanzisha vitengo vya Mikopo kwenye Halmashauri ili kusimamia fedha za mikopo ya asilimia kumi ili kuondoa jukumu hilo kwa maafisa maendeleo ya jamii ambao hawana utalaam wa fedha lakini pia hawafanyi majukumu yao ya msingi

Mhe. Ntate alimpongeza Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuboresha maslahi ya watumishi nakuomba yale aliyoyafanywa Wizara iyasemee ili kujenga mahusiano mazuri Kati ya watumishi na Mheshimiwa Rais.
Michango batili, hakuana kitu pale period
 

MHE. JANEJELLY JAMES NTATE MBUNGE WA VITI MAALUM ANAYEWAKILISHA WAFANYAKAZI NCHINI AMECHANGIA HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI MKUU BUNGENI

Mbunge wa Viti Maalum, Mwakilishi wa Wafanyakazi Nchini anayetokea Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Janejelly James Ntate leo tarehe 06 Aprili, 2023 amechangia Hotuba ya Bajeti ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa aliyoisoma Bungeni jana tarehe 05 Aprili, 2023.

Mhe. Janejelly Ntate amesema ajira wanazopewa wageni zirejeshwe kwa vijana wa kitanzania maana tunao watalaam wa kutosha wenye uwezo wa kuzifanya kazi wanazopewa hao wageni.

Akiongelea usajili wa vyama vya wafanyakazi, Mhe. Ntate amesema kuwa iko kisheria Kwa Shiria Na. 6 ya 2006 ya mahusiano kazini Kifungu Na 9 inawapa watumishi haki ya kufanya hivyo wapewe haki yao

Aidha, Mhe. Ntate amesema, Mabaraza ya Wafanyakazi ni nguzo ya mahusiano na kuomba wakati wa kuhitimisha walete taarifa ya mabaraza mapya yaliyoanzishwa, yaliyofanyika kwa usahihi na ambayo hayakufanyika waone wamechukua hatuna gani kwa sababu Mabalaza haya ukaguliwa na CAG

Mhe. Ntate amesema, Serikali iweke utaratibu na kuanzisha vitengo vya Mikopo kwenye Halmashauri ili kusimamia fedha za mikopo ya asilimia kumi ili kuondoa jukumu hilo kwa maafisa maendeleo ya jamii ambao hawana utalaam wa fedha lakini pia hawafanyi majukumu yao ya msingi

Mhe. Ntate alimpongeza Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuboresha maslahi ya watumishi nakuomba yale aliyoyafanywa Wizara iyasemee ili kujenga mahusiano mazuri Kati ya watumishi na Mheshimiwa Rais.

Amechangia kwenye bunge gani, hilo kibogoyo la majizi ya kura? Hakuna mtu anamjua ni nani huyo.
 
Back
Top Bottom