Mhe Freeman Mbowe unajua haya? Zao la kahawa Hai ndiyo limekufa hivyo

Jan 1, 2012
21
3
kwa takwimu za 2oo7 ni hekta 12,655 za kahawa mkoa kilimanjaro zilikuwa zinazalisha tani 1800 tu.sasa kadri siku zanavyosa hali inazidi kuwa mbaya,ili hali wilaya ina hekta 46,506 zinazofaa kwa kilimo.haya ndiyo mambo yanayoshusha heshima ya shilingi na kudumaza uchumi.

hakuna kahawa ya kuuza nje,hivyo kukosa pesa za kigeni.mhe mkulo tazama hili kuokoa uchumi wetu.wanahai sasa wakata kahawa zao na kulima mbogamboga,mbaya zaidi mmetuletea kiwanda cha maua kinachoathia mfumo wa upatikanaji wa mvua.

Mhe mbowe haya mambo yatatufanya tutangaza nia ya kugombea mapema ili wewe ufanye kazi za chama kwanza
 
kwa takwimu za 2oo7 ni hekta 12,655 za kahawa mkoa kilimanjaro zilikuwa zinazalisha tani 1800 tu.sasa kadri siku zanavyosa hali inazidi kuwa mbaya,ili hali wilaya ina hekta 46,506 zinazofaa kwa kilimo.haya ndiyo mambo yanayoshusha heshima ya shilingi na kudumaza uchumi.

hakuna kahawa ya kuuza nje,hivyo kukosa pesa za kigeni.mhe mkulo tazama hili kuokoa uchumi wetu.wanahai sasa wakata kahawa zao na kulima mbogamboga,mbaya zaidi mmetuletea kiwanda cha maua kinachoathia mfumo wa upatikanaji wa mvua.

Mhe mbowe haya mambo yatatufanya tutangaza nia ya kugombea mapema ili wewe ufanye kazi za chama kwanza
hivi hujui ya kuwa Mheshimiwa Mbowe ni kati ya wale wabunge wanoamini kuwa kazi.ya mbunge ni kuitisha harambee kwa ajili.ya kuchangish fedha za kujenga makanisa na misikiti,hivyo kichwani hawezi waza mahitaji ya juml kwenye jimbo lake
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom