Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Katibu Mkuu wa CUF Maalim seif Shariff Hamad amefanya mazungumzo na waziri Mkuu wa zamani na Mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA Edward Lowassa jijini Dar es salaam jioni hii.
Mazungumzo yao yalijikita katika hali inavyoendelea ndani ya chama cha CUF
Mazungumzo yao yalijikita katika hali inavyoendelea ndani ya chama cha CUF