Mhe. Edward Lowassa Krismasi: Tunauhitaji wa kuombea Taifa kwa mvua za kiasi na mambo mengine

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Mar 9, 2015
14,243
34,899
Waziri mkuu mstaafu na mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA Mh. Edward Lowassa na mke wake Mama Regina Lowassa leo wameungana na wakristo katika wilaya ya Handeni mkoani Tanga kuadhimisha sikukuu ya Krismas inayosherekewa na wakristo ulimwenguni kote. Ibada hiyo imefanyika katika kanisa la KKKT Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Usharika wa Handeni mjini.
 

Attachments

  • IMG-20161225-WA0066.jpg
    IMG-20161225-WA0066.jpg
    45.5 KB · Views: 46
Mvua ikikata ni dalili ya Ukame. Ukame ni njaa Kali ya chakula na Kipato. Ee Mungu msamehe Sizonje kwa kujifananisha nawe.
 
Waziri mkuu mstaafu na mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA Mh. Edward Lowassa na mke wake Mama Regina Lowassa leo wameungana na wakristo katika wilaya ya Handeni mkoani Tanga kuadhimisha sikukuu ya Krismas inayosherekewa na wakristo ulimwenguni kote. Ibada hiyo imefanyika katika kanisa la KKKT Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Usharika wa Handeni mjini.
Waziri Mkuu " Mstaafu?" Is it correct???
 
Back
Top Bottom