Sokomoko
JF-Expert Member
- Mar 29, 2008
- 1,915
- 129
Ndugu wana JF,
Kama Dr Slaa akikataa kukubali matokeo ya uchaguzi uliomalizika punde na kutangazwa Kikwete ndio mshindi. Tunakumbuka jinsi hali ilivyokuwa kule zanzibar baada ya uchaguzi wa kwanza Maalim Seif alikataa matokeo na nchi ikaingia kwenye mgogoro mkubwa wa kisiasa uliopelekea misaada kutoka nchi wahisani kusitishwa sio kwa Tanzania visiwani tu bali mpaka kwa upande wa Tanzania bara.
Kwa maana hiyo nachukua nafasi hii kumsii Dr Slaa akubali kama wenzake walivyokubali lakini at the same time atoe dukuduku lake nini kifanyike ili next election kuwe kuna fair election.
Maalim Seif sio kama ameshindwa ila ameangalia mbali sana na kuona kwanini wananchi wa Zanzibar waumie kimaisha kwa ajili ya siasa? ameamua kukubali ili wajenge nchi na polepole CUF kujenga trust kwa wananchi na jumuia za kimataifa kuwa wanaweza kutawala na sio CCM pekee inayoweza kama Mkapa navyojinasibu.
My take:
Slaa akubali kushindwa aseme uchaguzi ulikuwa huru ila haukua wa haki na atoe facts zake maana kwa kukataa maisha ya mwananchi wa kawaida yatakuwa magumu na ile ndoto ya saruji kupungua bei maana atakapokuja kutwaa uongozi hapo baadae bei itakuwa imepaa sana.
Mhe. Dr Slaa kukataa kwako kutasababisha ugumu wa maisha kwetu ila wale unaowagomea wao wataendelea kula kuku kwa mrija take your time fikiria kwa makini.
Naomba tulijadili hili.
Kama Dr Slaa akikataa kukubali matokeo ya uchaguzi uliomalizika punde na kutangazwa Kikwete ndio mshindi. Tunakumbuka jinsi hali ilivyokuwa kule zanzibar baada ya uchaguzi wa kwanza Maalim Seif alikataa matokeo na nchi ikaingia kwenye mgogoro mkubwa wa kisiasa uliopelekea misaada kutoka nchi wahisani kusitishwa sio kwa Tanzania visiwani tu bali mpaka kwa upande wa Tanzania bara.
Kwa maana hiyo nachukua nafasi hii kumsii Dr Slaa akubali kama wenzake walivyokubali lakini at the same time atoe dukuduku lake nini kifanyike ili next election kuwe kuna fair election.
Maalim Seif sio kama ameshindwa ila ameangalia mbali sana na kuona kwanini wananchi wa Zanzibar waumie kimaisha kwa ajili ya siasa? ameamua kukubali ili wajenge nchi na polepole CUF kujenga trust kwa wananchi na jumuia za kimataifa kuwa wanaweza kutawala na sio CCM pekee inayoweza kama Mkapa navyojinasibu.
My take:
Slaa akubali kushindwa aseme uchaguzi ulikuwa huru ila haukua wa haki na atoe facts zake maana kwa kukataa maisha ya mwananchi wa kawaida yatakuwa magumu na ile ndoto ya saruji kupungua bei maana atakapokuja kutwaa uongozi hapo baadae bei itakuwa imepaa sana.
Mhe. Dr Slaa kukataa kwako kutasababisha ugumu wa maisha kwetu ila wale unaowagomea wao wataendelea kula kuku kwa mrija take your time fikiria kwa makini.
Naomba tulijadili hili.